InvisibleTarget
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 1,138
- 2,176
...ipo hivyo mkuu, mwanaume utatoboa kwa shetani ila kwa mwanamke hutoboi..!hata Adam kwa shetani alitoboa ndo maana shetani akaona amtumie mwanamke akijua kabisa kwa huyu hatoboi.!We ni invisible target kweli
Most of us are lacking love, and we are craving for moneyYou nailed it
Japo wanawake wa kizazi hiki hawaelewi
Na ukijaribu kuwauliza wanalipuka kama wamemwagiwa Petrol
Ila Sisi wanaume tuna maswali magumu ya kujibu kwa Muumba wetu; ya kwa nini tuliruhusu hiyo hali
2025 pigwa chini ata Mimi inaniumaga sema navungaga tu akisepa huyu haitakaa itokeee tena ke aongoze tz nakwambiaEti nchi inaongozwa na mwanamke..dah kwakweli kama taifa tumepotea
NakaziaKuna siri nyuma ya pazia. Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
We acha tuNakazia
Kuna siri nyuma ya pazia.
Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
Ikumbukwe walio mstari wa mbele kuwaangamiza wanaume sio wanawake... ni wanaume wenyewe wanaangamizana wao kwa wao sababu ya wanawake.
Kuna ofisi moja nilikua nafanya kazi sasa kuna kabinti kalijenga mazoea na mimi nisijue kua HR (mwanaume) ana mahusiano nae huyo binti, zilipigwa figisu figisu nilifukuzwa kazi kisa mazoea na mwanamke kazini, wengine (wanaume) wakawa wanasema naleta mapenzi na yule binti yaan nataka kulala nawe wakati mimi sikua hata na hayo mawazo, yaan mtu mpo nae kazini anakufurahia mpo peace mnafurahi umletee ukauzu seriously?
TrueUkisha tambua ukweli uliopo nyuma ya hizo agenda hata siku moja huwezi unga hoja za feminist mbaya zaidi ni kwamba Dada zetu wameona agenda hizo Kama ukombozi kwao kumbe ndo zimewaletea shida kubwa Sana mfano ulio wazi kabisa leo thamani ya mwanamke inaporomoka kila uchwao.
NB: Hata itumike nguvu kiasi gani ku-promote hizo agenda haziwezi fananikiwa hata siku moja.
Wewe sio gentleman. Gentleman popote alipo ana mind his own business. Jifunze kutokana na makosa yako mwenyeweNakazia
Kuna siri nyuma ya pazia.
Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
Ikumbukwe walio mstari wa mbele kuwaangamiza wanaume sio wanawake... ni wanaume wenyewe wanaangamizana wao kwa wao sababu ya wanawake.
Kuna ofisi moja nilikua nafanya kazi sasa kuna kabinti kalijenga mazoea na mimi nisijue kua HR (mwanaume) ana mahusiano nae huyo binti, zilipigwa figisu figisu nilifukuzwa kazi kisa mazoea na mwanamke kazini, wengine (wanaume) wakawa wanasema naleta mapenzi na yule binti yaan nataka kulala nawe wakati mimi sikua hata na hayo mawazo, yaan mtu mpo nae kazini anakufurahia mpo peace mnafurahi umletee ukauzu seriously?
, yaan mtu mpo nae kazini anakufurahia mpo peace mnafurahi umletee ukauzu seriously?
FactsEndeleza urafiki ikugharimu zaidi. Kazini umeenda kufanya kazi mambo ya urafiki ya nini?
Umenifurahisha sana ulipoandika..."mwanaume alifanya kazi ya kufukuzana na wanyama huko porini.Kisha akatuletea kupika"...!Ulivyojijumuisha na hao akina mama wa zamani,utadhani ulikuwepo!Hata hivyo umeandika ukweli.Haki ya asili haipokwi wala kuharibiwa kirahisi.Kwa kikinga wanasema..."You can neither create nor destroy nature"...!Itabaki kuwa hivyo tu.Sorry my fellow ladies, najua mtaona like I'm snitching you.
Mungu alipo iumba dunia hii alimuumba mwanaume awe mtawala na sisi tuwe wasaidizi.
Mwanaume alifanya kazi za uwindaji, kufukuzana na wanyama huko maporini kisha wakatuletea chakula tupike.
Kazi ya baba nyingine ilikuwa ni ulinzi wa familia na jamii nzima kwa uju wake.
Leo watawala wa ulimwengu hawautaki huo mfumo uliowekwa na Mungu mwenyewe.
Wanawake wanapewa mitaji ya kila aina, mitaji ya fedha kisheria, upendeleo wa nafasi na nyadhifa mbalimbali ili tu mwanaume awe chini.
Ukitazama kwa haraka unaweza kusema tunapendelewa na Mungu, lakini ukiliangalia kwa kina kuna siri kubwa sana ya ushetani.
Mwanaume akiwa hana hela, mwanamke hawezi kumtunza kwa miezi miwili kabla hajaanza kumsimanga na kumdharau na kumwita kila jina baya.
Sisi tumekuwa chanzo cha familia nyingi kuoaranganyika na chanzo kikubwa cha vifo vya mapema.
Wazungu pia wanachochea ushoga, wanaume wawe mashoga wapoteze nguvu asilia ya kiutawala, je wanataka nini?
Kuna siri nyuma ya pazia. Wanaume wanaenda kuwa bidhaa adimu kuliko lulu.
Mungu akubariki ili mmeo akuthamini sana. Unaonekana unauwezo mkubwa wa kufikiri.Naangalia jinsi mama alivyodanganywa kidogo tu kuwa anaupiga mwingi, leo anaboronga mwanzo mwisho. Mimi hata kuongoza familia yangu sitaki, nataka nitii chini ya uongozi wa mume wangu
Mzee we was a team tunafanya kazi km team na huyo manzi nilipangwa nae team moja before aliwahi kua team leader kabla sijajiunga na KAMPUNI na kuna baadhi ya mambo ambayo mimi km new in job alikua akinielekeza ili nisiharibu kazi za watu, sasa unataka tusiongee wakati tupo team moja ili mimi niziharibu kazi za watu?Wewe sio gentleman. Gentleman popote alipo ana mind his own business. Jifunze kutokana na makosa yako mwenyewe
Glory be to the LordMungu akubariki ili mmeo akuthamini sana. Unaonekana unauwezo mkubwa wa kufikiri.