Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

IQ yetu iko juu kaka maana mbongo umpe Bomu akalipue watu hawezi Fanya ujinga huo maana ana uwezo WA kurizoni kwa nn aue na hiyo ndo IQ .sio unaambiwa kalipue unaenda tu kisa umedanganywa na mambo ya dini
Kaka bila kusema najidharau waAfrika ninkweli tunastahili position number moja kwenye race ah jamii yenye IQ ndogo siku moja nenda hata buguruni kaa sehemu alafu uwe unaangalia matendo yao utagundua sisi ni mitambo.We angalia tuna ardhi inayolimika,tuna ardhi yenye utajiri sana ila wafaidika ni watu weupe sisi bado tupo bize na umbea ,uchawi, majungu ,ulevi ulikithiri wasomi ambao watendaji wakuu wa kuipush inchi wote wanakimbilia kwenye siasa.YAANI WAKATI MZUNGU YUPO BIZE KUTENGENEZA ROBOTI LIMSAIDIE KAZI SISI TUPO BIZE KUWEKANA MISUKULE.Damn it kujitetea kuwa sisi tuna akili kazi sana aisee.
 
Dah!watumwa wa propaganda na fake news ni wengi sana duniani ndio mana Trump huwa anavichana live hivi vyombo vyenye mlengo wa kizayuni cha ajaabu sasa !WANAFURAHA KUTUZIDI! Tchaooooo
 
Mkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
Ndio maana walikuwa wakituuza utumwani.
 
wanao uwana, wanauwana kwaajili ya maslai Fulani. uislam wala uwarabu hausiki hata kidogo. Bali nimambo ya biashara.
 
Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
ndio kitu ambacho wengi hawataki kujikirisha kwanini wao kwao hawaishi kufarakana..???..
westen euro na us wako nyuma ya tatizo... kuhakikisha mashariki ya kati hakukaliki waendelee kugema wese...
 
Ajabu huwa wanadai kuwa wao pia ni Waarabu kwakuwa uarabu si ngozi, nywele wala pua nyembamba iliyochongoka.
Umenifanya niwakumbuke wale ambao ukiwasema vibaya waisrael wanatamani wakutafune nyama.

Kumbe masikin ya Mungu waisrael ambao ni waktisto ni wa kuwahesabu.


Na bado wewe kizazi cha tunguri wanakuchukulia kanyagio.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Waarabu, Waajemi (waPersia), waSyria (Assyrians), waPakistani (Hindi) na Wapalestina.

Kinachofanya watu wawachanganye ni kwa sababu wengi wao ni waislamu.. Uislamu ndio unaowaunganisha kiimani ila ni watu tofauti kitamaduni..
Kwa hiyo hapa una maana tatizo ni uislam kwa sababu wote tu hao hawajatulia..
 
Imani hiyo ulio nayo ni sawa na imani za watu kuamini kua Yesu ni muumba.

Sipo tyari kulumbana na uzushi ulioaminika.

Waislam wapo Zanzibar kwa asilimia 98 lakin hakuna huo upuuzi unaoamini.

Waislam wapo nchi nyingi sana lakin huo upuuz unaoamini hakuna.

Jiulize swali la msingi kwanini Iraq kwanini Siria Kwann Libya. TUMIA AKILI USITUMIE FUVU KUFIKIRI
Zanzibar kule walipowamwagia tindikali wale wanawake wazungu waliokua volunteers? Au kule walikoua mapadre??
 
Kote ulikotaja yalifanyika mauaji Mara moja na wakaacha kuuana baada ya kujifunza kitu,mauaji ya waarabu ni endelevu toka walipoanza mpaka sasa naamini mpaka kesho
Mkuu na hata mtondogoo wao ni ubabe ubabeni tu!!
 
Hata Albino na vikongwe wanauawa na waarabu,
 
IQ yetu iko juu kaka maana mbongo umpe Bomu akalipue watu hawezi Fanya ujinga huo maana ana uwezo WA kurizoni kwa nn aue na hiyo ndo IQ .sio unaambiwa kalipue unaenda tu kisa umedanganywa na mambo ya dini
Labda wabongo wa nchi nyingine za Africa, sisi watanzania ndo hatuna akili kabisaaaaa! Yaani hatuna, hata hizo IQ wanazotupa mi naona wanatupendelea tu! Hebu we fatilia arguments za watu hata humu JF na ambao twaamini they are at least learned, utashangaa!! Most of us are idiots and that's why we are supporting stupidity.
 
Mkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu

Allah huakbar
 
Naamini binadamu wengi tunauana tena sana na si waarabu au waisilamu pekee. Naiheshimu sana dini ya Kiislam na Kikiristo. Lakini ni ukweli usiyopingika kwa Waislamu kuna tatizo tena kubwa sana. Waislam wenzetu wanaongoza sana kwa kuua wanadamu wenzao. Nimekuwa nikitafakari sana lakini siku moja baada ya kumaliza shule nilibahatika kupata nafasi ya kufundisha shule moja ya kiislam. Pale waislamu walikuwa wengi sana hivyo nilikuwa karibu sana na hawa waislam. Kiukweli niliwapenda sana lakini nilibaini kuwa hata kuna baadhi ya mafunzo ya dini yanawashawishi kufanya kitu hiki. Lakini tukirejea kwenye nchi kama iran. Iraq, afaghanistan, pakistan, somalia, nigeria, libya mauaji ni mengi sana lakini watekelezaji wakubwa ni wenzetu waislam. Lakini mbali na hayo mataifa kuna watu mmojammoja katika sehemu nyingi duniani wanaojitoa mhanga karibia wote ni waislam na hata kama alikuwa mkristo basi lazima kwanza abadili dini na abobee kisha ndo anaweza kutekeleza unyama huo. Rea Aljazeer tv mara nyingi wanajitahidi kuchambua taarifa kwa kina ukitaka kujua unyama wa waislam basi fuatilia hapo. Si maanishi wakristo hawauani au kuua, la ! Ila kwa wenzetu waislamu wamezidi. Matukio mengi ya mauaji duniani hutekelezwa na hawa wenzetu. Kama ni agizo la Mungu basi lakini wanaitesa sana dunia.
 
No baadhi tu ya nchi za kiislam ndo zilikua na amani nyingi zilikua na migogoro ya ndani kwa ndani sema mnapenda kuwaingiza wazungu sana ila km MNA amani ya kutoka moyoni hata. Aje Mani hawezi kuwagombanisha
Mkuu Kuna mataifa yanafitina Tena fitna namba Moja ...Hao wakiingia mtagombana tu ..
 
Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Dini gani ambayo haikuongozwa kwa upanga? Refer crusaders...
 
Back
Top Bottom