Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Watoto wa vichaa mmaAmini CNN,BBC Foxnews na wendawazimu wa media mongersWewe mkuu kila siku palestina wanajitoa muhanga BBC haipiti wiki 2 bila kusikia Palestina
Mwarabu anafuata waliyotanguliza kuuwana akina King George na babaenu Hitler !!Kote ulikotaja yalifanyika mauaji Mara moja na wakaacha kuuana baada ya kujifunza kitu,mauaji ya waarabu ni endelevu toka walipoanza mpaka sasa naamini mpaka kesho
Hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwarabu anafuata waliyotanguliza kuuwana akina King George na babaenu Hitler !!
wakimaliza waarabu watafuta wengine bara jeusi na bara la njano !! hakunakuchomoka chamoto chaja chaja tu...
[emoji23] kama faiza foxy??Correction 72 sio 12 usiwapunguzie please
Wapakistani na Waafghanistani sio waarabu kabisa. Hata Iraq wengi wao sio waarabu....sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani...
Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Usipende kuongea kitu kama hujui broo kwahiyo ww una elimu ya kujua hicho kitu kilokuepo nyuma ya pazia?? Obgea basi sio unaongea kimafumbo kimkato kama mtoto wa kike mama weweDini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
Kwanini wanakubali kuchonganishwa kama kuku, kwani wao hawana akili?Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
Wapakistani na Waafghanistani sio waarabu kabisa. Hata Iraq wengi wao sio waarabu.
Kwa hiyo?Tamaduni zao hazitofautiani sana.
baada ya kumaliza kusoma nimegundua kuwa Ustaarabu uliazia kwao na hekima wamebobea ilifuatiwa na uungwana ulosambaa kote ulimwenguni..... Lugha yao ndo ilotutoa mapangoni na mashimoni kama siyo kwengine!!Nenda ukasome historia ya mashariki ya kati.