Kwanini vijana wengi wenye umri (22-30) wanaoishi mkoani Mwanza ni washamba

Kwanini vijana wengi wenye umri (22-30) wanaoishi mkoani Mwanza ni washamba

Huu ndo ukweli
Mimi mwenyewe mwenyeji wa mwanza ila nimesoma Dar sekondari na dodoma chuo
Lakini nimekaa pia arusha
Mwanza Ina watu washamba sana na hata jiji lenyewe la kishamba very soon halitakua na maana mbele ya dodoma
 
Huu ndo ukweli
Mimi mwenyewe mwenyeji wa mwanza ila nimesoma Dar sekondari na dodoma chuo
Lakini nimekaa pia arusha
Mwanza Ina watu washamba sana na hata jiji lenyewe la kishamba very soon halitakua na maana mbele ya dodoma
Wao Kila mtu mwenye mafanikio au anaevaa vizuri au kisasa zaidi humuita taperi , wasukuma watakuita "mwiibii".....😎😎
 
Wao Kila mtu mwenye mafanikio au anaevaa vizuri au kisasa zaidi humuita taperi , wasukuma watakuita "mwiibii".....😎😎
Tatizo jiji hili linapokea watu wanaongia mjini kwa Mara ya kwanza
Na ni jiji la Wakulima.wavuvi.watu wa madini
They know nothing kuhusu customer care wala lugha ya biashara.Ni ubabe mwanzo mwisho
 
Tatizo jiji hili linapokea watu wanaongia mjini kwa Mara ya kwanza
Na ni jiji la Wakulima.wavuvi.watu wa madini
They know nothing kuhusu customer care wala lugha ya biashara.Ni ubabe mwanzo mwisho
Na ndio maana wengi wao wamejazana kwenye gereza la butimba, siku ukipata nafasi nenda katembee jumamosi ujionee
 
Mleta mada kakutana na wajanja wa Mwanza aliowachukulia poa,wamemuonyosha yupo jf kujifariji.
 
Nimewahi kumtumia mtu laki nne Na nusu kariakoo kwa utambulisho wa codes za duka Na mtaa aliopo, nilihitaji friji ndogo Aina ya boss, kipindi hicho nilikuwa naishi Geita...friji lilifika Na likiwa Na Hali nzuri tu..
Wengi ni waaminifu mtu anajua akitengeneza customer base nzurii " wazungu husema A satisfied customer is a free agent"

Hawezi kufanya utapeli maana atakua ana ruin his carrier development

Boda wa kariakoo wengi Sanaa ni waaminifu Sanaa hata kwa stranger
 
Nimewahi kumtumia mtu laki nne Na nusu kariakoo kwa utambulisho wa codes za duka Na mtaa aliopo, nilihitaji friji ndogo Aina ya boss, kipindi hicho nilikuwa naishi Geita...friji lilifika Na likiwa Na Hali nzuri tu..
Ulibahatisha tu kuna jamaa wengi tu wamelizwa na watu wa dar hata mimi pia
 
Back
Top Bottom