Kaka bila kusema najidharau waAfrika ninkweli tunastahili position number moja kwenye race ah jamii yenye IQ ndogo siku moja nenda hata buguruni kaa sehemu alafu uwe unaangalia matendo yao utagundua sisi ni mitambo.We angalia tuna ardhi inayolimika,tuna ardhi yenye utajiri sana ila wafaidika ni watu weupe sisi bado tupo bize na umbea ,uchawi, majungu ,ulevi ulikithiri wasomi ambao watendaji wakuu wa kuipush inchi wote wanakimbilia kwenye siasa.YAANI WAKATI MZUNGU YUPO BIZE KUTENGENEZA ROBOTI LIMSAIDIE KAZI SISI TUPO BIZE KUWEKANA MISUKULE.Damn it kujitetea kuwa sisi tuna akili kazi sana aisee.