Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

Dini ni kwa ajili ya kushape tabia za watoto.....😁
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.

Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.

il_794xN.2160374853_o00v.jpg


adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake Yazidi Salim
 
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.

Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd the ni ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.

View attachment 3063963

adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake
Pole kwa kufiwa
 
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.

Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.

View attachment 3063963

adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake
Acha bhangii🙄
 
Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.

Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.

Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.

Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.

Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Wakati vinachapishwa sayari nyingine hazikuwa zimezaliwa!
 
Uko sahihi sana.

Dini ni tool ya kucontrol masses.
Period.

Ni mtu mjinga tu ndiye ana miaka 18+ na anaamini nyoka aliongea, mvua inaweza kunyesha dunia nzima na kuleta mafuriko dunia nzima kwa wakati mmoja au kwamba Kuna sehemu hewani inaitwa mbingu ambapo watu wataenda kunywa pombe mitoni na kuzagamua mabikira 70+ .

Hebu tuwe na akili kidogo, tuache kuact utoto wakati tumeshakuwa watu wazima.
Sasa mkuu hapo ndio reasoning yako ndio imeishia au umechagua flow ya ku justify your conclusions
 
Yawezekana watu wa kale waliona Race kutoka mbali ya Dunia hivyo wakawa hawana uelewa wa mambo
Imagine Story za Mungu na Malaika ni kama vile hawa miamba walikua na tech kubwa ya ajabu kama ile ya
'Mungu akasema tushuke na tuone huo mnara wa Babel wanao ujenga
Sasa hapo inasaund kama walikua kwenye Spaceship hivi!😁
Kuna ile Mungu alikua anashuka kila jioni kupunga upepo na kula mastory na Adam alikua anashuka toka wapi?😁
Nyingine ni ile Mungu amemtembelea Abraham pale mialoni mwa Mamre akiwa na Malaika wawili
Yaani Mungu yupo kaiwada na akala na msosi kabisa then wakaongea pale mastory na mipango yao😁
Ukisoma Summerian tablet zinadai hao kina Mungu &co walikua na tech ya kufa raia yaani hawahitaji gari kusepa Wana disappear without a trace ma time travel ya hatari so who are they
Au babu zetu walishindwa waelezea Annunak Nephilim from Nibiru Extraterrestrials planet ya kwamba ni viumbe ila kutokana na science na Technology za halo ya juu ndio wakawaita Miungu?
 

Attachments

  • ancient-sumerian-stone-carving-with-cuneiform-scripting-F3D826.jpg
    ancient-sumerian-stone-carving-with-cuneiform-scripting-F3D826.jpg
    295.7 KB · Views: 7
  • 360_F_289761093_CVHQctzzwN5Y34rXeMYR8n2GpX9BiRZl.jpg
    360_F_289761093_CVHQctzzwN5Y34rXeMYR8n2GpX9BiRZl.jpg
    55.5 KB · Views: 9
  • 1713731631303.jpg
    1713731631303.jpg
    277.5 KB · Views: 9
Mungu alimtokea Ibrahim akiwa Peke yake
Mungu alimtokea Musa peke yake
Mungu alimtokea Muhammad akiwa peke yake.

Mungu hutokea watu wakiwa peke yako when no one is arond 😅 😅, Hapo ndio msingi wa uwongo ulipo
 
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.

Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.

View attachment 3063963

adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake Yazidi Salim
Panga litamkata kashikaje 😅 😅 😅
 
Habari ROOM 47
Una uhakika Neno Sayari kila lilipotajwa Kwenye Biblia Lilimaanisha Planet au Planetary Body??

Lets See..
Mafungu Uliyotoa..

Aya ya Kwanza uliyotoa Inatoka kwenye 1 Wafalme 25:5..

Lets See it in Hebrew kabla hatujaenda kwenye English...

1 מלכים כ"ג:ה

וְהִשְׁבִּית אֶת-הַכְּמָרִים אֲשֶׁר-נָתְנוּ מַלְכֵי יְהוּדָה וַיְקַטֵּר בַּבָּמוֹת בְּעָרֵי יְהוּדָה וּמְסִבֵּי יְרוּשָׁלַםּ אֶת-הַמְּקַטְּרִים לַבַּעַל לַשֶּׁמֶשׁ וְלַיָּרֵחַ וְלַמַּזָּלוֹת וּלְכֹל צְבָא הַשָּׁמָיִם.

Inatamkwa Hivi mzee wangu

Ve-hishbit et ha-kemarim asher natnu malkei Yehuda va-yekater ba-bamot be-arei Yehuda u-mesibbei Yerushalayim et ha-mekaterim la-Baal la-shemesh ve-la-yareach ve-la-mazzalot u-le-chol tz'va ha-shamayim.


Tafsiri kwa Lugha ya Kingereza


And he removed the idolatrous priests whom the kings of Judah had ordained to burn incense in the high places in the cities of Judah and around Jerusalem—those who burned incense to Baal, to the sun and to the moon and to the constellations and to all the host of the heavens.


Neno Nililowekea Alaama Nyekundu hasa Ndo Neno walilolitafsiri kama Sayari waingereza..
lakini neno hilo Hilo linafanana na Andiko La Ayubu 38:32...

Angalia Vuzuri kwenye Tafsiri ya Kingereza Utaona Neno Mazzalot..
Screenshot_20240807_185221_Biblia.jpg


Sasa Nataka Nikufundishe kitu nenda kaangalia Tafsiri ya Neno Mazzalot/Mazzarot..

Mpaka Leo Hii hakuna anayejua Maana ya Neno hilo..
Wengi wanahajaribu kubabia huenda Ikawa Nyota za Zodiac signs yaani Elimu ya Nyota..
Screenshot_20240807_185555_Chrome.jpg


So hakuna Mahali popote Kwenye Biblia Kunakotaja Syari
 
Back
Top Bottom