Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Chanzo cha huu uzi ni kutaka tu kumchafua Katibu mkuu wa TEC Padre Dr. Charles Kitima. Nothing more.Samahani Mkuu, kuna Padri alikuja kukukaba koo kwa sababu hukutoa sadaka!? Ni vyema uhamie huko kusiko na michango kuliko hizi kelele zako.