Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Na wewe unauhakika gani hizo sayari zipo km sayansi inadanganya?

Km tu umbo la dunia ni debate mpaka leo
Umbo la dunia ni debate mpaka leo kwa wajinga kama wale wanao debate kama UKIMWI upo au ni propoganda, leo hii kuna hadi picha na video zimepigwa na vyombo kutokea nje ya dunia.
 
"Mtakula kwa Jasho...." Hiyo ni kwamwanaume,mbona hata viumbe wenginee wasio Binadamu wanatesekaa kupata mloo mfano Simba akiwinda hukimbiza haswaa mpaka huruma,kunguru etc.
 
Uko sahihi sana.

Dini ni tool ya kucontrol masses.
Period.

Ni mtu mjinga tu ndiye ana miaka 18+ na anaamini nyoka aliongea, mvua inaweza kunyesha dunia nzima na kuleta mafuriko dunia nzima kwa wakati mmoja au kwamba Kuna sehemu hewani inaitwa mbingu ambapo watu wataenda kunywa pombe mitoni na kuzagamua mabikira 70+ .

Hebu tuwe na akili kidogo, tuache kuact utoto wakati tumeshakuwa watu wazima.
Ninakazia hapo 😂
 
Kuna msemo Mmoja huwa naupenda sana kuutolea Mfano...

The Eyes can not see What the Mind is Not!

kama Ubongo wako Haujui kitu hata ukuonyeshwa huwezi kujua Ni nini hicho...

Katika Karne hizo hakuna mtu aliyekuwa anajua kuwa Kuna sayari nyingine na ndo maana maandiko yote yalideal na Dunia peke yake..

Hakuna mtu atakuonyesha Any proof kutoka katika Biblia Uwepo wa sayari zingine..

Kuna sayari zaidi ya 1Mil + na galaxy zaidi ya 500 na kila galaxy ina Star system yake..

So Unafikiri kwanini Galileo aliuliwa na Kanisa na kupewa Adhabu??

Baada ya kusema Dunia Inazunguka Jua Kinyume cha Biblia..
Unaweza ukatupa uthibitisho usio na shaka kwamba Dunia Inazunguka?
 
Hakika.
Ni muda wa watu kuachana na hofu walizopandikizwa na wahubiri, mapadre, walezi na waimba injili toka utotoni.
Mara ohh.. utachomwa moto, utapata mabalaa, kulia na kusaga meno ..
Aiseeh ..
Hofu kubwa nyingine ni kuwa ukifiri nje ya box namna hiyo ni kuwa unakufuru na hiyo dhambi haisameheki.

Unakufuru nani? Dhambi kwa nani? Na haisameheki kwa nani? Hebu tuache upuuzi shubaaamit😂
 
Am pretty Sure that's not how the saying goes....
Yeah ni kweli..
😅😅
Japo inategemea Na lugha utakayoitolea Maana ukitoa kwenye Greek na Latin
The translation alwayz zinakuwa tofauti..

"The mind choose what it choose to See"

hiyo Condition inaitwa Psychological Scotoma au Mental Scotoma 😅😅

Kwahyo sentence itachange kuwa "mind seeing what it wants to see"

Mtu anaweza kukwambia Alichukuliwa akaenda Kuzimu Kabisa..

au mwingine Anaweza kukwambia Alimwona Yesu/Au Mtume..
Sasa Ukitaka kujua ni Scatoma Wachukue wote wanaosema walimwona Yesu au Mtume halafu waulize Structure, Presentation na Hata sura kila mmoja atakuwa na Wazo lake..
😅😅
 
Quran 12:4 sura Yusuf 4." Yusuf alipo mwambia baba yake: Ewe babaangu! Hakika mimi nimeota nyota kumi na moja, na jua, na mwezi. Nimeota zikinisujudia" pia ukisoma Quran sura ya 51 inasema "Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka ni kweli,Na kwa hakika malipo bila ya shaka yatatokea. Naapa kwa mbingu zenye njia,(Galaxy milk Way)
 

Attachments

  • Screenshot_20240807-200001.png
    Screenshot_20240807-200001.png
    1.1 MB · Views: 4
Back
Top Bottom