Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Duniani kuna propaganda nyingi sana... Usiamini kila kitu unachosikia au kuona kwenye TV...


Unaweza ambiwa sehemu fulani watu wana njaa kali sana na ukaamini.. Lakini ukifika hapo ukianza kuuliza wenyeji wanaanza kukushangaa...


Mfano ukienda nchi za bara la Asia.. Wengi wanaamini africa tunaishi kwenye miti, tunatembea u.c.h.i na umeme hakuna ni nchi ya giza... Wengine wanaamini Africa ni nchi na siyo Bara... Inabidi uwaulize inamaana hata balozi wenu basi pia anatembea uchi na anaishi juu ya mti...

Hawana majibu... Ni kwakua wanachooneshwa na kuaminishwa sivyo...


Cc: mahondaw
 
asee baadhi ya wachangiaji mnaharibu huu mjadala. tunataka tu kujuwa kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao? huu si mjadala wa maudhui ya kidini hata kidogo.
 
Hii dini ya kiislam inakasoro nying sana sema wengi wao hawajui wengi wanasema uislam ni amani lakn si kweli wanalazmisha watu kusilim wanapenda ugomvi sana kuua watu kwao ni ruksa hawajui msamaha kwao kisasi ni kinaruhusiwa na ukibadli dini adhabu yake ni kifo unafikiri kwa mambo yote haya nchi zenye uislam kutakua na amani kweli
 
swali lako lina majibu rahisi sana: wamelaaniwa na Mungu wa kweli
.Wao hujitapa kuwa wanapendana, wakifanyiana uovu husingizia kuwa imesababishwa na makafiri wakati wao ndio wametekeleza uovu huo
 
Hii dini ya kiislam inakasoro nying sana sema wengi wao hawajui wengi wanasema uislam ni amani lakn si kweli wanalazmisha watu kusilim wanapenda ugomvi sana kuua watu kwao ni ruksa hawajui msamaha kwao kisasi ni kinaruhusiwa na ukibadli dini adhabu yake ni kifo unafikiri kwa mambo yote haya nchi zenye uislam kutakua na amani kweli
umenena ukweli , ila majibu yako yatasababisha post ifungwe, napita tu.
 
Mwarabu anafuata waliyotanguliza kuuwana akina King George na babaenu Hitler !!
wakimaliza waarabu watafuta wengine bara jeusi na bara la njano !! hakunakuchomoka chamoto chaja chaja tu...

Hapa kuna pointi mkuu!
Nafsi inanisuta, natetema!
 
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?


Wapakistan si waraab na Wafghan si waraab pia....hizi nchi asili yao ni Uislam, na tofauti yao ni makundi ya kigaidi na itikadi zao za Imani za dini yao ndiyo inawaangamiza.
 
Mkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
Usipende kuambiwa mzee sana uwe unahakiki habari,hilo mosi.Pili hivi unaijua falsafa kweli ? Hakuna elimu iliyo bora na kumfanya mtu kuwa makini kuliko elimu ya dini.

Naijua falsafa kwa kiwango ambacho Allah alinijaalia ila katika kuisoma kwangu kote haikunisaidia zaidi ya kunifaya kuwa mjinga kwa wakati ule.Hata wewe juu ya hili unaingia katika ujinga.

Suala la waarabu kuana wao kwa wao ndio nalisikia kwako.Kila kitu kina sababu mzee,ila ujinga kwa kila jamii umekuwa ndio chazo cha machafuko na umwagaji damu uliokithiri.

Kuhusu suala la IQ,embu fuatalia kwa makini sana upimwaji wa IQ na vigezo vyake,ukiiacha akili yako kufanya kazi juu ya suala la IQ utagundua uozo wa IQ yenyewe.Akili ya binadamu na uwezo wa kujaji mamb haupimwi kwa IQ mzee.Uwezo wa akili ya binadamu hupimwa kwa utambuzi wa kujua lipi baya na lipi ovu,lipi lamanufaa na lipi lenye hasara kitu ambacho hukikuti kwenye IQ...

Tafakari upya juu ya ung'amuzi wa mambo.
 
Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Najua huwezi kutoa ushahidi wa kielimu juu ya haya uyasemayo.JIHAD kwetu sisi waislamu ni ibada kama ilivyo,ibada huwa ina masharti na ina nguzo mzee.Huwezi kupigana JIHAD bila bila kuzingatia masharti na nguzo.

JIHAD ni tamko la kiarabu lanye maana ya juhudi kilugha na ibada kisheria.Jihadi imegawanyika takribani vipengele vinne kama alivyosema Imaam Ibn Qayyim al Jawz Allah amrehemu.

1.Kuna jihad nafsi hii ni kuipigania nafsi yako isitende maovu na hii ndio jihad kubwa kuliko zote.

2.Kujihadi ya kupambana na shetani,hii vita kati yako na shetani yaani kumpiga vita shetani asikushawawishi na kutenda maovu na kuacha dini ya Allah.

3.Jihadi ya kupambana na makafiri wale waliokufuru na waharibifu

4.Jihadi ya vita hii imegawanyika sehemu mbili jihadi kwa ajili ya kujilinda na uvamizi wa adui na jihadi ya kumvamia adui yako,jihadi hizi hazifanyiki mpaka zikidhi masharti.

Mengi tunayoyasikia juu ya uislamu zama hizi hasa ya hawa bokoharamu,alqaeda na mfano wao ni fitna zilizoambatana na ujinga.Na wanazuoni wa haki huwakanya wafanyavyo hivyo lakini hawasikii.Katika uislamu ni haramu kujitoa muhanga,haramu kufanya migomo,haramu kuandamana.Ukweli huu wengi hawaujui isipokuwa wale wachache waliorehemewa na Mola mlezi.
 
Dini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
Uislamu sio tatizo wala haukuwahi kuwa tatizo na hautokuwa tatizo bali ndio utatuzi wa majambo katika uso huu wa dunia.Maneno yanaonyesha wazi ni jinsi gani ulivyo mweupe juu ya uislamu yaani huujui uislamu.

Uislamu umekuja kuilinda akili ya mwanadamu,kulinda kizazi yanni nasaba,kuondoa machafuko na mengine mengi.

Nikiuuliza swali hili,Je ni kwa vipi uislamu uislamu ni tatizo najua ni swali gumu kwako na kamwe huwezi kulijibu.
 
Laana ya damu walomwaga wakati wa kueneza dini yao,
Hakuna kuchonganishwa wala nini, ni laana imefanya wawe na miroho mibayaaaa,
Km sababu ni kuchonganishwa basi hakuna kiumbe mjinga km wao maana hata kuku ukiwachonganisha wakapigana sana bila suruhu huamua kukimbia kila mmoja kivyake,sasa km kuku wanaweza kuepuka kuchonganishwa inakuaje wao karne na karne wanachonganishwa na kuuana bila kustuka,
Hawa watu wanaroho mbaya,
Natamani sana ungeongea kielimu,ila unaongea kama yule aliyekata tamaa na kesho wakati kesho ya haijui...
 
Najua huwezi kutoa ushahidi wa kielimu juu ya haya uyasemayo.JIHAD kwetu sisi waislamu ni ibada kama ilivyo,ibada huwa ina masharti na ina nguzo mzee.Huwezi kupigana JIHAD bila bila kuzingatia masharti na nguzo.

JIHAD ni tamko la kiarabu lanye maana ya juhudi kilugha na ibada kisheria.Jihadi imegawanyika takribani vipengele vinne kama alivyosema Imaam Ibn Qayyim al Jawz Allah amrehemu.

1.Kuna jihad nafsi hii ni kuipigania nafsi yako isitende maovu na hii ndio jihad kubwa kuliko zote.

2.Kujihadi ya kupambana na shetani,hii vita kati yako na shetani yaani kumpiga vita shetani asikushawawishi na kutenda maovu na kuacha dini ya Allah.

3.Jihadi ya kupambana na makafiri wale waliokufuru na waharibifu

4.Jihadi ya vita hii imegawanyika sehemu mbili jihadi kwa ajili ya kujilinda na uvamizi wa adui na jihadi ya kumvamia adui yako,jihadi hizi hazifanyiki mpaka zikidhi masharti.

Mengi tunayoyasikia juu ya uislamu zama hizi hasa ya hawa bokoharamu,alqaeda na mfano wao ni fitna zilizoambatana na ujinga.Na wanazuoni wa haki huwakanya wafanyavyo hivyo lakini hawasikii.Katika uislamu ni haramu kujitoa muhanga,haramu kufanya migomo,haramu kuandamana.Ukweli huu wengi hawaujui isipokuwa wale wachache waliorehemewa na Mola mlezi.
Hakuna jihad nafsi wacha uwongo! Jihad ni vita dhidi ya makafiri au wasioamini.
 
Hakuna jihad nafsi wacha uwongo! Jihad ni vita dhidi ya makafiri au wasioamini.



So as you can see, Jesus’ family line comes down from this sick act of incest between father and daughter in law, this means the God of the Christians comes from incest!

Such blasphemy is disgusting and utterly degrading to the true God and Christians should be ashamed of themselves.

So as we clearly saw, Jesus cannot be God, if a Christian wants to continue believing Jesus is God, it is their own loss.
 
Hakuna jihad nafsi wacha uwongo! Jihad ni vita dhidi ya makafiri au wasioamini.
Elimu ni tatizo kubwa sana linalotusibu waislamu...Rudi darasani mzee...Nawajua sana mfano wako,kumbe bado mpo...
 
Hii dini ya kiislam inakasoro nying sana sema wengi wao hawajui wengi wanasema uislam ni amani lakn si kweli wanalazmisha watu kusilim wanapenda ugomvi sana kuua watu kwao ni ruksa hawajui msamaha kwao kisasi ni kinaruhusiwa na ukibadli dini adhabu yake ni kifo unafikiri kwa mambo yote haya nchi zenye uislam kutakua na amani kweli
Unaandika upuuzi. Wanauana ni waarabu kwa tofauti zao za kisiasa hapo una unganisha na uislamu kwa njia gani? Je waliouna hapi Rwanda na ndani ya makanisa utaunganisha na ukiristo ni tofauti za kikabila? Hitler alipowauwa wayahudi milioni kwa kifupi tu. je? Yeye si alikuwa mkiristo? Wamerekani na waingereza vita kuu ya pili ni waislamu? Sio mnaandika tu ilikukosoa dini wakati ni siasa tu. Sote ni wanadamu tunahitaji kuishi na kama wewe unamuamini Mungu unatakiwa uwaombee hayo mauaji yakome. Sio kufurahia eti ni waarabu waislamu utakuwa umekosa utu. Na tuombe na Mungu aepushe mbali hayo yasitokee kwetu na kwa wenzetu pia. Udini si mzuri na hapa kwetu unaanza taratibu. Tupendane na kuheshimiana
 
Unaandika upuuzi. Wanauana ni waarabu kwa tofauti zao za kisiasa hapo una unganisha na uislamu kwa njia gani? Je waliouna hapi Rwanda na ndani ya makanisa utaunganisha na ukiristo ni tofauti za kikabila? Hitler alipowauwa wayahudi milioni kwa kifupi tu. je? Yeye si alikuwa mkiristo? Wamerekani na waingereza vita kuu ya pili ni waislamu? Sio mnaandika tu ilikukosoa dini wakati ni siasa tu. Sote ni wanadamu tunahitaji kuishi na kama wewe unamuamini Mungu unatakiwa uwaombee hayo mauaji yakome. Sio kufurahia eti ni waarabu waislamu utakuwa umekosa utu. Na tuombe na Mungu aepushe mbali hayo yasitokee kwetu na kwa wenzetu pia. Udini si mzuri na hapa kwetu unaanza taratibu. Tupendane na kuheshimiana
Usifananishe mauaji ya kisiasa na ya kidini hayo ya rwanda ni ukabla na hitler ni chuki zake binafsi juu ya wayahudi hakuwa anasimamia biblia kuua tofaut na vikundi vya kiislam wanasimamia quran kuua na kutoa adhabu
 
Usifananishe mauaji ya kisiasa na ya kidini hayo ya rwanda ni ukabla na hitler ni chuki zake binafsi juu ya wayahudi hakuwa anasimamia biblia kuua tofaut na vikundi vya kiislam wanasimamia quran kuua na kutoa adhabu
Mbona kwa mauaji au vita vya waarabu mnafananisha na udini? Ila mauaji ya kutisha ya rwanda na muda mfupi tu wa miezi 3 waty karibu milioni 1 waliuawa na baya zaidi ni makanisani. Hakuna hata maiti moja ilikutwa msikitini lakini kwa sababub vyombo habari vya mabwana zetu wanatueleza hivyo.
 
Mbona kwa mauaji au vita vya waarabu mnafananisha na udini? Ila mauaji ya kutisha ya rwanda na muda mfupi tu wa miezi 3 waty karibu milioni 1 waliuawa na baya zaidi ni makanisani. Hakuna hata maiti moja ilikutwa msikitini lakini kwa sababub vyombo habari vya mabwana zetu wanatueleza hivyo.
Tunafananisha na udin coz vikund hvyo vya kigain ndo vnashambulia tena wenzao i dont know why na nchi za kiarabu zenye washika dini nyingi hazna amani kuhsu rwanda mauaj yalifanyika zaid makanisan coz weng walikimbilia uko waas wakapata nafas nzur kuwaua mbona hyo iko waz bt hakuna mkristo anaua kulingana na biblia tofaut na nyie
 
Back
Top Bottom