Assuming kwamba Mungu ndiye alikuwa anaandika kupitia wao, je Mungu alikuwa hajui kuhusu hizo sayari zingine?
Quran imejaa Aya za Anga, na Wana sayansi wengi wa Mwanzo walikua inspired na Quran na kuanza kufanya Exploration Ya Anga.
Baadhi ya Aya za Quran zinazohusu Anga
1. AND IT IS We who have built the universe with [Our creative] power; and, verily, it is We who are steadily expanding it. Quran 51:47
Hapo Mwenyez Mungu anaelezea yeye ndio Ameumba Universe na yeye ndio anaeitanua, hii ni Ugunduzi wa karibuni tu kwamba Universe ina Expand
2.And We made heaven as a guarded roof. Yet they are ones who turn aside from its signs. QURAN 21:32
kila mtu sasa hivi anajua kwamba Anga ni kama paa linalotulinda na vilivyo nje ya Dunia kama mwanga wa jua etc.
3.and [fail to see that] it is He who has created the night and the day and the sun and the moon - all of them floating through space Quran 21:33
Hio Aya inayo jibu swali lako
4. ARE, THEN, they who are bent on denying the truth not aware that the heavens and the earth were [once] one single entity, which We then parted asunder? – and [that] We made out of water every living thing? Will they not, then, [begin to] believe Quran 21:30
Hapo Mwenyez mungu anaelezea Universe ilikua ni kitu kimoja na kikajiachia, theory ambayo inaelezewa kama Bing bang, Pia anaelezea kuhusu viumbe vyote hivyo
Kuna Aya nyingi za Anga na nyengine zinaingia deep zaidi, hivyo si kweli kwamba vitabu vya dini havijazungumzia, it's just vijana wa siku hizi ni much know sana, Ego 99.9999% na kujifanya mnajua kila kitu na Elimu 0.0001%