Kenya 2022 Kwanini vyombo vya habari nchini Kenya vimeacha kuonesha matokeo ya urais?

Kenya 2022 Kwanini vyombo vya habari nchini Kenya vimeacha kuonesha matokeo ya urais?

Kenya 2022 General Election

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Toka juzi vyombo vya habari nchini Kenya viliweza kurusha matokeo ya urais. Leo asubuhi wameacha kuonyesha. Hii ni kwa vyombo vyote, Kilichobaki tu ni kuonyesha matokeo ya kila Kaunti. Nashindwa kuelewa shida nini maana tumekuwa tunafuatilia kwa urahisi.

Sasa, Shida ni nini?

Ni kweli mtandao umekatika?

Wamegundua kuna tatizo litajitokeza?

Wamenyimwa access ya 34A au?

au mimi ndiye mwenye haraka labda wataendelea baadae?
 
lakini naona haija serve the purpose....maana mpaka jana saa saba usiku kila chombo cha habari kilikuwa na idadi tofauti. Naelewa mwenye mamlaka ya kutangaza mshindi ni IEBC, wangeviacha vyombo vya habari viendelee kuonyesha data zilipofikia.

kwasasa hatujui ni nini kinaendelea.

udanganyifu gani The Boss ?
 
Ukiona hivyo yanapinduliwa hayo.
Toka juzi.
Ila ntashangaa sana Raila akishinda.
Huyo mzee kachoka wamwonee huruma tu wasimpe apumzike.
 
Ukiona hivyo yanapinduliwa hayo.
Toka juzi.
Ila ntashangaa sana Raila akishinda.
Huyo mzee kachoka wamwonee huruma tu wasimpe apumzike.
Sijui kuhusu kupinduliwa....lakini binafsi naona toka mwanzo ingetakiwa kufanya kama wanavyofanya sasa.

hauwezi kujumlisha kura kabla ya kuzihakiki physically. media zilikuwa zinajumlisha 34A za online (nipo tayari kusahihishwa)
 
Vyombo vya habari vilikuwa vinatoa just "Preliminary Results". Na kwa sasa vimeshahesabu kura zote ambapo siyo Ruto wala Odinga aliyeibuka kidedea.
Hizo Preliminary Results ndiyo kama hizi hapa👇
IMG_20220812_121800.jpg


Kinachofanyika sasa ni tume kuu yaani IEBC ndiyo wanafanya majumuisho ya forms zote original kutoka vituoni kisha ndiyo wanatoa "Verified/Final Results", baada ya hapo ndipo watafanya maamuzi ya kama kuna mshindi ama ngoma droo.
Hizo Verified Results ndiyo kama hivi sasa👇
IMG_20220812_122727.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220812_121800.jpg
    IMG_20220812_121800.jpg
    126.1 KB · Views: 4
  • IMG_20220812_122754.jpg
    IMG_20220812_122754.jpg
    926.9 KB · Views: 3
Toka juzi vyombo vya habari nchini Kenya viliweza kurusha matokeo ya urais. Leo asubuhi wameacha kuonyesha. Hii ni kwa vyombo vyote, Kilichobaki tu ni kuonyesha matokeo ya kila Kaunti. Nashindwa kuelewa shida nini maana tumekuwa tunafuatilia kwa urahisi.

Sasa, Shida ni nini?

Ni kweli mtandao umekatika?

Wamegundua kuna tatizo litajitokeza?

Wamenyimwa access ya 34A au?

au mimi ndiye mwenye haraka labda wataendelea baadae?
Hakuna tena matokeo ya kutoa!! Wameshayatoa karibuni yote. Nimekuwa nafuatilia kwenye gazeti la NATION (online). Angalia post #10 hapo juu.
 
Vyombo vya habari vilikuwa vinatoa just "Preliminary Results". Na kwa sasa vimeshahesabu kura zote ambapo siyo Ruto wala Odinga aliyeibuka kidedea.
Hizo Preliminary Results ndiyo kama hizi hapa👇
View attachment 2321777

Kinachofanyika sasa ni tume kuu yaani IEBC ndiyo wanafanya majumuisho ya forms zote original kutoka vituoni kisha ndiyo wanatoa "Verified/Final Results", baada ya hapo ndipo watafanya maamuzi ya kama kuna mshindi ama ngoma droo.
Hizo Verified Results ndiyo kama hivi sasa👇
View attachment 2321778

Jumla ya kura zilizopigwa (total votes cast) siyo 13,427,287 kama ulivyosema. Bali jumla ya kura halali (total valid votes) zilizohesabiwa ni13,427,287. Jumla ya kura zilizopigwa ni nyingi kuliko hizo maana inajumuisha pia kura zilizoharibika ambazo hazikuhesabiwa.
 
Wewe usitudanganye,Tume imepiga stop TV stations zote kutoa matokeo
Hakuna TV iliyokuwaq inatoa matokeo, walichokuwa wanafanya ni kuoneshwa kura zilizojumlishwa! Nationa online inaonesha jumla ya kura halali zilizoenda kwa wagombea ni 13,427,287. Bila kujumlisha kura zilizoharibika ambazo pia ni maelfu kadhaa. Jumla ya waliopiga kura ni 14,164,561. Ukitoa kura halali unabaki na 737,274. Hii idadi inawakilisha kwa kiasi kikubwa kura ZILIZOHARIBIKA na kura chache zilitokana na manual registration of few voters. Kwa hiyo kura za kujumlisha ni kama zimekwisha! (almost over ).
 
Hakuna TV iliyokuwaq inatoa matokeo, walichokuwa wanafanya ni kuoneshwa kura zilizojumlishwa! Nationa online inaonesha jumla ya kura halali zilizoenda kwa wagombea ni 13,427,287. Bila kujumlisha kura zilizoharibika ambazo pia ni maelfu kadhaa. Jumla ya waliopiga kura ni 14,164,561. Ukitoa kura halali unabaki na 737,274. Hii idadi inawakilisha kura ZILIZOHARIBIKA. Kwa hiyo kura za kujumlisha zimekwisha!
Chanzo cha hiki ulichoandika ni kipi? kiweke hapa
 
Wakenya ujuaji mwingi wakati hawana ubavu wa kuvumilia matokeo ngoja waanze kuchapana ndio tujue kuwa walikua wanaigiza.
 
Back
Top Bottom