Mwafrika ana highQ kubwa kuliko uwezo wa kipimo cha highQMkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwafrika ana highQ kubwa kuliko uwezo wa kipimo cha highQMkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
nmecheka hatariMkuu, wanakuambia duniani binadamu wenye highque ndogo akitoka muafrika anaingia muarabu,hawa watu ambao wamekosa elimu ya falsafa!! Wana elimu ya dini tu
Hizi stori kanisani sijawahi zisikia acha kukurupuka! Muulize kazisikia wapi?Mnadanganyana huko makanisani kama kuna sheria hiyo katika uislamu.Shtuka usidanganyike.Hakuna sheria hiyo ya kuuwa ulipwe pepo,anayeuwa yoyote katika uislamu ni motoni tu.
Wewe wafikiria kadanganywa wapi?Au kwenye vijiwe vya viroba(asante serekali kupiga marufuku viroba).Bado huyu atakuwa ana chembe chembe ya viroba kichwani.Hizi stori kanisani sijawahi zisikia acha kukurupuka! Muulize kazisikia wapi?
Soo kumbe mm nipo dunian ili wanifanyie jihad ili wao waende pepon,hey Jews even and again even if Arabs and all Muslims fight against you,I give you all my attention to fight against all Arabs and Muslims in the whole world.my self am mossad mzembeHakuna jihad nafsi wacha uwongo! Jihad ni vita dhidi ya makafiri au wasioamini.
Na milele, unless Mola awa hurumie!Kote ulikotaja yalifanyika mauaji Mara moja na wakaacha kuuana baada ya kujifunza kitu,mauaji ya waarabu ni endelevu toka walipoanza mpaka sasa naamini mpaka kesho
Utakuwa bado hujakomaa vizuri kidini wewe.....Mnadanganyana huko makanisani kama kuna sheria hiyo katika uislamu.Shtuka usidanganyike.Hakuna sheria hiyo ya kuuwa ulipwe pepo,anayeuwa yoyote katika uislamu ni motoni tu.
Kama ulisoma history vizuri nchi gani watumwa walikua wanapelekwa. Kumbuka sugar plantations in America. Triangular trade. For over 200 years walikua wazungu na sio waarabuNi laana ya mababu zao kuwatendea mabaya watumwa.Kuna suala la uelewa ni rahisi sana kuwachonganisha waafrika au waarabu wakauwana wao kwa wao bila hata kuhoji.Ukitaka waarabu wamalizne waaminishe wanapigania dini hawatajali wala kuhoji.Ipo Shida kwenye mfumo wa jinsi Ya kufikiri.
Wanajua lakini badala ya kusuluisha ... wanatoana rohoWarabu hawauani ila wanachonganishwa.
Wengi America Lkn hawakutendewa unyama sana km sehemu nyingine ndo maana kizazi chao kipo hadi LeoKama ulisoma history vizuri nchi gani watumwa walikua wanapelekwa. Kumbuka sugar plantations in America. Triangular trade. For over 200 years walikua wazungu na sio waarabu
Zaidi ya 70% ya waislam sio waarabu. Alaf wa waarabu ndio watu was kwanza kuanza kustaarabika.....Egypt is the first civilization. Arabs are the fathers of maths, philosophy, law, etc rememberHaya hata km msomaji mzuri no chuki za kikabila ,uchu wa madaraka na kogombanishwa na wazungu .waarabu ni udin unawasumbua maaana sunni hampendi shia na roho mbaya ya asili wanayo
mimi ninawazo tofauti na hii hali...kuna uzi umeandikwa humu kwenye hii forum ya CIA...hebu isome vizuri...wenzetu hawaendi pigana tu kwa sababu...wanaenda pigana kwa ajili ya maslahi...yaani ule uzi umemaliza kila kitu...huwezi kuta nchi za magharibi zimeenda tu sehemu bila maslahi....Iraq,Libya...Syria...huko mashariki ya kati kuna either mafuta,madini au gas...uliza stock ya US ya mafuta ni kiasi gani halafu njoo utusaidie kwa hilo....niliwahi ongea na watu wa Rwanda kipindi fulani kwanini walipigana vita ukiangalia chanzo ni kama ujinga....ila ile ilikua ni njia ya kuingia Congo kwa ajili ya madini hivyo walikua hana jinsi ilibidi waanzishe ile kitu ili iwe rahisi wao kuchota vitu kule Congo...ingawa historia wanakuambia kua kisa ni utawala kua kabila moja walikua wanaviongozi wengi and wasomi kuliko wengine...but I reality hawa jamaa wanatafuta mali ndio vita huanza pigwa by any means itakua vita....wakitaka
Hakuna mahali duniani,kabila,taifa,rangi,wasio na dini na walio na dini,kukosekana wauwaji na wahalifu.Sababu hawajafunzwa Upendo wamelelewa kwenye misingi ya chuki,ukitaka wamalizane waaminishe wanapigania dini hawatajali nani japo wanatoka imani moja.
Upo sahihi kabisa. vita vyote tunavyoviona Dunia kuna mkono wa mabeberu wa Ulaya nyuma yake. wakati mwingine watu hawataki kutumia akili zao kufikiri. Wazungu ni watu wabaya sana kuliko tunavyofikiri.Imani hiyo ulio nayo ni sawa na imani za watu kuamini kua Yesu ni muumba.
Sipo tyari kulumbana na uzushi ulioaminika.
Waislam wapo Zanzibar kwa asilimia 98 lakin hakuna huo upuuzi unaoamini.
Waislam wapo nchi nyingi sana lakin huo upuuz unaoamini hakuna.
Jiulize swali la msingi kwanini Iraq kwanini Siria Kwann Libya. TUMIA AKILI USITUMIE FUVU KUFIKIRI
Inaman toka waanz kuana bdo hawjpta akili kamb wnachngnishwa!!![emoji23]Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Kutofunga ndoa, ndoa za jinsia moja si mada iliyoletwa hapa. Mada ni kwa nini Waislam wanapenda ugomvi? Tujadili hapa kwanza. Kama ni kufirana madhehebu ya dini fulani ndo wanaongoza. Nahisi waarabu ni waasisi wa ku****. Wengine wameiga tu ingawa sina ushahidi na uelewa wa kutosha katika masuala hayo. Nataman nijue vita kila siku kwa nini?