Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Dini ni utapeli tu,dini zimekuwa chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika,na mafarakano baina ya watu baki na ndugu,hakuna dini naiamini kabisaaa,nina imani yangu isiyo changamana na dini.

Kuna mambo mengi ya kutafakari,vitabu vya dini viliandikwa na philosophical kings wa zama hizo,kwa lengo la kushape human behaviour ndio maana maandiko mengi yana mkanganyiko,mwanza palikuwa na neno na neno alikuwa Mungu na alipatikana katika vilindi vya maji ili hali katika muda huo hakuna kitu kilikuwa kimeumwa mpaka hapo bwana neno alipoanza kuuumba kwa Neno akiwa amechili juu ya maji Nani aliumba hayo maji ambayo Mr neno alichili kwako?

If not enough ukifuatilia kwa kina utaona kwamba Mungu ana jinsia ili hali wanatuambia ni roho,sasa roho ina jinsia?!

Ok,Mungu wetu ni moto ulao na ana nguvu kuliko,na anajua kila kinachoendelea rohoni,sasa ilikuwaje Mpaka Mr sheta anapanga mipango ya kumpindua yeye katuliza t?,ok sawa kwanini na nini lengo alilokuwa nalo kumbwaga Mr sheta huku site Duniani akijua atakua mzingizingu kwa wanadamu,kwanini asimmalize tu tuishi raha mustarehe,ok ngoja nipambane na Helicobacter pylori kwanza
 
Assuming kwamba Mungu ndiye alikuwa anaandika kupitia wao, je Mungu alikuwa hajui kuhusu hizo sayari zingine?
Qur'an aliandika Mungu akaishusha akàpewa Muhammad.
Sàsa unaposema assuming.... Una maana gani?
 
NASA wenyewe kwa wanayoyagundua leo wanasema kuna nguvu kubwa iliyofanya haya yote..wanaenda mbali zaidi na kusema upo uwezo mkubwa uliyofanya haya yote kwemye universe.

Nikikuuliza hapo ulipo hii gravitation force 9.81 ilitokeaje? Na kwa nini ukienda juu zaidi inapotea?
Kwa nini ipo Duniani tu na kwenye sayari nyingine haipo?

Haya yote ndiyo yanatufanya sisi TUAMINIO tukili kuna nguvu ya uumbaji ambayo ni MUNGU mwenye enzi.
Kwanini Akaitwa Mungu na sio tofauti? Nani alimpatia hilo Jina?
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Usilinganishe Biblia na vvitabu vya dini. Biblia ni Neno la Mungu na kila kitu kimo humo. Hata wanasayansi waliovumbua mambo makubwa ya kusaidia watu waliobgozwa na Biblia.
 
Qur'an aliandika Mungu akaishusha akàpewa Muhammad.
Sàsa unaposema assuming.... Una maana gani?
Huyo mungu wa qurani sio Mungu wa kweli Muumba mbingu na nchi. Mungu ameleta ujumbe wake kwa wanadamu kupitia watumishi wake wa nyakati mbalimbali. Lakini ujumbe wao unaoana ijapokuwa waliishi nyakati tofauti na mahali tofauti. Na maandiko hayo yaliunganishwa ndio tukapata Biblia. Isitoshe hadi leo wanaendelea kugundia maandiko mengine na yanaoana na Biblia. Kitabu cha Ufunuo ndicho cha mwisho na kime summarise Biblia yote na kuonya mtu atakayeobgeza au kupunguza maandiko ya Biblia Mungu atamhukumu. Sasa qurani ilikuja baadaye sana kwa ku copy na ku paste baadhi ya maandiko ya Biblia na kuchanganya na mila za kiarabu. Sasa wewe unayeamini qurani nakushangaa. Unaaminije copy iliyochajachuliwa badala ya original?
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
MKUU UMEULIZA SWALI LINALOWACHOMA VIONGOZI WA DINI KUMOYO
 
Vitu vyote vya angani ni sehemu ya uumbaji wa dunia ndio maana havipewi kipaumbele katika vitabu vya dini. Katika kitabu cha Mwanzo Mungu aliumba mbingu, mbingu inayozungumziwa ndio hiyo ya anga za juu ambayo ina jua, nyota, mwezi, sayari, na vimondo. Kulikua na haja gani Mungu aanze kuzungumzia mambo ya sayari wakati sayari, jua, nyota, mwezi na vitu vingine vyote vilikua ni package ya uumbaji wa Mbingu.
 
Si kuna aliyesema kwamba jua likichwa jioni huwa linakwenda kuzama kwenye tope hadi asubuhi ndio linaamka
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Hata havikukutaja wewe personally (kwa jina na ulikozaliwa), lakini upo.
 
Qur'an aliandika Mungu akaishusha akàpewa Muhammad.
Sàsa unaposema assuming.... Una maana gani?
Kaka, hebu soma soma basi mambo ya dini yako. Hakuna Mungu aliyeandika kurani. Wala mtume wenu Mudddy hakushushiwa kitabu na kukabidhiwa kama hivyo unavyovutia picha.

Kurani imendikwa na watu waliomfahamu muddy wakijaribu kukumbuka yale aliyokuwa anawaambia. Tena walikusanywa, wakwekwa chamber ili waifanye hiyo kazi.
In case huwajui, nitakutajia majina yao toka kwenye vyanzo vya dini yenu iliyoundwa na warlord Muddy.
 
Kaka, hebu soma soma basi mambo ya dini yako. Hakuna Mungu aliyeandika kurani. Wala mtume wenu Mudddy hakushushiwa kitabu na kukabidhiwa kama hivyo unavyovutia picha.

Kurani imendikwa na watu waliomfahamu muddy wakijaribu kukumbuka yale aliyokuwa anawaambia. Tena walikusanywa, wakwekwa chamber ili waifanye hiyo kazi.
In case huwajui, nitakutajia majina yao toka kwenye vyanzo vya dini yenu iliyoundwa na warlord Muddy.
Kikomo cha upeo wa ufikiri wa watu wa dini upo ktk hivyo vitabu hawezi kutengeneza analogical reasoning nje ya hapo
 
Mavitabu yaliyoletwa kwenye majahazi yote yamejaa story za kubumba tu.
 
Kwasababu hazina uhai ndani yake
Sawa na mapambo
 
Sema kitabu nasio vitabu maana Kuna kimoja.jaa la copy mutatis mutandis halafu kawadanganya kimeshushwa
 
Back
Top Bottom