Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Toka juzi vyombo vya habari nchini Kenya viliweza kurusha matokeo ya urais. Leo asubuhi wameacha kuonyesha. Hii ni kwa vyombo vyote, Kilichobaki tu ni kuonyesha matokeo ya kila Kaunti. Nashindwa kuelewa shida nini maana tumekuwa tunafuatilia kwa urahisi.
Sasa, Shida ni nini?
Ni kweli mtandao umekatika?
Wamegundua kuna tatizo litajitokeza?
Wamenyimwa access ya 34A au?
au mimi ndiye mwenye haraka labda wataendelea baadae?
Sasa, Shida ni nini?
Ni kweli mtandao umekatika?
Wamegundua kuna tatizo litajitokeza?
Wamenyimwa access ya 34A au?
au mimi ndiye mwenye haraka labda wataendelea baadae?