Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Huwa najiuliza sana hili swali ndo mana nimeamua kuwa mpagani au nafikiri a kuwa muislamu. Kwa Nini mapadre hawatoagi sadaka wakati mitumbo Yao inazidi kujaa i.e vitambi na wengi wao wamejenga nyumba mpaka wamewajengea michepuko Yao.
Huu nao ni ukoloni mambo Leo kanisani yaani waamini wananyonywa mpaka tone la mwisho na hakuna point of satisfaction daily ni michango na sadaka lakini mapadre wanashinda baa wanakunywa bia tua lakini ukimwambia atoe hata kumi kama sadaka anakwambia hiyo si kazi yake yeye kazi yake ni kunyonya tu.
Huu nao ni ukoloni mambo Leo kanisani yaani waamini wananyonywa mpaka tone la mwisho na hakuna point of satisfaction daily ni michango na sadaka lakini mapadre wanashinda baa wanakunywa bia tua lakini ukimwambia atoe hata kumi kama sadaka anakwambia hiyo si kazi yake yeye kazi yake ni kunyonya tu.