Kwanini vyama vya siasa nchini havina succesion plan kutoka rika moja hadi rika jingine?

Kwanini vyama vya siasa nchini havina succesion plan kutoka rika moja hadi rika jingine?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?

Maskini ya Mungu, vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu.

Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma.

Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.

Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..

Friends, ladies and gentlemen, unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Unataka kwa mfano Mbowe amrithishe nani kula ruzuku inayotolewa na Dola?

1728394431099.png


Lema na Msigwa(miaka hiyo) wakiwa nyumbani kwa Mbowe.
 
Kwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?

Maskini ya Mungu,
vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu...

Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma..

Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.


Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..

Friends, ladies and gentlemen,
unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?🐒

Mungu Ibariki Tanzania

Kama nyie mnayo si ndivyo mko vizuri?

Sasa wengine mnahangaika nao ili iweje?
 
Kwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?

Maskini ya Mungu,
vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu...

Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma..

Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.


Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..

Friends, ladies and gentlemen,
unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Toa mifano kwa nyadhifa ndani ya CCM zinazoshililiwa nw Vijana alafu pia upande wa Upinzani utoe mfano wa nyadhifa zinazoshikiliwa na wazee badala ya vijana.
 
CHADEMA ina vijana wengi, ni chama dola kongwe CCM ndiyo kumejaa vikongwe ktk Kamati Kuu, Halnashauri Kuu ya Taifa, Mikoa na Wilaya huku wenyeviti wa mikoa wa CCM na wilaya ni wakongwe sana.
1728394442163.png

Mwenyekiti CCM mkoa wa DSM



1728394554925.png

Picha maktaba : Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani na makamu wake wakiongozana umati wa wanachama kurudisha fomu

1728395275308.png
mwenyekiti wa UWT Jumuiya ya CCM Bi. Mary Chatanda

1728395616918.png

Bi. Queen Mlozi aliyekuwa mwenyekiti wa UWT jumuiya ya CCM

1728407796237.png
 
Kwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?

Maskini ya Mungu,
vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu...

Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma..

Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.


Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..

Friends, ladies and gentlemen,
unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Pumbavu sana wewe, CCM siyo chama cha siasa? CCM ina succession plan au ina heritage plan? Usidange watanzania asilani, kilichopo huko ni kwamba kigogo kabla hajakata ringi ashahakikisha watoto wake na ndugu zake wachache wapo katika hatua gani kutawala nchi? Unamwona Mwigilu kila siku akimpost mtoto wake ambaye pia sasa na mtoto ameanza kutoa misaada at his tender age lkn wanaopokea hiyo misaada ni wazee wenye umri zaidi ya Mwigulu? Hiyo ndo kurithi siyo succession. Understand? Lakini watanzaia wanaona hayo yote, wanaona ni kinyume na utaratibu siku ya siku majibu yataoatikana.
 
Wasiojulikana.
kwamba vijana hao hawajulikani kwenye vyama vyao, right?

elezea kwa kina kifupi kidogo gentleman kwa faida ya wadau,

kwamba lini vijana wanaojulikana watapatiwa nafasi na fursa za uongozi kwenye vyama vyao 🐒
 
Toa mifano kwa nyadhifa ndani ya CCM zinazoshililiwa nw Vijana alafu pia upande wa Upinzani utoe mfano wa nyadhifa zinazoshikiliwa na wazee badala ya vijana.
nadhani ccm iko wazi sana kwenye mambo ya succession plans, mathalani, Mwenyekiti wa CCM Taifa, katibu mkuu wa CCM Taifa, Muenezi Taifa, katibu mkuu msaidizi, mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa wote hao ni matokeo ya succession plans ya chama na serikali...

sina mfano kwa upande wa upinzani kwasababu hakuna kabisa, wamezira kabisa wamekua kama wastaafu tu 🐒
 
ikiwa umefikia ukomo wako wa mwisho wa fikra mpya na mawazo mbdala, tena kwenye mambo muhimu na mazito ya kidemokrasia,

kuwa muungwana tu, na ukae kimya gentleman 🐒

Kitu gani kimekukwaza hapo ndugu?
 
Mkuu Mbowe ni mwenyekiti, ebu taja chama chochote cha siasa duniani ambayo mwenyekiti wake ni Kijana.
chama cha upinzani EFF Africa kusini, Zimbabwe na hata Senegal, viongozi wake ni vijana mno na wanaongoza vizuri sana 🐒
 
CHADEMA ina vijana wengi, ni chama dola kongwe CCM ndiyo kumejaa vikongwe ktk Kamati Kuu, Halnashauri Kuu ya Taifa, Mikoa na Wilaya huku wenyeviti wa mikoa wa CCM na wilaya ni wakongwe sana.
View attachment 3118974
Mwenyekiti CCM mkoa wa DSM



View attachment 3118976
Picha maktaba : Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani na makamu wake wakiongozana umati wa wanachama kurudisha fomu

View attachment 3118995mwenyekiti wa UWT Jumuiya ya CCM Bi. Mary Chatanda

View attachment 3119001
Bi. Queen Mlozi aliyekuwa mwenyekiti wa UWT jumuiya ya CCM
hao wa Chadema kama ni viongozi wa vijana wataishia hapo hapo na sio uongozi zaidi ya hapo. Ndiyo maana waliowahi kupitia huko hivi sasa wamezira, wamesusa na wanajitenga na masula ya chama chao...

Wapo wapo tu kama wastaafu vile, lakin ni vijana.
Kila wakijaribu kujitutumua kuja na mawazo au fikra mpya ili wapate nafasi za juu za chama, wanaishia kutolewa kafara au kufanywa misukule tu, na kusingiziwa wengine 🐒
 
Wanapikwa CDM ila wananunuliwa na CCM ujue.viongoziwote waluitoka CDM wanelamba shavu huko nyonyiem
hakuna matumaini , wala hakuna succession plans. Watazubaa kufanya nini sasa gentleman?

waliobaki wote ni kwasababu za kiganga na kishirikina tu wamenaswa na uchawi pale cdm🐒
 
Back
Top Bottom