mme wa mtu
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 438
- 667
Kwanini wawepo watu wengine nyuma yao kama kweli wanajitambua, au na wao kwanini wasiwe nyuma ya wazungu ili wawachonganishe?Upo sahihi kabisa. vita vyote tunavyoviona Dunia kuna mkono wa mabeberu wa Ulaya nyuma yake. wakati mwingine watu hawataki kutumia akili zao kufikiri. Wazungu ni watu wabaya sana kuliko tunavyofikiri.
Hawa uliowataja wote ni waarabu. Tukisema waafrika tuna maana ya Watanzania, Waganda, Wanigeria nk. Najua Waajemi, WaPakstan, Wapalestina nk wana mila/tamaduni tofauti, lakini kwa ujumla wao wote ni Waarabu.Kuna tofauti kubwa kati ya Waarabu, Waajemi (waPersia), waSyria (Assyrians), waPakistani (Hindi) na Wapalestina.
Kinachofanya watu wawachanganye ni kwa sababu wengi wao ni waislamu.. Uislamu ndio unaowaunganisha kiimani ila ni watu tofauti kitamaduni..
[emoji818]Dini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
[emoji818]Zanzibar imeponea chupuchupu walikua washaanza kupenyeza mambo yao wakafungwa speed governer
Hadi kufikia mwaka 2002 oct Waarabu walikuwa ktk kiwango cha Amani na usalama ikkumbukwe pipa la
mafuta walikuwa wakiuza kwa $120 uchumi wenye furaha... Sasa hapo wajukuu wa Bwana Yesu na wajukuu wa mfalme Daudi wakaona Eeeee hapa tutarudishwa utumwani na tutakandamizwa tena !!
Ndipo genge la maImerialist na Zaiyonit kuanza kuvamia Ngome ya Mbabe Saddam
na kuvunja defense (ulinzi mkuu)
nakupandikiza fitina!!
ikumbukwe kuwa "Fitina ni kiza cha usiku wa manane" kila
mmoja atayaonja siku zijazo!!!
Mauaji ya CAR yanathibitisha !!
kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Mbona hata sisi Watz tunauana sana kupitia uchawi?kuna imani kwamba waarabu kwa sababu moja au nyingine wanawachukia kwa kiasi fulani raia wa nchi za ulaya magharibi. si ajabu sasa makundi ya kiarabu yenye msimamo mkali dhidi ya wazungu wa ulaya magharibi wakifanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya wazungu imma katika ardhi yao au wakiwa popote duniani, makundi haya ya kiarabu hujitokeza na kutangaza hadharani kuwa yamehusika kutekeleza uhalifu huo.
ajabu sasa inakuja pale makundi haya haya ya kiarabu yanapofanya uhalifu uleule au uliopitiliza katika nchi zao zilezile za kiarabu dhidi ya raia wenzao kabisa wa kiarabu.
sikiliza habari mara nyingi tu utasikia bomu limeripuka pakistani, au afghanistani au iraq au syria popote lakini wahusika na wahanga wakubwa wa matukio haya ni waarabu wenyewe katika ardhi za babu zao wenyewe.
swali ni je, kwa nini waarabu wanauana wao kwa wao namna hii?
Hata ukisoma kwenye Biblia utagundua kuwa hawa watu walikuwa na vita na hali za kuuana mara kwa mara,kwa hiyo usikute hiyo ni asili yao...Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Nakumbuka vita vya ANGOLAUnakumbuka Vita ya Iran vs Iraq?
Iraq vs Kuwait?
Wanapenda vita KITUO.
Kwanini wakubali kuchonganishwa?Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Shetani ni mlaghai sana. Angalia jinsi wanavyo uuana huku akiwacheka na anawasubiria kuingia nawo motoni.Watu wanaouwana wao kwa wao ni WASHENZI KABISA.
Sio waarabu tu ila hata watu weusi wauanao wao kwa wao ni washenzi tu.
Ila Waarabu ni Washenzi zaidi.....unajua kwann
Kwasababu wanaamini kuwa akimuua binadamu mwingine asie muislam yaani KAFIR kama mimi basi ataiona Pepo na kufaidi mema mengi ya peponi.
Vita ya waarabu haitaiaha . Labda wasilimu na kujiunga na dini ya amani.HQ Yao ni ndogo kuliko funza ona wanavyojimaliza wenyew eti unaua ndugu zako 100 unaenda kuwaambia wazungu me ndo nimewaua wale yani hata bashite hana akili izi tusiseme tu waarabu ila ukweli dini ya kiislam mafundisho yenu inabid muyaedit hasa nyie mlioenda shule nasema ivi kwasababu angalia zile ngedere za Nigeria bokoharam wamewaiga waarabu matokeo yake wamewamaliza ndugu zao