Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

mkuu na rafiki yangu muislamu yani alivyokuwa ananielezea kuhusu hao mabikra 72 lazima utamani kuwapata na tatizo kubwa kabisa paka wanafanya haya mambo ya kuuwana wenyewe kwa wenyewe ni dini yao na kitabu chao
Alikwambia na mwanamke atapata nini?
 
Uoga tu,mbona kwenye ngono zembe hatufikiriagi mara mbili.tunaloweka tu.
Tunaloweka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako. Akajibu, akawaambia, kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona. Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi. (Mt. 12:38-40) (Rejea Yona 1:15 –2:1).

Sasa unakaaje kaburini ka hujafa? Ubongo wa kuku ni shida sana.
 
Uko kote ulikukoja hawakutumia dini kuharalisha mauaje lakini waraabu wanatumia vifungu vya dini kuharalisha umwagaji damu
 
Uko kote ulikukoja hawakutumia dini kuharalisha mauaje lakini waraabu wanatumia vifungu vya dini kuharalisha umwagaji damu
Wapo wengi wabaotumia vifungu vya dini,ukisngalia Askofu Kibwetere,alivyoua maelfu,ndani ya kanisa,alitumia vifungu vya dini.
Waprotestant na wakatoliki,wanauwana kwa kutumia vifungu vya dini.
Lord Resistant Army,wanaua kwa kutumia vifungu vya dini. Nk
 
Jiulize karne ipi waliuwana na waarabu wanauana karne ipi utajua maana kustarabika na kujutambua kama ulikisea
 

Syria na Palestine ni waarabu soma hii. "The Arab World consists of 22 countries in the Middle East and North Africa: Algeria, Bahrain, the Comoros Islands, Djibouti, Egypt, Iraq, Jordan, Kuwait, Lebanon, Libya, Morocco, Mauritania, Oman, Palestine, Qatar, Saudi Arabia, Somalia, Sudan, Syria, Tunisia, the United Arab Emirates, and Yemen."
 



Soma zaidi huko ndani ya syria na Palestine na baadhi ya nchi hizo ulizoziandika, kuna watu aina ngapi , ingia google ???

Wewe labda unaangalia lugha
 
Usichanganye lugha inayowaunganisha na "ethnicity" yao..

Ni sawasawa kusema Wazambia, Wamalawi na Wajamaica ni waingereza kwa kuwa wanaongea kiingereza.

Lugha ya kiarabu ina lahaja (dialects) nyingi na vilevile lugha nyingi huwa pia zinaandikwa kwa herufi za kiarabu (hata Kiswahili kabla hakijaandikwa kwa herufi za kilatini kiliandikwa kwa kiarabu). Hivyo watu wengi huchanganya na kwa kutaka urahisi huwajumuisha wote kuwa ni waarabu.

Ingawaje waTunisia wanajiita ni waarabu lakini kiasili sio, hata waMisri ingawaje wapo katibu sana na saudia hawataki waitwe waarabu.
 

Sawa kama Misri na Tunisia sio waarabu , naomba unielimishe waarabu ni watu gani?
 
Soma zaidi huko ndani ya syria na Palestine na baadhi ya nchi hizo ulizoziandika, kuna watu aina ngapi , ingia google ???

Wewe labda unaangalia lugha
Ingia wewe google uone jibu utakalopata ndio uliweke hapa?
 
Wamekubali kuchonganishwa acha wanyukane Waisrael wawe salama hamna namna
 
Ni kweli...mauaji yanatokea sehem nyingi sana hapa duniani....issue ni nani anareport na kwa interest gan?!

Mashariki ya kati hadi siku mbadala wa mafuta utakapopatikana....they will kno no peace!
 

Djibouti and Somalia are Cushitics and not Arabs. They are the same as Ethiopian and those of Eritrea. Can you tell us the criterion used to term these two countries as Arabs Countries? Also why the Comoros are grouped among the Arab Countries and not otherwise?
 
Mkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
Mbona tafiti zinaonesha " HIGHQUE " haina uhusiano na asili ya mtu?
 
Ha ha h ha ha aha haaaaaaa..... eti elimu ? Samahani tuishie hapo.... inatosha !!!! (kuna elimu ya wizi/ufisadi/ubadhirifu/uporaji/nyang'anyi,nk nk) bora tuishie hapa !!
Kama mfalme wa Saudia anavyoibia na kudhulumu utajiri wa wasaudi. Mafuta yote amefanya yake na kujitajirisha yeye na familia yake. Narabuk!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…