Unapenda sana kupindisha maneno ukiishiwa hoja.chama cha upinzani EFF Africa kusini, Zimbabwe na hata Senegal, viongozi wake ni vijana mno na wanaongoza vizuri sana π
Watafanya succession vipi wakati vijana wa upinzani mnawauwa na kuwateka na kuwakosesha fursa kwa kila naman. Kmmaaammmaako mmmmssseenngeee mmkumbwaaa weeeweeKwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?
Maskini ya Mungu, vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu.
Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma.
Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.
Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..
Friends, ladies and gentlemen, unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?π
Mungu Ibariki Tanzania
Je,Unapenda sana kupindisha maneno ukiishiwa hoja.
Ebu angaza vyama vya CCM, CHADEMA, ACT-WAZALENDO, CUF, NCCR MAGEUZI, TADEA, CHAUMA, TLP, MAKINI, CCK, N.K
Angalia viongozi wao kwenye nafasi zifuatazo.
1. M/kiti Taifa.
2. Katibu Mkuu
3. Naibu katibu mkuu bara na visiwani.
4. Uenezi na mawasiliano
5. Jumuiya ya Wazazi.
6. Vijana.
7. Mambo ya nje sera na uratibu.
Kwasababu unaleta hoja bila kuleta ushahidi unakuwa msema uongo na mpotoshaji.
Succession CCM ni koi zilezile ni kama chama Cha machifuKwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?
Maskini ya Mungu, vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu.
Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma.
Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.
Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..
Friends, ladies and gentlemen, unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?π
Mungu Ibariki Tanzania
Hawaaminiani. Fitna, chuki na majungu. Mwisho ni vyama havina itikadi so huwezi tabiri stability ya mwanachama kesho atakuwaje.Kwanini hawafanyi kama wanavyofanya CCM, kuwaandaa vijana wao wa jinsia zote, na kuwapa fursa na nafasi tofauti tofauti za uongozi hata baada ya kuhudumu katika jumuiya za urika wao wa awali?
Maskini ya Mungu, vijana wengi kwa mfano upinzani, wanaishia tu kwenye idara zao za nyakati za ujana wao ndani ya vyama vyao, halafu baada ya hapo hawaonekani tena na wala hawapewi nafasi wala fursa tena za uongozi kwenye ngazi nyingine za juu.
Mbaya zaidi jinsia, hususani ya kike haizingatiwi kabisa kupatiwa fursa za uongozi ndani ya vyama vya siasa hadi inatia huruma.
Katika baadhi ya vyama siasa kwa mfano, waliowahi kua vijana zamani wameanza kuzira, kususa kimya kimya na kujitenga na shughuli za kichama kabisaa, kwasababu hakuna matumaini tena ya kupata nafasi au fursa huko juu katika vyama.
Kuna vyama vya siasa humu nchini, tangu kuanzishwa kwake miaka zaidi ya 20 iliyopita, mwenyekiti wake na viongozi wengine waandamizi ni wale wale na hawana dalili za kuwaandaa au kuachia wengine kwa utaratibu wa succession plans, wala hawana nia ya kuwapa fursa na nafasi za uongozi wa juu kwa wanawake..
Friends, ladies and gentlemen, unadhani changamoto ni nini hasa, hata succession plans isiwe na umuhimu ndani ya vyama vya siasa na kukumbatia uhafidhina?π
Mungu Ibariki Tanzania
Usinichekeshe ndugu. Vyama vyote, havina succession plan. Mfano CCM tunaona watu ambao ni watoto wa viongoz waliopita na wengi hawana uwezo,Kikwete Junior, Nnauye Junior, Makamba Junior.unakuta kijana mdogo tu upinzani, eti kastaafu siasa, kumbe maskini ya Mungu hakuna matumaini ya fursa wala nafasi anaweza kupata nafasi ya uongozi kwenye chama chake kwasabb viongozi wao ni wa maisha π
kwahvyo gentleman,Usinichekeshe ndugu. Vyama vyote, havina succession plan. Mfano CCM tunaona watu ambao ni watoto wa viongoz waliopita na wengi hawana uwezo,Kikwete Junior, Nnauye Junior, Makamba Junior.
CDM pia hawana succession plan, maana tunaona Mbowe yupo miaka na miaka yupo. ACT tunaona Zitto anajifanya ameretire lakin yupo tu.
Siasa za Tanzania bado ni za maslahi ya watu wachache na bado hazijasaidia watu wengi kutoka sehemu moja.
Nimetoa mfano tu mmoja, wapo wengi sana hata Mbowe miaka ya '90 alikuwa ni kiongozi wa vijana, Leo ndio Mwenyekiti.Na huyo ndiyo introduction, main body na conclusions kabisa ndani ya chama hicho, right?π
Mbona vinafanya tofauti na CCM Koo ni zilezile nyie machawa na wapiga jalamba mtaendelea kupiga jalamba na mtaurithisha uchawa watoto wenu Kwa wajukuu wa Ridhiwan na NapeJe, vyama vya siasa vingine kwanini hawafanyi basi hata kama ni tofauti na wanavyofanya CCM?π
kwanini usitiririke tu kama wengine akina nchimbi, makala, mongela, jocket, ally happy, magoti, makonda, shigela, heri jemsi, shaka hamdu, mtaka, mavunde, masauni, kawaida n.k?Nimetoa mfano tu mmoja, wapo wengi sana hata Mbowe miaka ya '90 alikuwa ni kiongozi wa vijana, Leo ndio Mwenyekiti.
Sina muda Niko bizekwanini usitiririke tu kama wengine akina nchimbi, makala, mongela, jocket, ally happy, magoti, makonda, shigela, heri jemsi, shaka hamdu, mtaka, mavunde, masauni, kawaida n.k?
kwahivyo tangu miaka ya 1990 mpka wa leo succession plans chadema ni ni Mbowe and full stop?π€£
ni miongoni mwa viongozi wanaozira na kususa kimyakimya dhidi ya mambo yanayofanyika na uongozi wa hapo juu,Sina muda Niko bize
Kuna Mtu anaitwa John Heche yeye alikuwa Mwenyekiti Wa Vijana (bavicha) kwa sasa ni Mwenyekiti Wa Kanda na Mjumbe Wa Kamati kuu, na pia aliwahi kuwa Diwani na Mbunge Wa Tarime Vijijini.
Wewe ndo nyumbu endelea kuwa chawa unamrithisha uchawa mjukuu wakoMaskini dah,
kukurupuka bana,
kweli hii ni nyumbu π€£
ni kujipanga tu gentleman bila muhemko wala makasiriko na unatoboa maisha yako na watoto wako vizuri tu huku Neema na Baraka za Mungu zikiambatana na kuandamana pamoja nawe daima na milele Aimen. πWewe ndo nyumbu endelea kuwa chawa unamrithisha uchawa mjukuu wako