Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Waliouwa askari kibiti ni waarabju..roho mbaya ni inbuild.. Ipo ndani ya mtu it has nothing to do with his or her race..
 
Mbona kwa mauaji au vita vya waarabu mnafananisha na udini? Ila mauaji ya kutisha ya rwanda na muda mfupi tu wa miezi 3 waty karibu milioni 1 waliuawa na baya zaidi ni makanisani. Hakuna hata maiti moja ilikutwa msikitini lakini kwa sababub vyombo habari vya mabwana zetu wanatueleza hivyo.
Eti hakuna mkiristo anaeua wewe ndio pumba kweli siwezi kupoteza wakati na mtu kama wewe. Nilifikiri tunabadilishana mawazo na mtu muelewa kumbe ni walewale. Eti hakuna mkiristo anaeua kwa mujibu wa biblia nenda kasome hiyo biblia yako vizuri
 
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Wewe upo ulimwengu gani au hukuenda shule? Hivi hizi taarifa za habari au historia za mashariki ya kati huzijui? Kama ni hivyo siku hizi ni rahisi sana nenda kwa google utapata majibu ya maswali yako. Unauliza ha JF hujui kuwa hapa udini wa kupinga uislamu na ukitaja waarabu tu ni shida unahusishwa na dini. Halafu wewe hufahamu kuwa hapa JF 90% ya wanao comment ni zero na ni mjijiti bashite kabisa ni kuandika pumba tupu yaani watanzania wengi wao ni wapo wapo tu wanaburuzwa kama mataahira. Sijaona hoja ya busara hata moja tangu uandike au uulize upuuzi wako.
waarabu zile kelele za madrasa zimawachanGanya mpaka ukubwani
 
TUMEKUSIKIA,

SASA , LETE HOJA KWA USHAHIDI WA BIBLIA AU QURAN

BWANA PAULO ANAWAAMBIA 1COR

15:14 na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana.

15:15 Zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema kwamba Mungu alimfufua Kristo kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua--kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi.

15:16 Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka.

15:17 Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu.

YEYE KAJITOA ANAWAAMBIA IMANI YENU , NA SIO IMANI YETU


NO CRUCIFIXION NO CRISTIANITY



Kwa uchache ni kwamba, Yesu hakusulubiwa wala hakuuawa na hivyo hakuna "kufufuka" na wanaoamini kinyume na hivi wanafuata dhana tu. Kwani Biblia inasemaje?

Mathayo anatufahamisha katika Injili yake:

"Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako. Akajibu, akawaambia, kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona. Kwani kama vile Yona alivyokuwa siku tatu mchana na usiku katika tumbo la nyangumi, hivyo ndivyo mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa nchi. (Mt. 12:38-40) (Rejea Yona 1:15 –2:1).

Kwa maelezo haya ya Yesu ni kwamba hatakufa kama vile ambavyo Yona hakufa, ila atakaa kaburini siku tatu, mchana na usiku kwa kila siku, na hivyo kusingekuwa na ufufuko. Lakini Mathayo anaeleza katika 27:45 – 28:1-6 kwamba Yesu alikufa, akazikwa kisha akafufuka. Kanisa nalo linafundisha kwamba Yesu alikufa Ijumaa jioni na akafufuka Jumapili alfajiri, yaani kukaa kaburini siku moja na nusu tu.

Bado kuna hitilafu nyingi kuhusu mwisho wa Yesu baada ya kukamatwa. Kwa mfano, Marko anasema Yesu alisulubiwa saa tatu asubuhi (Mk. 15:25) lakini Yohana anasema alisulubiwa baada ya saa sita mchana (Yn. 19:14). Luka anapingana anaposema kwamba Yesu alipaa siku ile ile aliyofufuka (Lk. 24:13-51). Lakini katika kitabu chake cha Matendo ya Mitume akaeleza kuwa alipaa siku ya arobaini baada ya kufufuka (Mdo 1:1-12).

Tatizo lenu ni kwamba mumeegemea zaidi kwenye itikadi ya Kanisa kuliko maandiko ya Biblia na hivyo kulazimika kuchagua vifungu vya Biblia vinavyohami imani yenu tu kwa vile Kanisa haliifuati Biblia yote.

Biblia ni bahari pana yenye vifungu vingi vinavyopingana na visivyofahamika asili yake.

Na Waislamu hatutilii shaka maneno ya Mwenyezi Mungu katika Qur’an Tukufu anaposema kwamba imani ya Yesu kusulubiwa msalabani na kufa ni dhana.

Tunaposema migongano kama nilivyoelezea juu kwa uchache, tunazidi tu kukumuamini Mwenyezi Mungu.

Kwani mna uhakika gani kwamba Yesu alisulubiwa msalabani (saa tatu au sita?) na kukaa kaburini siku moja na nusu tu na sio kwamba ni siku tatu mchana na usiku tena akiwa hai kama alivyowaambia Waandishi na Mafarisayo.

Licha ya hayo, hakuna ushahidi wowote unaothibitisha kama Waandishi wa Injili nne walikuwa watu wa kutumainiwa na walioongozwa na Mungu. Kwa mfano, Biblia Takatifu, Agano Jipya, UBS 1990, inaeleza katika uk. 13 "utangulizi wa Injili kama ilivyoandikwa na Mathayo":

Injili ya Mathayo haisemi chochote kuhusu mtungaji wake. Kadiri ya mapokeo ya zamani, Mathayo mtoza ushuru na mmoja wa Mitume kumi na wawili aliandika maneno ya Yesu katika lugha ya Kiaramu. Bahati mbaya mtungaji wa Injili yetu ya sasa aliyeandika katika lugha ya Kigiriki (ambaye habari zake maalum hatuna) aliongozwa na mawaidha ya Mathayo, mfuasi wa Yesu).

Na kuhusu Injili ya Luka tunaelezwa:

Kadiri ya mapokeo ya zamani Injili ya tatu imeandikwa na Luka aliyezaliwa Antokia akawa Daktari. Alikuwa mpagani (au wa asili ya mazingira ya Kigiriki) si Myahudi kama walivyokuwa akina Mathayo, Marko na Yohana (Uk. 84 wa Biblia hiyo hiyo).

Nayo Biblia Takatifu T.M.P. Book Department Tabora, 1967, uk, 911 inaeleza kwamba Marko hakuwa mwanafunzi wa Yesu, na Injili yake ni muhtasari wa mafundisho ya Petro. Na ama Injili ya Yohana inajishuhudia yenyewe kwamba waandishi wake ni wengi na wala hawafahamiki:

Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya; nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli. (Yn. 21:24).

Na hii ikawa ndio sababu ya wasomi wa juu wa Kikristo kusema kwamba mwandishi wa Injili hii sio Yohana, huenda labda ni wanafunzi wake (Dictionery of the Bible, John Mackenzie; 1981 maelezo kuhusu Injili ya Yohana).

Kwa hiyo, mnapodai kutaka kufundisha Waislamu juu ya kifo cha Yesu inabidi mjiulize maswali kadhaa, kwamba, je, mnaifahamu Biblia yake vyema?

Mnatambua tofauti kati ya Ukristo na Biblia?

Mnaifahamu Qur’an inavyotakiwa kuifahamu? Na zaidi ya yote mnatakiwa kuacha fikra lemavu ya kutaka kujaribu kulinganisha Ukristo na Uislamu.

Napenda kuwafahamisha kwamba Waislamu hatuna lolote la kujifunza kwenu kuhusiana na somo hili, ila tu mtupe hoja kuthibitisha kwamba itikadi mnayoitetea haikujengeka juu ya dhana.

Pia kwa Waislamu kupinga kifo cha Yesu sio kumpinga Mungu kwa sababu Mwenyezi Mungu hajasema mahali popote kwamba Yesu kafa.

Hayo ni madai ya watu wasiofahamika (kwa wanahistoria wa Kikristo na Wakristo wenyewe) pamoja na Wapagani.

Tuzingatie tahadhari aliyoitoa Mwenyezi Mungu katika Qur’an Tukufu:

Basi adhabu kali itawathibitikia wale wanaoandika kitabu kwa mikono yao, kisha wakasema, "hiki kimetoka kwa Mwenyezi Mungu". (Wanasema uwongo huo) ili wachukue thamani ndogo ya kilimwengu. Basi ole wao kwa yale walivyoyaandika kwa mikono yao (wakasingizia kuwa ya Mungu). Na ole wao kwa yale wanayoyachuma. ( Qur’an Tukufu 2:79).
Sio kweli.mbona nyie mlitumia upanga na kumwaga damu kueneza dini
 
Eti hakuna mkiristo anaeua wewe ndio pumba kweli siwezi kupoteza wakati na mtu kama wewe. Nilifikiri tunabadilishana mawazo na mtu muelewa kumbe ni walewale. Eti hakuna mkiristo anaeua kwa mujibu wa biblia nenda kasome hiyo biblia yako vizuri
Mbona povu aisee stay calm mim biblia naisoma sana haijatuagiza kuua kama wew unajua wakristo wanaoua kwa mujibu wa biblia niambie kama wapo labda mim ndo cjui nakubali kuna wakristo wauaji sana bt utakuta ni sababu zingne kama za kisiasa au kikabila au zingne tu bt hukut wakristo wanaoua et kwasababu dini inaagiza hvyo
 
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Katika historia ya kuuana kwa wingi waarabu hawamo kabisa...haya ya sasa ni mambo ya kawaida ya evolution za siasa.
katika historia za mauaji duniani ni kama ifuatavyo
Genges Khan huyu ni kiingozi wa Mongols empire..aliua wapinzani wake Wamongols zaidi ya million 5 pia aliteka nchi mbali mbali ikiwamo china beijing na kuua zaidi ya wachina 10m...
alivamia Iran wakati huo ikitwa Persia na kuua zaid ya watu 5m.
himaya yake alikaribia Russia kote huko aliua na ku rap.
2. Wakaja wazungu wakati wa Crusade zao...walingamiza binadamu zaidi ya milion 50...Waliigeuza Jerusalem kuwa pool of blood.
3. Ikaja roman empire iliua na kuua mpaka leo wayahudi wako wachache kutokana na kuuliwa na Romans...
4. Tuje karibuni..kinyanganyiro cha Afrika ..waliua wafrika zaidi ya milion 50...mbali walotupwa haiti cuba caribean jamaica na baharini kuliwa na papa
5. Ikaja vita ya kwanza ya dunia ..hii vita si ya dunia bali ni vita ya kuuana baina ya wazungu...wakachinjana zaidi ya 20m ...walichinjana na kuripuana kwa nerve gas...
hawakutulia...ikaja vita nyengine waloita ya pili ya dunia...wazungu wakachinjana shiba...damu ilitapakaa ulaya...Russia pekee waliuliwa 20m
wengine wakapiteza watu 80m
..
kutokana na kuwa wazungu kuwa blood thirsty sasa wanakuja kula damu za wengine ndo kama hivi mara wavamie vietnam mara congo mara libya mara iraq mara syria......
hakuna jamii inayopenda damu kama wazungu.
tuliona marekani walivo waua japan kwa Atomic bombs..wakuua mji miwili...
na juzi tumeona walivo ua kwa kurusha bomu kubwa zaidi duniani.
wazungi ni blood thirsty creatures.....kuanzia kafara zao za freemasom mpaka akili yao.
waarab mi most peacefull people on earth ...yanayotokea ni mepesi na yanachochewa na wazungu wapenda damu
 
Katika historia ya kuuana kwa wingi waarabu hawamo kabisa...haya ya sasa ni mambo ya kawaida ya evolution za siasa.
katika historia za mauaji duniani ni kama ifuatavyo
Genges Khan huyu ni kiingozi wa Mongols empire..aliua wapinzani wake Wamongols zaidi ya million 5 pia aliteka nchi mbali mbali ikiwamo china beijing na kuua zaidi ya wachina 10m...
alivamia Iran wakati huo ikitwa Persia na kuua zaid ya watu 5m.
himaya yake alikaribia Russia kote huko aliua na ku rap.
2. Wakaja wazungu wakati wa Crusade zao...walingamiza binadamu zaidi ya milion 50...Waliigeuza Jerusalem kuwa pool of blood.
3. Ikaja roman empire iliua na kuua mpaka leo wayahudi wako wachache kutokana na kuuliwa na Romans...
4. Tuje karibuni..kinyanganyiro cha Afrika ..waliua wafrika zaidi ya milion 50...mbali walotupwa haiti cuba caribean jamaica na baharini kuliwa na papa
5. Ikaja vita ya kwanza ya dunia ..hii vita si ya dunia bali ni vita ya kuuana baina ya wazungu...wakachinjana zaidi ya 20m ...walichinjana na kuripuana kwa nerve gas...
hawakutulia...ikaja vita nyengine waloita ya pili ya dunia...wazungu wakachinjana shiba...damu ilitapakaa ulaya...Russia pekee waliuliwa 20m
wengine wakapiteza watu 80m
..
kutokana na kuwa wazungu kuwa blood thirsty sasa wanakuja kula damu za wengine ndo kama hivi mara wavamie vietnam mara congo mara libya mara iraq mara syria......
hakuna jamii inayopenda damu kama wazungu.
tuliona marekani walivo waua japan kwa Atomic bombs..wakuua mji miwili...
na juzi tumeona walivo ua kwa kurusha bomu kubwa zaidi duniani.
wazungi ni blood thirsty creatures.....kuanzia kafara zao za freemasom mpaka akili yao.
waarab mi most peacefull people on earth ...yanayotokea ni mepesi na yanachochewa na wazungu wapenda damu

nimekusoma mkuu.
angalau umejibu kitofauti. maana sasa kuna watu wamefanya thread hii ya kidini.
 
Mbona povu aisee stay calm mim biblia naisoma sana haijatuagiza kuua kama wew unajua wakristo wanaoua kwa mujibu wa biblia niambie kama wapo labda mim ndo cjui nakubali kuna wakristo wauaji sana bt utakuta ni sababu zingne kama za kisiasa au kikabila au zingne tu bt hukut wakristo wanaoua et kwasababu dini inaagiza hvyo
Unarudi kulekule na wala sio povu. Hakuna dini inayoruhusu kuua na hata hao waarabu wanauana kwa sababu za kisiasa na wala si kidini. Hivi wewe unajua historia au unashabikia tu? Haya mauaji yanayofanywa na marekani na mataifa ya kimagharibi katika nchi za kiafrika huzioni unafahamu kuwa muuaji wa kwa kabla ya hitler ni mfalme wa Ubeligiji ambae aliuwa wakongo man milioni 10 na kuiba rasimali nyingi. Samahani siwezi kuendelea sababu unashabikia ti huna ujualo na kama unaamini ni uislamu kazi kwako. Soma historia ya dunia uelewe.
 
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Pole sana mkuu...umeandika kwa hisia sana
 
Vita vya waarabu mnahusisha na dini ya kiislam. Lakini sisi waislamu hatuusishi ushoga ambao umeshamiri katika mataifa ya magharibi kiasi cha raha hizo kufikia kuuhalalisha katika nchi zao ambapo wanaume na mwanaume ni halali kufirana na wana haki ya kulea watoto na kwa sasa wameanza kuleta cartoons ambazo zinafundisha two men as mother and father. Kama mumekubali katika kizazi hiki eti uislamu ni dini ya mashetani na kwa nini hamkubali kuanza na wafirika wakiristo mkaanza kama mabwana zenu na mtakuja kukubali kama vile mumekubali kuanza kuzini bila kuoana ambayo jamii ya wakiristo ni jambo la kawaida mwishowake mtakubali tu kuanza kufirana.
 
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Zamiluni zamiluni zamiluni...please usiendelee Hivi itakuweka ktk kundi la FaizaFox. Kuna mambo unayaongea yanaukweli lakini pia tukubali ukweli wa upande wapili.
Sisapoti mauaji yanayifanywa kwa kigezo cha imani yyte. Ila hapa kinachozungumzwa ni uarabu. Mf kuna waarab hawapendani si kwa sabbu ya uchonganishi au umagharibi au ubepari ni SBB za koo zao. Hivyo baadae inakuwa rahisi kuwa manipulated na maadui.
Kuna nchi kama Pakistani au misri kuna waarab wakristo ni taabu kila siku. Simaanishi natetea wakrusto wa CAR au mabudha ya Myanmar juu ya waislam suala hapa ni waarab. Nafkiri majibu yawe ya kihistoria zaidi yasiwe ktk religion based.
Hivi unafkiri ukoo unaotawala UAE ulipata nafasi hiyo kirahisi tuu au wale wakina shekh Mansoor utajili wao ulitokana na simple things naamini walipamabana kuzizidi koo nyingine. Naamini waarab wanamamtatizo yako mengi ya unasaba. Pia ujasiri wao wa kutoogopa kufa una kuwa at the expense of illwill of their Master mind
 
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Kwa sababu wanaabudu mungu mwezi na nyota.
 
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Mkuu kabla ya hiyo 2002 kuliwahi tokea migogoro mkubwa ndani ya wairaki, mgogoro kati ya Kuwait na Iraki, Iran na Iraki. Kule Pakstan mgogoro wa kuuwana kati ya Shia na Sunni. Ingawa ni kweli watu wa magharibi wanaichochea hii mitafaruku.
 
Mkuu kabla ya hiyo 2002 kuliwahi tokea migogoro mkubwa ndani ya wairaki, mgogoro kati ya Kuwait na Iraki, Iran na Iraki. Kule Pakstan mgogoro wa kuuwana kati ya Shia na Sunni. Ingawa ni kweli watu wa magharibi wanaichochea hii mitafaruku.
Watu wengi hawafahamu kuwa Mafuta Huitwa "Black gold" sasa unapo kuwa una reserve kubwa ya mafuta hapo sasa Majambazi na wavamizi hunza fitina na uchochezi wao !!
Nasi huku tusubiri kidogo tu tutaisoma namba !!!
maana Nigeria washaipata na Angola washisoma kesho Malawi .. nk nk !!
 
Watu wengi hawafahamu kuwa Mafuta Huitwa "Black gold" sasa unapo kuwa una reserve kubwa ya mafuta hapo sasa Majambazi na wavamizi hunza fitina na uchochezi wao !!
Nasi huku tusubiri kidogo tu tutaisoma namba !!!
maana Nigeria washaipata na Angola washisoma kesho Malawi .. nk nk !!
Siyo majambazi tu hata mwenye hiyo black gold atataka majisifa na majivuno, anakuwa arrogant na kutishia kila mtu maskini na matajiri kwa sababu anayo pesa. Ana abuse power yake na kutishia hata majirani zake! Kumbuka Iraq ilipovamia Kuwait!
 
Siyo majambazi tu hata mwenye hiyo black gold atataka majisifa na majivuno, anakuwa arrogant na kutishia kila mtu maskini na matajiri kwa sababu anayo pesa. Ana abuse power yake na kutishia hata majirani zake! Kumbuka Iraq ilipovamia Kuwait!
exactly hiyo ndo hulka ya utajiri wenye kiburi...mwishoe huishia kaburini...!!
 
Imani hiyo ulio nayo ni sawa na imani za watu kuamini kua Yesu ni muumba.

Sipo tyari kulumbana na uzushi ulioaminika.

Waislam wapo Zanzibar kwa asilimia 98 lakin hakuna huo upuuzi unaoamini.

Waislam wapo nchi nyingi sana lakin huo upuuz unaoamini hakuna.

Jiulize swali la msingi kwanini Iraq kwanini Siria Kwann Libya. TUMIA AKILI USITUMIE FUVU KUFIKIRI

Mimi huwa najiuliza sipati jibu, kwa nini watu/raia wa hizo nchi ulizotaja wanakubali vita vipiganiwe nyumbani kwao? Mfano Syria, Marekani anaingia anampiga Assad amtoe madarakani, Mrusi naye anakuja madai yake anampiga 'muasi' ili amtetee Assad abaki madarakani. Kwa nini wazawa kushirikiana na viongozi wao wasiseme...eeehh..basi sasa...kaeni huko huko na mizinga yenu sisi tutayamaliza yetu wenyewe? Matokeo yake nchi zinaharibiwa, watu wasio na hatia wanauawa bure...solution hazipatikani. Nahisi aidha kwa 'uchu' wao wenyewe ndio watu wao wanateketea.....
 
Back
Top Bottom