Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda vijana waliopo hawana uwezo wa kuongoza🤣🤣🤣 kikubwa waweze kuandamana tu bhaasi! (utani)Kwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?
Maskini ya Mungu, vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu.
Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma.
Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.
Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..
Friends, ladies and gentlemen, unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
CCM ni chama kinachowajali wananchi na kuwa karibu yao.
- hoja ni kwamba Heche alikuwa bavicha taifa na sasa ni Mjumbe Wa Kamati kuu.ni miongoni mwa viongozi wanaozira na kususa kimyakimya dhidi ya mambo yanayofanyika na uongozi wa hapo juu,
Je, ni kwamba hajaridhika na nafasi aliyoko, na anadhani alistahili kua nafasi ya juu zaidi ili walau kumreplace kamanda hayati ChachaWangwe na kuwafuta machozi wana Tarime?🐒
Wewe ndo unajipanga Kwa uchawa?ni kujipanga tu gentleman bila muhemko wala makasiriko na unatoboa maisha yako na watoto wako vizuri tu huku Neema na Baraka za Mungu zikiambatana na kuandamana pamoja nawe daima na milele Aimen. 🐒
Kamuulizekwanini analeta kiburi sasa kususia maamuzi yanayotoka juu 🐒
ndivyo alivyofundishwa ukaidi uongozi ni?
Umejuaje?hakukuzwa kwenye succession plans stages huyo, kubeti kunamuharibu 🐒
Sijawahi kuwa nyumbu Wala chawa wewe endelea kujenga future yako Kwa uchawakua nyumbu ni uamuzi wako gentleman 🐒
Acha uchawa gentlemanacha ushirikina bas gentleman 🐒
(1) UbinafsiKwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?
Maskini ya Mungu, vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu.
Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma.
Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.
Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..
Friends, ladies and gentlemen, unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?🐒
Mungu Ibariki Tanzania