Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Wewe mkuu kila siku palestina wanajitoa muhanga BBC haipiti wiki 2 bila kusikia Palestina
Watoto wa vichaa mmaAmini CNN,BBC Foxnews na wendawazimu wa media mongers
nendeni kwenye viwanja vya mpambano mkaone maRijali wanavyojitetea na kutetea rasilimali zao na ardhi zao!!!!! na mafuta yatarudi bei yake asili $200 per barrel kwenye mikono ya midume!!
 
HQ Yao ni ndogo kuliko funza ona wanavyojimaliza wenyew eti unaua ndugu zako 100 unaenda kuwaambia wazungu me ndo nimewaua wale yani hata bashite hana akili izi tusiseme tu waarabu ila ukweli dini ya kiislam mafundisho yenu inabid muyaedit hasa nyie mlioenda shule nasema ivi kwasababu angalia zile ngedere za Nigeria bokoharam wamewaiga waarabu matokeo yake wamewamaliza ndugu zao
 
Naufuatilia huu mjadala kwa ukaribu sana,

Naona wajuzi wa mambo mnaweka vitu.
 
Kote ulikotaja yalifanyika mauaji Mara moja na wakaacha kuuana baada ya kujifunza kitu,mauaji ya waarabu ni endelevu toka walipoanza mpaka sasa naamini mpaka kesho
Mwarabu anafuata waliyotanguliza kuuwana akina King George na babaenu Hitler !!
wakimaliza waarabu watafuta wengine bara jeusi na bara la njano !! hakunakuchomoka chamoto chaja chaja tu...
 
Hawajui Mungu ngani wanamuamini .

Japo wapo wanaogombanishwa na wazungu koko
 
Na ww acha ushamba ile sio dini ya warabu dini ya waislamu wote ukiona wanaume wanaongea sio lazima na ww utie mdomo wako kama hujui uliza au kaa kimya broo wenzako wanakuona mshamba kwa kuchangia mada wakati huna elimu nayo bwege wewe
 
Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.

Dini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
Usipende kuongea kitu kama hujui broo kwahiyo ww una elimu ya kujua hicho kitu kilokuepo nyuma ya pazia?? Obgea basi sio unaongea kimafumbo kimkato kama mtoto wa kike mama wewe
 
Kuna elimu gani ya falsafa zaidi ya dini broo kama hujui kaa kimya sio ukiona wanaume wanaongea lazima na ww uongee sio unachangia mada tu wakati jambo huna elimu nalo kama hujui kaa kimyaaaa hatutaki watu mambumbumbu humu
 
Hapa kutakuwa hakuna rational reasoning bali kutakuwa na ushabiki wa wanaojihisi wana undugu au ukaribu na wazungu na wale wanaojihisi kuwa na undugu au ukaribu na waarabu.
Bahati mbaya kwayo sisi wanatuona vinginevyo regardless ya kufuata dini wanazoamini.
Wake up Africa.
 
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!

Nenda ukasome historia ya mashariki ya kati.
 
Waarabu wako fresh tu Wahusika wakuu wa matukio yanayotekea nchini mwao ni Russia na Marekani ,yanayotokea Syria ujiulizi kwa nn Russia anataka marekani wasululishe au hukumbuki Libya walikuaje na sasa wako wap? Waasi wa libya ilikua ni kiini macho tu wahusika wakuu walikua ni mfaransa na marekani!
Waarabu wanafanya mashabulizi nje ya nchi zao kama ufaransa marekani na uingereza na wana haki ya kufanya hivyo
 
Nenda ukasome historia ya mashariki ya kati.
baada ya kumaliza kusoma nimegundua kuwa Ustaarabu uliazia kwao na hekima wamebobea ilifuatiwa na uungwana ulosambaa kote ulimwenguni..... Lugha yao ndo ilotutoa mapangoni na mashimoni kama siyo kwengine!!
 
Back
Top Bottom