Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Baba Mwajuma,
1. Concept ya universe imekuwepo miaka 500 BCE.
Huko ugiriki, wakina Pythagoras na Anixamander walishazungumzia universe mamia ya Karne kabla kurani haijaandikwa.
Vilevile, wakati kurani inaandikwa, tuyari wakina Mt. Augustine na Boethius walikuwa wameshaandika kuhusu ulimwengu kama muunganiko wa dunia na mbingu (space).
Hivyo basi, mungu wa kurani hakusema chochote kipya kuhusu anga. Waandishi wa kurani walichukua tu ideas za anga zinazokubalika wakati huo.

2. Kuhusu universe kuexpand:
Kurani kudai Mungu anapanua anga haina mahusiano ya moja kwa moja na cosmic expansion inayozungumzwa kwenye contemporary science ambayo unajaribu kuhusisha hapa.

3. Kurani imeandika concept nyingi tu ambazo ni unscientific. (Labda enzi hizo zilidhaniwa kuwa sahihi)
Mfano:
  • Jua kuzama matopeni
  • Kuchukulia anga kama Mbingu. Tena mbingu saba. Where is mbingu in the universe?
  • Kuchukulia Dunia kama tambarare inayoimarishwa na milima.
  • Kudhani kwamba jua linatembea (lina-move)
  • Kudhani kwamba viumbe vyote vipo viwiliviwili. Bacteria tu au amoeba wanaiprove kurani wrong.
  • Na Kadhalika.

Hivyo basi, kurani haina maajabu yoyote ya kuifahamu science. Waliandika kwenye vitabu vyao kilichoaminika na wanasayansi na jamii ya enzi hizo tu.
Again someni na muache cheap politics aisee ambazo hazina maana.

Hapa imeelezewa vizuri soma

Scholars wa kiisilamu since karne za mwanzo wa naongelea Quran ipo round, ukumbuke Wakati huo Waroma waliamini Dunia ipo flat, na kuna Aya nyingi zinaongelea uduara wa Dunia, na sio Duara tu Uisilamu pia unaelezea hio shape kama yai,. Kwamba ni duara ila sio perfect sphere. Hii Pia inakinzana na hoja yako kwamba Eti Quran ilichukua hoja Zinazokubalika wakati huo, Roman walikua super power na wengi waliwafuata blindly, Quran ikaenda against vitu ambavyo mpaka leo ni kweli.

Na kwanini Quran kuongelea ku expand Anga haina mahusiano na ku expand Anga hii hoja gani unatoa hapa?

According to Quran universe Zote duniani zipo ndani ya Mbingu ya kwanza, na kuna Mbingu 7, Mbingu then kuna Arsh na Quds, size difference between Arsh na Mbingu 7 ni kama tone La maji na Bahari, so so far Sayansi haija disprove chochote ilichosema Quran bali ina discover taratibu hizo claim kila siku.

Pia haijaanza leo Quran utofautiana na sayansi Na watu kuidhihaki Quran mpaka pale sayansi inapo advance na kukubali ana na Quran,
 
Bila hata kuingia kwenye mjadala mrefu wa translation gani ya Quran umetumia(maana hii sio tafsiri ya Yusuf Ali au Shakir), hakuna kitu kama "universe" kwenye Quran, wewe hapo ni chumvi tu umeongezea. Kitu mtume wako alikuwa anajua kuzungumzia ni sky na heavens.

Halafu embu tuambie Quran 51:48 inasema "As for the earth, We spread it out. How superbly did We smooth it out! And the earth We spread it out, How well We smoothed it out"

Hii spread out inamaanisha ni expanding earth au flat earth??
Bro hakuna Expanding earth kuna Expanding universe.

Pia kuspread out haimaanishi kitu ni flat, ili upate maana ya kitu unatakiwa uunganishe Aya zote kuna link juu nimeweka hapa
“He created the heavens and the earth for a purpose. He wraps (yukawwiru) the night around the day, and wraps the day around the night. And He has subjected the sun and the moon, each orbiting for an appointed term. He is truly the Almighty, Most Forgiving.”

Neno Yukawwiru kinatumika ku wrap nguo kwenye kitu ambacho ni round, kama unapovaa kilemba wakati huo waarabu walikuwa wanavaa hivyo, scholars wengi wakati huo wa katafsiri shape ya Dunia kama round.
 
Namba 3 ulichoandika hakina ukweli , nioneshe kweny Qur an jua linazama kweny matope ? Hlafu nitakufundisha kila kitu ! Hizo nyingine kama dunia tambarare ni kwamba wewe ndio huelewi .

Hakuna kiumbe aliyopo duniani akaona dunia ni duara , dunia ni tambara kweny surface ya juu pakiwa na milima ,tambarare ni usawa tuliokuwa nao ndio maana tunajenga majengo ...Achana na concepts kwamba dunia ni Duara hata iwe duara ila ndani yake ipo tambarare 😀 😛
Kuhusu jua kuzama kwenye muddy spring..
Al-Kahf 18:86 inasemaje mkuu?

Plus, umbo la dunia ni duara.. si tambarare..
Sehemu kadhaa ndiyo huwa tambarare.
😊
 
Again someni na muache cheap politics aisee ambazo hazina maana.

Hapa imeelezewa vizuri soma

Scholars wa kiisilamu since karne za mwanzo wa naongelea Quran ipo round, ukumbuke Wakati huo Waroma waliamini Dunia ipo flat, na kuna Aya nyingi zinaongelea uduara wa Dunia, na sio Duara tu Uisilamu pia unaelezea hio shape kama yai,. Kwamba ni duara ila sio perfect sphere. Hii Pia inakinzana na hoja yako kwamba Eti Quran ilichukua hoja Zinazokubalika wakati huo, Roman walikua super power na wengi waliwafuata blindly, Quran ikaenda against vitu ambavyo mpaka leo ni kweli.

Na kwanini Quran kuongelea ku expand Anga haina mahusiano na ku expand Anga hii hoja gani unatoa hapa?

According to Quran universe Zote duniani zipo ndani ya Mbingu ya kwanza, na kuna Mbingu 7, Mbingu then kuna Arsh na Quds, size difference between Arsh na Mbingu 7 ni kama tone La maji na Bahari, so so far Sayansi haija disprove chochote ilichosema Quran bali ina discover taratibu hizo claim kila siku.

Pia haijaanza leo Quran utofautiana na sayansi Na watu kuidhihaki Quran mpaka pale sayansi inapo advance na kukubali ana na Quran,
Kwanini usishee nasi hizo specific aya za kurani zinazoonesha hizi claims?

Pia, tunaweza kuthibitisha uwepo wa universe..Je, unaweza kuthibitisha uwepo wa mbingu?
 
Kuhusu jua kuzama kwenye muddy spring..
Al-Kahf 18:86 inasemaje mkuu?

Plus, umbo la dunia ni duara.. si tambarare..
Sehemu kadhaa ndiyo huwa tambarare.
😊
Tunaishi kweny uso wa dunia ni tambarare hakuna duara ndani ya dunia ...Nje ya dunia ndio duara ila ila sio kweny ardhini ..Kma ingekuwa ni duara unafirikia tengejengaje .

Unapoenda juu zaidi unaona duara na huwezi kuona clear view ya vyote , unaona kama ramani kwa mbali sana ..Concept haipo ni kwamba tunapoishi ni tambarare ndio maana tunajenga majengo kuelekea juu yakiwa kweny usawa.

AL kahf kasome vizuri concept ya kuzma kwa jua .

nasa.jpg
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Nimeshtushwa sana khaaa
 
Kwanini usishee nasi hizo specific aya za kurani zinazoonesha hizi claims?
Link Nimekuekea hapo, imeandika Aya hadi Scholars wa Mwanzo wa Uisilamu walivyokuwa against scholars wa Roma kuhusu shape ya Dunia,
Pia, tunaweza kuthibitisha uwepo wa universe..Je, unaweza kuthibitisha uwepo wa mbingu?
Quran haijashushwa kwa ajili ya 2024 ni timeless hadi mwisho wa Dunia, taratibu sayansi inakua na kila siku ina prove hivyo Quran ilivyo claim. Kitabu kilichoandika Dunia inazunguka kwenye orbit, Universe ina Expand, sisi ni kama kipunje tu kwenye Anga, Dunia ni shape ya mviringo etc it's just matter of time tech ya Camera ikikua nayo ita prove kuna Space nyengine beyond Universe.
 
Tunaishi kweny uso wa dunia ni tambarare hakuna duara ndani ya dunia ...Nje ya dunia ndio duara ila ila sio kweny ardhini ..Kma ingekuwa ni duara unafirikia tengejengaje .

Unapoenda juu zaidi unaona duara na huwezi kuona clear view ya vyote , unaona kama ramani kwa mbali sana ..Concept haipo ni kwamba tunapoishi ni tambarare ndio maana tunajenga majengo kuelekea juu yakiwa kweny usawa.

AL kahf kasome vizuri concept ya kuzma kwa jua .

View attachment 3064569
Nashukuru umekubali kwamba dunia Ina umbo la duara.
Hatulioni tukisimama juu ya uso wa dunia kwa sababu ya ukubwa wa dunia vs udogo wetu sisi.
Hata sisimizi anaweza kuona balloon kubwa kama tambarare kwa Sababu size yake inamruhusu kuona umbali mfupi sana.

Pia, kuhusu jua kuzama matopeni, kurani imeandika hivyo, sijui kwanini waumini mnataka kutafutia tafsiri statement iliyo wazi kabisa.
 
Link Nimekuekea hapo, imeandika Aya hadi Scholars wa Mwanzo wa Uisilamu walivyokuwa against scholars wa Roma kuhusu shape ya Dunia,

Quran haijashushwa kwa ajili ya 2024 ni timeless hadi mwisho wa Dunia, taratibu sayansi inakua na kila siku ina prove hivyo Quran ilivyo claim. Kitabu kilichoandika Dunia inazunguka kwenye orbit, Universe ina Expand, sisi ni kama kipunje tu kwenye Anga, Dunia ni shape ya mviringo etc it's just matter of time tech ya Camera ikikua nayo ita prove kuna Space nyengine beyond Universe.
Hayo ya kungoja ije camera nyingine ni yajayo.

Yaliyopo sasa ni kwamba ,Science inavyozidi kukua ndivyo inavyozidi ku-prove mapungufu ya Scientific concepts kadha wa kadha zilizoandikwa kwenye kurani.
Baadhi nilishazitaja.

Anyways, kurani ni kitabu cha imani, bora mngefocus na imani tu.
Sijui kwanini waislamu mna-assume kwamba ni kitabu kamilifu kwenye kila angle ya maisha!
Huu mtazamo ndiyo utaendelea kukikosesha maana hicho kitabu kwa kadri maarifa ya binadamu yanavyokuwa na vizazi vinavyobadilika.
 
Hayo ya kungoja ije camera nyingine ni yajayo.

Yaliyopo sasa ni kwamba ,Science inavyozidi kukua ndivyo inavyozidi ku-prove mapungufu ya Scientific concepts kadha wa kadha zilizoandikwa kwenye kurani.
Baadhi nilishazitaja.

Anyways, kurani ni kitabu cha imani, bora mngefocus na imani tu.
Sijui kwanini waislamu mna-assume kwamba ni kitabu kamilifu kwenye kila angle ya maisha!
Huu mtazamo ndiyo utaendelea kukikosesha maana hicho kitabu kwa kadri maarifa ya binadamu yanavyokuwa na vizazi vinavyobadilika.
Huja disprove chochote mkuu vyote ulivyoongea vinajulikana na vina majibu yake, na Quran ni kitabu cha Signs, Kupitia hizo Signs ndio inakuja Imani, kuna predictions na signs mbalimbali kuonesha binadamu wa kawaida hawezi fanya hizo guess.
 
وَإِذَا الْكَوَاكِبُ انتَثَرَتْ ﴿٢﴾

2. Na sayari zitakapoanguka na kutawanyika.

سورة الإِنْفِطَار

au unakusudia vitabu vya dini gan mkuu?
 
There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.

There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.
Which Christ?
 
Uko sahihi sana.

Dini ni tool ya kucontrol masses.
Period.

Ni mtu mjinga tu ndiye ana miaka 18+ na anaamini nyoka aliongea, mvua inaweza kunyesha dunia nzima na kuleta mafuriko dunia nzima kwa wakati mmoja au kwamba Kuna sehemu hewani inaitwa mbingu ambapo watu wataenda kunywa pombe mitoni na kuzagamua mabikira 70+ .

Hebu tuwe na akili kidogo, tuache kuact utoto wakati tumeshakuwa watu wazima.
NASA wenyewe kwa wanayoyagundua leo wanasema kuna nguvu kubwa iliyofanya haya yote..wanaenda mbali zaidi na kusema upo uwezo mkubwa uliyofanya haya yote kwemye universe.

Nikikuuliza hapo ulipo hii gravitation force 9.81 ilitokeaje? Na kwa nini ukienda juu zaidi inapotea?
Kwa nini ipo Duniani tu na kwenye sayari nyingine haipo?

Haya yote ndiyo yanatufanya sisi TUAMINIO tukili kuna nguvu ya uumbaji ambayo ni MUNGU mwenye enzi.
 
Back
Top Bottom