Baba Mwajuma,
1. Concept ya universe imekuwepo miaka 500 BCE.
Huko ugiriki, wakina Pythagoras na Anixamander walishazungumzia universe mamia ya Karne kabla kurani haijaandikwa.
Vilevile, wakati kurani inaandikwa, tuyari wakina Mt. Augustine na Boethius walikuwa wameshaandika kuhusu ulimwengu kama muunganiko wa dunia na mbingu (space).
Hivyo basi, mungu wa kurani hakusema chochote kipya kuhusu anga. Waandishi wa kurani walichukua tu ideas za anga zinazokubalika wakati huo.
2. Kuhusu universe kuexpand:
Kurani kudai Mungu anapanua anga haina mahusiano ya moja kwa moja na cosmic expansion inayozungumzwa kwenye contemporary science ambayo unajaribu kuhusisha hapa.
3. Kurani imeandika concept nyingi tu ambazo ni unscientific. (Labda enzi hizo zilidhaniwa kuwa sahihi)
Mfano:
- Jua kuzama matopeni
- Kuchukulia anga kama Mbingu. Tena mbingu saba. Where is mbingu in the universe?
- Kuchukulia Dunia kama tambarare inayoimarishwa na milima.
- Kudhani kwamba jua linatembea (lina-move)
- Kudhani kwamba viumbe vyote vipo viwiliviwili. Bacteria tu au amoeba wanaiprove kurani wrong.
- Na Kadhalika.
Hivyo basi, kurani haina maajabu yoyote ya kuifahamu science. Waliandika kwenye vitabu vyao kilichoaminika na wanasayansi na jamii ya enzi hizo tu.