Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

Upo sahihi kabisa. vita vyote tunavyoviona Dunia kuna mkono wa mabeberu wa Ulaya nyuma yake. wakati mwingine watu hawataki kutumia akili zao kufikiri. Wazungu ni watu wabaya sana kuliko tunavyofikiri.
Kwanini wawepo watu wengine nyuma yao kama kweli wanajitambua, au na wao kwanini wasiwe nyuma ya wazungu ili wawachonganishe?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Waarabu, Waajemi (waPersia), waSyria (Assyrians), waPakistani (Hindi) na Wapalestina.

Kinachofanya watu wawachanganye ni kwa sababu wengi wao ni waislamu.. Uislamu ndio unaowaunganisha kiimani ila ni watu tofauti kitamaduni..
Hawa uliowataja wote ni waarabu. Tukisema waafrika tuna maana ya Watanzania, Waganda, Wanigeria nk. Najua Waajemi, WaPakstan, Wapalestina nk wana mila/tamaduni tofauti, lakini kwa ujumla wao wote ni Waarabu.
 
Vitu viwili ndio vinavyo sababisha njaa na elimu.kukosa elimu unashinda kujiherewa ukuwa unatumika ovyo .na njaa ukiwana na njaa ukuwa na mahamuzi ya ajabu na kuwa mtumwa wa pesa .ndugu usiombee hivyo vitu vikukute
 
Mboa mnawasema waarabu wakati ndugu zetu Waafrika pia wanauana kila siku kwaajili ya hao hao Mabeberu. Kule Sudan Kusini, Kongo, Afrika ya kati, Nigeria na kwingineko Afrika mbona siyo waarabu! Think big, use your brain to think big, not masaburi.
 
yani ukiangalia nchi nyingi za kiarabu zina Machaufo Kwa sababu ya kisiasa ila kwasababu wengi wao no musilims tunaita waislamu ni wakorofi, ila izungumzie nchi inayofanya hayo usi husishe dini mana tukihusisha dini kuna nchi nyingi za kikristo zina civil wars kuliko za kiislamu ila sijaelewa kwanini waishambulie dini wakati wanajua ukweli halisi kinacho fanyika nchi nyingi za kiarabu hazitaki neo colonialism ndomana hawapendi kutumia hata vitu vya western wana sababu zao ikiwemo kuto viamini ndomana Leo ukikuta dawa za kiarabu hazichakachuliwi pia kisiasa wao wana mfumo wa King's and Queen unaoendana na tamaduni zao na ina n him a nafasi capitalism ndomana wame kua wakichonganishwa na mabepari ili waweze kupenetrate capitalism na kufaidi mali zao ikiwemo Mafuta mfano mzuri Libya saiz tunasikitika wakati enzi za Gaddafi wa afrika wengi walikua wana m support USA na walifurah kifo cha Gaddafi alaf Leo tunaonea huruma na Gaddafi kulikua na watu wa chache walio Lishwa hiyo sumu wakashiriki kumpindua nikafkir watu tutafunguka akili kumbe bado kuna watu wanachuki binafsi katika dini ya kiislamu na ukiuliza hawana sabab ya msingi ila shiva ip Kwa wazaz hadi Leo kuna mzaz anamwambiA mwanawe usicheze na yule wale wanafuga making its pain and shameful na nna mengi yakueleza ila inatosha tofauti zetu ndania ya mioyo yetu ndo zinaua maendeleo yetu ndomana afrika hatuendelei ........am out
 
Inabidi wajifunze Demokrasia ya kuchagua viongozi kwa kuwapigia kura.
Ufalme na Usultani una zaa udikteta mbaya.
Sultani akiwa Dikteta katili huwezi kumwonda kwa nia ya kumuweka mtu mwingine bora zaidi. Inafikia mahali wanajiona kama miungu na kutesa watu.
 
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!

Unakumbuka Vita ya Iran vs Iraq?
Iraq vs Kuwait?

Wanapenda vita KITUO.
 
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?


Si uchochezi, ila kwenye vitabu vya dini imeandikwa waarab ni kizazi kilicho laaniwa kwani baba yao Ishmael (Ismail) alizaliwa nje ya ndoa na baba yake Avram (Abraham) pamoja na house girl (Hagar). Kwa mila za kiyaudi, mtoto anayezaliwa nje ya ndoa uhesabiwa kuwa ni mtoto haramu.
 
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.

ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.

sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.

swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Mbona hata sisi Watz tunauana sana kupitia uchawi?
 
Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Hata ukisoma kwenye Biblia utagundua kuwa hawa watu walikuwa na vita na hali za kuuana mara kwa mara,kwa hiyo usikute hiyo ni asili yao...
 
Unakumbuka Vita ya Iran vs Iraq?
Iraq vs Kuwait?

Wanapenda vita KITUO.
Nakumbuka vita vya ANGOLA
Naviona vita vya south Sudan..
Nakumbuka Mauaji ya CAR...
Nasikia hapo Rwanda palitokea...
Natafakari Korea, natafakari machafuko ua Sout
h America,nk nk
Ubaya haunaga dini wala kabila au hata Taifa !!
 
Hapa naona mnachanganya WAARABU na WAISLAMU kwanza ijulikane uislamu ni dini ya mwenyez mungu na sio dini ya mtu kingine hivi hamjiulizi kwnn mitume mingi imepelekwa kwa hawa watu yaan I mean WAARABU? Basi Kama hujui sababu ni hii hapa

Hii kwa sababu watu hawa wanakiburi Sana kutokana na uzuri na Mali walizo pewa so hawa kwel wanamatatizo Kama haya sikatai ila hawa sio ndio wenye uislam so unakuwa unakosea unapo ambatanisha WAARABU na UISLAMU
Lkn pia hizi vita zinazoendelea LIBYA,SYRIA N.K ukifatilia chanzo sanaa utagundua ni wazungu ndio wachonganyishi sababu Sasa jiulize kwa sababu gani

.. full stop.
 
Watu wanaouwana wao kwa wao ni WASHENZI KABISA.

Sio waarabu tu ila hata watu weusi wauanao wao kwa wao ni washenzi tu.

Ila Waarabu ni Washenzi zaidi.....unajua kwann

Kwasababu wanaamini kuwa akimuua binadamu mwingine asie muislam yaani KAFIR kama mimi basi ataiona Pepo na kufaidi mema mengi ya peponi.
Shetani ni mlaghai sana. Angalia jinsi wanavyo uuana huku akiwacheka na anawasubiria kuingia nawo motoni.
 
HQ Yao ni ndogo kuliko funza ona wanavyojimaliza wenyew eti unaua ndugu zako 100 unaenda kuwaambia wazungu me ndo nimewaua wale yani hata bashite hana akili izi tusiseme tu waarabu ila ukweli dini ya kiislam mafundisho yenu inabid muyaedit hasa nyie mlioenda shule nasema ivi kwasababu angalia zile ngedere za Nigeria bokoharam wamewaiga waarabu matokeo yake wamewamaliza ndugu zao
Vita ya waarabu haitaiaha . Labda wasilimu na kujiunga na dini ya amani.
 
Back
Top Bottom