luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kupitia ivyo vyombo vya habari wa Tz wenzangu mmepigwa sana vyengaaa maana mlikuwa mkiamini uchaguzi wa kenya ni boraa sanaa
Kumbe matokeo yaliyokuwa yanayolewa na medias yalikuwa yana kinzana na ya IEBC hivyo ni wazi wange endelea bac wange sababisha machafuko mbeleni
Wa Tz tukumbuke nchi zilizo piga hatua ni zimepiga hatua tu, kuwa nankatiba nzuri lkn tabia ikiwa mbaya basi iyo katiba haikusaidii kitu Ng'oooooooo
Kumbe matokeo yaliyokuwa yanayolewa na medias yalikuwa yana kinzana na ya IEBC hivyo ni wazi wange endelea bac wange sababisha machafuko mbeleni
Wa Tz tukumbuke nchi zilizo piga hatua ni zimepiga hatua tu, kuwa nankatiba nzuri lkn tabia ikiwa mbaya basi iyo katiba haikusaidii kitu Ng'oooooooo