zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Physical kivipi mkuu?;wakati zile zilikua scanned from the originals.Sijui kuhusu kupinduliwa....lakini binafsi naona toka mwanzo ingetakiwa kufanya kama wanavyofanya sasa.
hauwezi kujumlisha kura kabla ya kuzihakiki physically. media zilikuwa zinajumlisha 34A za online (nipo tayari kusahihishwa)
Matokeo hayatangazwi sababu sahivi IEBC inatoa matokeo ya Jimbo (Form 34 C) hivyo imerahisisha maana fomu zipo 200+ tofauti na Form 34A ambazo zipo 48k