Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
- Thread starter
-
- #41
Mwanadamu kuteseka sio mpango wa Mungu, ukimshika Mungu atayanyoosha mapito yako. Ulipo laaniwa atakubariki, kwenye ufukara wako atakutajirisha, kwenye aibu yako atakuheshimishaWanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.
Ameen mama mchungaji.Mwanadamu kuteseka sio mpango wa Mungu, ukimshika Mungu atayanyoosha mapito yako. Ulipo laaniwa atakubariki, kwenye ufukara wako atakutajirisha, kwenye aibu yako atakuheshimisha
Yamekuwa hayo?Ameen mama mchungaji.
its devil's work, mwanaume aliumbwa kutawala ndo maana akapewa mental na physical power, sasa shetani anataka mwanamke atawale ili aangushe ufalme wa mwanadamu hapa duniani, tukumbuke tu kuwa shetani ana mmudu mwanamke vizuri sana. pale eden tu alitwist maneno eva akajaa.Sorry my fellow ladies, najua mtaona like I'm snitching you.
Mungu alipo iumba dunia hii alimuumba mwanaume awe mtawala na sisi tuwe wasaidizi.
Mwanaume alifanya kazi za uwindaji, kufukuzana na wanyama huko maporini kisha wakatuletea chakula tupike.
Kazi ya baba nyingine ilikuwa ni ulinzi wa familia na jamii nzima kwa uju wake.
Leo watawala wa ulimwengu hawautaki huo mfumo uliowekwa na Mungu mwenyewe.
Wanawake wanapewa mitaji ya kila aina, mitaji ya fedha kisheria, upendeleo wa nafasi na nyadhifa mbalimbali ili tu mwanaume awe chini.
Ukitazama kwa haraka unaweza kusema tunapendelewa na Mungu, lakini ukiliangalia kwa kina kuna siri kubwa sana ya ushetani.
Mwanaume akiwa hana hela, mwanamke hawezi kumtunza kwa miezi miwili kabla hajaanza kumsimanga na kumdharau na kumwita kila jina baya.
Sisi tumekuwa chanzo cha familia nyingi kuoaranganyika na chanzo kikubwa cha vifo vya mapema.
Wazungu pia wanachochea ushoga, wanaume wawe mashoga wapoteze nguvu asilia ya kiutawala, je wanataka nini?
Kuna siri nyuma ya pazia. Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
its devil's work, mwanaume aliumbwa kutawala ndo maana akapewa mental na physical power, sasa shetani anataka mwanamke atawale ili aangushe ufalme wa mwanadamu hapa duniani, tukumbuke tu kuwa shetani ana mmudu mwanamke vizuri sana. pale eden tu alitwist maneno eva akajaa.
mwanamke na mwanaume kila mmoja ana majukumu yake na nafasi yake ya asili ambayo inafanya tuheshimiane na tusiingiliane. Mwanamke ni very powerful pale anapokuwa mwanamke kwelikweli same to mwanaume hence balance of power/nature. ila mwanamke anapotaka kuwa kama dume na mtoto wa kiume anapolainika na kuwa kama jike hapo ndo shetani anafanikiwa.
nasikia sikuhizi kuna madem wana madem zao, huzuni kichizi.
Makubaliana...hakuna kiumbe mwepesi kumcontrol kama mwanamke na ndio sababu hata Shetani alimtumia mwanamke kutimiza azma yake ya kutibua uhusiano kati ya Binadamu na Mungu na bado yupo kazini na atazidi kuwatumia milele.
HaleluyaaaNililiona hilo nikasema let baba Chanja be my number one, no matter what. Awe nacho ama asiwe nacho, nitakuwa submissive milele
Na ya furahaUtadumu, na maisha yenu yatakuwa marefu pia.
Fafanua hiyo ayaView attachment 2416546
Ufunuo wa yohana ulikwisha kutabiri yale yatakayotokea kabla ya kurudi mara ya pili, kwake mwana wa adam; Hivyo matukio haya yanadhihirisha tupo katika nyakati za mwisho.
SOMA: Ufunuo wa Yohana 17:5-7
But the angel said to me, "Why are you so amazed? I will tell you the mystery of the woman, and of the beast with seven heads and ten horns that carries her.
-- Revelations 17:7
Na yuko busy sanaHakika shetani Yuko kazini,,tumuombe Sanaa,,,
AminaHaleluyaaa
Moja ya hoja nzuri kuwahi kugokea jf ni hii..Sorry my fellow ladies, najua mtaona like I'm snitching you.
Mungu alipo iumba dunia hii alimuumba mwanaume awe mtawala na sisi tuwe wasaidizi.
Mwanaume alifanya kazi za uwindaji, kufukuzana na wanyama huko maporini kisha wakatuletea chakula tupike.
Kazi ya baba nyingine ilikuwa ni ulinzi wa familia na jamii nzima kwa uju wake.
Leo watawala wa ulimwengu hawautaki huo mfumo uliowekwa na Mungu mwenyewe.
Wanawake wanapewa mitaji ya kila aina, mitaji ya fedha kisheria, upendeleo wa nafasi na nyadhifa mbalimbali ili tu mwanaume awe chini.
Ukitazama kwa haraka unaweza kusema tunapendelewa na Mungu, lakini ukiliangalia kwa kina kuna siri kubwa sana ya ushetani.
Mwanaume akiwa hana hela, mwanamke hawezi kumtunza kwa miezi miwili kabla hajaanza kumsimanga na kumdharau na kumwita kila jina baya.
Sisi tumekuwa chanzo cha familia nyingi kuoaranganyika na chanzo kikubwa cha vifo vya mapema.
Wazungu pia wanachochea ushoga, wanaume wawe mashoga wapoteze nguvu asilia ya kiutawala, je wanataka nini?
Kuna siri nyuma ya pazia. Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
We ni invisible target kweli...hakuna kiumbe mwepesi kumcontrol kama mwanamke na ndio sababu hata Shetani alimtumia mwanamke kutimiza azma yake ya kutibua uhusiano kati ya Binadamu na Mungu na bado yupo kazini na atazidi kuwatumia milele.
Hakuna jamii wanaume wanaheahimika kama wamasai na wanawake pia waheshimika mno na jamii ya kimasii kulingana na nafasi yakeKingine wamasai. wanaume ndio wanafuga na kusuka rasta na wanawake wananyoa kipara.
You nailed itSorry my fellow ladies, najua mtaona like I'm snitching you.
Mungu alipo iumba dunia hii alimuumba mwanaume awe mtawala na sisi tuwe wasaidizi.
Mwanaume alifanya kazi za uwindaji, kufukuzana na wanyama huko maporini kisha wakatuletea chakula tupike.
Kazi ya baba nyingine ilikuwa ni ulinzi wa familia na jamii nzima kwa uju wake.
Leo watawala wa ulimwengu hawautaki huo mfumo uliowekwa na Mungu mwenyewe.
Wanawake wanapewa mitaji ya kila aina, mitaji ya fedha kisheria, upendeleo wa nafasi na nyadhifa mbalimbali ili tu mwanaume awe chini.
Ukitazama kwa haraka unaweza kusema tunapendelewa na Mungu, lakini ukiliangalia kwa kina kuna siri kubwa sana ya ushetani.
Mwanaume akiwa hana hela, mwanamke hawezi kumtunza kwa miezi miwili kabla hajaanza kumsimanga na kumdharau na kumwita kila jina baya.
Sisi tumekuwa chanzo cha familia nyingi kuoaranganyika na chanzo kikubwa cha vifo vya mapema.
Wazungu pia wanachochea ushoga, wanaume wawe mashoga wapoteze nguvu asilia ya kiutawala, je wanataka nini?
Kuna siri nyuma ya pazia. Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.