Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Usidanganye..labda amini hayo wewe binafsi,kupoteza ndugu jamaa zangu siyo sababu ya mimi kwenda kujiua na watu bwana.hapo hua kuna kitu ingine,tena unaweza kuta hua wanaamisha watu kua wamejilipua na kumbe unakuta kilichoenda kulipua ni midori tu mfano wa mwanadamu na inawezekana kabisa.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Fikra ya kijinga kabisa hii km wanayo,
Hivi mtu km mna akili ya kujua kuwa mnachonganishwa na hamna roho mbaya,mna shindwa nini kuacha kuuana maana mmeshajua chanzo,
 
Kuuana kwao ni side effect ya mafundisho ya dini yao,
Unapomfundisha mwanao kuua ili kutetea dini,siku wa dini tofauti wa kumuua akikosekana ama wakikosana wao kwa wao watatumia mbinu hiyo hiyo kujitetea
 
Ona aibu
 
Waarabu wanasumbuliwa tu! na makampuni ya kibepari ya wazungu, kama ilivyo Afrika hakuna kingine.
 
Aibu nimeona !! baada ya kuelewa kuwa humu wapo wengi ni taahira... Kwa sababu hawajui UARABU ndo unaunganisha UBINAADAMU... billa hicho mataifa mengi ulimwenguni ni kama mbuga za seregenti "Mzungu kumnyanyapaa Mwafrika, na Mchina kumyanyasa muhindi na Mjapani kumkandamiza mkorea na Waafrika kudharauliana" tembea uone !!
 
Mkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
😎😎😎 wanajitakia wenyewe kukosa elimu ............ elimu unaifwata si inakufwata
 
kumbe hawana akili na huenda hata mungu wanaye muamini hana nguvu kama Mungu wa wajukuu wa Mfalume Daudi ndo maana wamevurugwa
 
ulitakiwa ujiulize kama ni mbao mbona mnashindwa katika kila eneo na hao wanao amini katika yeye...elimu mmeshindwa..afya mmeshindwa...kila kitu
Ha ha h ha ha aha haaaaaaa..... eti elimu ? Samahani tuishie hapo.... inatosha !!!! (kuna elimu ya wizi/ufisadi/ubadhirifu/uporaji/nyang'anyi,nk nk) bora tuishie hapa !!
 
Si waarabu tu wa africa kwa ujumla vipi bokoharamu ni waarabu? somalia Alshabaab nao waarabu haya M23 congo nao waarabu au wanapigana na wazungu? Haya hapa kwetu wasiojulikana wanaoteka nakuua watu nao ni waarabu? Vipi kuhusu south sudani ni waarabu pia? haina shaka trump akasema shithole countries huezi kua mzima kichwani kama unaua ndugu yako.
 
IQ yetu iko juu kaka maana mbongo umpe Bomu akalipue watu hawezi Fanya ujinga huo maana ana uwezo WA kurizoni kwa nn aue na hiyo ndo IQ .sio unaambiwa kalipue unaenda tu kisa umedanganywa na mambo ya dini
Wanafikiri mwafrika kutokutengeneza bunduki kwa wingi wanajua ni mjinga. Huwezi tengeneza bunduki halafu irudi ikuue mwenyewe, mwafrika hakutaka ujinga huo.
 
Wafafanue zaidi na tamaduni zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…