Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Acha ujuaji. Mungu sio jina wewe pimbi. Mungu ni mamlaka we nyang'au
Rais ni mamlaka lakini ni Jina,kwamba hata kiswahili ulitaga kenge maji wewe?,kidato cha kwanza hukusoma aina Za maneno,hukusoma nomino,fakeni kabisa ,matter core,wakati mwalimu anafundisha wewe ulikuwa unawekea mademu kioo chini
 
Quran imeeleza kila kitu mpaka UFO
 
Mkuu dunia ndiyo sayari iliyo hai mengine ni mitufe tuu inayosaidia balance ya dunia tunaweza sema ni nguzo za dunia
 
Rais ni mamlaka lakini ni Jina,kwamba hata kiswahili ulitaga kenge maji wewe?,kidato cha kwanza hukusoma aina Za maneno,hukusoma nomino,fakeni kabisa ,matter core,wakati mwalimu anafundisha wewe ulikuwa unawekea mademu kioo chini
Jaribu kuficha uchi wa akili
yako mzee. Kwahiyo Mungu ni jina.

Aiseeeee.
 
Imetaja ulimwengu, ulimwengu unajumuisha sayari zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…