Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Elewa kwanza lengo kuu la dini; specifically Ukristo nyingine sijui.

Sio lengo la Ukristo kukutaarifu kuna sayari ngapi na hata ungefanya hivyo bado ungezusha lingine!

Mission #1 ya Ukristo ni WOKOVU. Tengeneza maisha yako na Mungu. Maisha yako yasiyozidi 100yrs utaijua wapi universe yote? For what?
Mkuu kuna watu hobby yao kubwa ni kufuatilia space au universe kama vile kulivyo na wengine hobby yao ni kufuatilia simba na yangu mchana na usiku, wengine kukata mauno wakicheza komasavaaa..
 
Elewa kwanza lengo kuu la dini; specifically Ukristo nyingine sijui.

Sio lengo la Ukristo kukutaarifu kuna sayari ngapi na hata ungefanya hivyo bado ungezusha lingine!

Mission #1 ya Ukristo ni WOKOVU. Tengeneza maisha yako na Mungu. Maisha yako yasiyozidi 100yrs utaijua wapi universe yote? For what?
How Could you Have Faith when There is No hope??

Kwanini Unamuambia Aamini Kwenye Wokovu Blindly bila Kujua Anaenda wapi na kufanya nini Na hajui Kuhusu Viti vinavyomzunguka Je unahisi Atapataje Imani bila Kuwa na Tumaini??
 
How Could you Have Faith when There is No hope??

Kwanini Unamuambia Aamini Kwenye Wokovu Blindly bila Kujua Anaenda wapi na kufanya nini Na hajui Kuhusu Viti vinavyomzunguka Je unahisi Atapataje Imani bila Kuwa na Tumaini??
There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.
 
There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.
Wapi umeambiwa unaenda Mbinguni???
Na unaenda mbinguni kufanya nini??

Hebu nisaidie hayo majibu ukitumia maandiko ya biblia
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Soga za mbinguni na motoni, visakale kuhusu uumbaji, hekaya za Immanuel, mtume Mo, na manabii kadha wa kadha. Tarihi mbalimbali zinazoelezea uchawi wa yesu na baba yake plus watu wao wa karibu. Vyote havina uhalisia na ukihoji sana unaambiwa acha utakufuru.

Let's be serious guys, it doesn't make sense that there's a nigga up there who did everything and can do anything just by the word of his mouth.
😂😂 There iz hopuuu.
Yes there's hope 😃
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Kwa sababu hivi vitabu vimetungwa na watu kama wewe na mimi na kingine kimeletwa na shetani / majini wasio na upeo wowote juu ya dunia zaidi ya kutesana tu na kutishiana amani.
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Wewe Biblia huijui na nina mashaka kama elimu ya sayansi unayo ya kutosha kiasi cha kujaribu kuandika ulichoandika
 
vile vitabu ni fix sana we kaini alifukuzwa kukaa na wazazi wake,huko alipoenda akaenda kupata mke akaoa! how? When? and why? hivyo vitabu picha linaanza ulimwengu ulikuwa mkiwa!,halafu kulikuwa na giza halafu picha linapokolea ni pale wameandika roho ya muumba ilikuwa juu ya vilindi vya maji..🥰🥰

Mpaka hapo alikuwa hajaanza kuumba chochote sasa hivyo sijui vilitokea wapi halafu kumbe komando wetu alikuwa juu ya maji... ipo hivi kuna vitu bado havifahamiki na ndio maana sio dini,sio sayansi vyote havina majibu tena bora hata sayansi inatafiti ulimwengu hizo dini zinakomalia hapohapo!.

Miaka ikienda hapo mbelembele kidogo itabidi wa update hivyo vitabu watu naona mmsheanza kugutuka! karibuni japo mmechelewa!...😅
Huwa unasoma mwenyewe au unaokoteza stori za mtaani? Kaini alipofukuzwa aliondoka na mke wake tayari sio kwamba alienda kuoa kule alikoenda na mke alikuwa ni dada yake kwa sababu Adamu alikuwa na watoto wa kike na Mungu wakati huo aliruhusu wazaane kwa sababu wao ni watu wa kwanza, amri ya kuzuia ndugu kuoana ilikuja baadae sana

Ukisoma Mwanzo 1:1 inasema, Mungu aliumba mbingu na nchi halafu ndo inaendelea kukwambia nchi ilikuwa ukiwa na utupu sasa unachoshangaa hapo ni nini? Yani bado unauliza vimetokea wapi kwani ushasahau kwamba ulisoma Mstari wa 1?

Yani hata watu wa zamani walioandikwa kwenye Biblia hiyo hiyo walikuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kuliko mwanasayansi wewe
 
Anaeleta debate kwenye umbo la dunia hajielewi proof zipo ikiwemo picha za satelite sasa debate ya nini
Umewahi kusikia domeshape ? Kagoogle uone km nayo theory zake uone zilivyo na point
 
Assuming kwamba Mungu ndiye alikuwa anaandika kupitia wao, je Mungu alikuwa hajui kuhusu hizo sayari zingine?
Quran imejaa Aya za Anga, na Wana sayansi wengi wa Mwanzo walikua inspired na Quran na kuanza kufanya Exploration Ya Anga.

Baadhi ya Aya za Quran zinazohusu Anga

1. AND IT IS We who have built the universe with [Our creative] power; and, verily, it is We who are steadily expanding it. Quran 51:47

Hapo Mwenyez Mungu anaelezea yeye ndio Ameumba Universe na yeye ndio anaeitanua, hii ni Ugunduzi wa karibuni tu kwamba Universe ina Expand

2.And We made heaven as a guarded roof. Yet they are ones who turn aside from its signs. QURAN 21:32

kila mtu sasa hivi anajua kwamba Anga ni kama paa linalotulinda na vilivyo nje ya Dunia kama mwanga wa jua etc.

3.and [fail to see that] it is He who has created the night and the day and the sun and the moon - all of them floating through space Quran 21:33

Hio Aya inayo jibu swali lako

4. ARE, THEN, they who are bent on denying the truth not aware that the heavens and the earth were [once] one single entity, which We then parted asunder? – and [that] We made out of water every living thing? Will they not, then, [begin to] believe Quran 21:30

Hapo Mwenyez mungu anaelezea Universe ilikua ni kitu kimoja na kikajiachia, theory ambayo inaelezewa kama Bing bang, Pia anaelezea kuhusu viumbe vyote hivyo

Kuna Aya nyingi za Anga na nyengine zinaingia deep zaidi, hivyo si kweli kwamba vitabu vya dini havijazungumzia, it's just vijana wa siku hizi ni much know sana, Ego 99.9999% na kujifanya mnajua kila kitu na Elimu 0.0001%
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Dini imetaja ulimwengu yaani universe na ndani ya ulimwengu ndimo mlimo sayari zingine.

Kwahiyo ulivyoambiwa umeubwa uje uutawale ulimwengu inamaanisha Dunia pamoja na vyote vilivyopo nje yake, ila dini imeongelea sana Dunia kwakua ndimo wewe ulimo ila ukijiongeza na kutoka nje ya mipaka hii ya Dunia still bado utakua ndani ya universe so baba yako wa mbinguni atafurahia kwamba alichokutuma unakitimiza vyema 😆😆

Ulimwengu ni jumla ya vitu vyote vilivyopo. Inajumlisha Dunia yetu pamoja na kila kitu ndani yake, jua letu, mfumo wa jua, sayari, nyota, galaksi n.k. Ni jumla ya mata, nishati na anga la Dunia pamoja na anga-nje.
 
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.

Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.

View attachment 3063963

adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake Yazidi Salim
1723076478002.png

Wewe tunafaili lako mirembe, utarudi tu siku moja tutakelekeza qibla inshaalah
 
Back
Top Bottom