Kwanini viongozi wa dunia wanataka kumyang'anya nguvu ya utawala mwanaume na kumpa mwanamke?

Kwanini viongozi wa dunia wanataka kumyang'anya nguvu ya utawala mwanaume na kumpa mwanamke?

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Sorry my fellow ladies, najua mtaona like I'm snitching you.

Mungu alipo iumba dunia hii alimuumba mwanaume awe mtawala na sisi tuwe wasaidizi.

Mwanaume alifanya kazi za uwindaji, kufukuzana na wanyama huko maporini kisha wakatuletea chakula tupike.

Kazi ya baba nyingine ilikuwa ni ulinzi wa familia na jamii nzima kwa uju wake.

Leo watawala wa ulimwengu hawautaki huo mfumo uliowekwa na Mungu mwenyewe.

Wanawake wanapewa mitaji ya kila aina, mitaji ya fedha kisheria, upendeleo wa nafasi na nyadhifa mbalimbali ili tu mwanaume awe chini.

Ukitazama kwa haraka unaweza kusema tunapendelewa na Mungu, lakini ukiliangalia kwa kina kuna siri kubwa sana ya ushetani.

Mwanaume akiwa hana hela, mwanamke hawezi kumtunza kwa miezi miwili kabla hajaanza kumsimanga na kumdharau na kumwita kila jina baya.

Sisi tumekuwa chanzo cha familia nyingi kuoaranganyika na chanzo kikubwa cha vifo vya mapema.

Wazungu pia wanachochea ushoga, wanaume wawe mashoga wapoteze nguvu asilia ya kiutawala, je wanataka nini?

Kuna siri nyuma ya pazia. Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
 
...hakuna kiumbe mwepesi kumcontrol kama mwanamke na ndio sababu hata Shetani alimtumia mwanamke kutimiza azma yake ya kutibua uhusiano kay
Naangalia jinsi mama alivyodanganywa kidogo tu kuwa anaupiga mwingi, leo anaboronga mwanzo mwisho. Mimi hata kuongoza familia yangu sitaki, nataka nitii chini ya uongozi wa mume wangu
 
Ukisha tambua ukweli uliopo nyuma ya hizo agenda hata siku moja huwezi unga hoja za feminist mbaya zaidi ni kwamba Dada zetu wameona agenda hizo Kama ukombozi kwao kumbe ndo zimewaletea shida kubwa Sana mfano ulio wazi kabisa leo thamani ya mwanamke inaporomoka kila uchwao.

NB: Hata itumike nguvu kiasi gani ku-promote hizo agenda haziwezi fananikiwa hata siku moja.
 
Ukisha tambua ukweli uliopo nyuma ya hizo agenda hata siku moja huwezi unga hoja za feminist mbaya zaidi ni kwamba Dada zetu wameona agenda hizo Kama ukombozi kwao kumbe ndo zimewaletea shida kubwa Sana mfano ulio wazi kabisa leo thamani ya mwanamke inaporomoka kila uchwao.

NB: Hata itumike nguvu kiasi gani ku-promote hizo agenda haziwezi fananikiwa hata siku moja.
True
 
Mkuu nilidhani utakuwa kundi la feminist maana wao adui no 1 kwao ni mwanaume , kongole Sana maana fikra zangu zilikuwa wrong

Jameni kwanini uliniwazia mabaya hivyo😃😃😃

Kwa sasa hakuna kitu cha kuheshimu, kukijenga na kulinda kama nafasi ya mwanaume! Mungu aliumba hivyo na desturi zilikubali hilo, Tukishindwa kutetea hili tumeharibu jamii na dunia
 
Ukisha tambua ukweli uliopo nyuma ya hizo agenda hata siku moja huwezi unga hoja za feminist mbaya zaidi ni kwamba Dada zetu wameona agenda hizo Kama ukombozi kwao kumbe ndo zimewaletea shida kubwa Sana mfano ulio wazi kabisa leo thamani ya mwanamke inaporomoka kila uchwao.

NB: Hata itumike nguvu kiasi gani ku-promote hizo agenda haziwezi fananikiwa hata siku moja.
Ni kweli mkuu
 
Back
Top Bottom