hio Jihad ya kwanza walichokonolewa....Sikweli kama wanachonganishwa. Nature yao, kumbuka hata dini yao ilienezwa kwa vita"JIHAD" walichonganishwa na nani wakati ule? Apengine ni ukatili wa kuzaliwa kizazi chao. La maana ni kuwa kuuana kwao kuna faida sana kwa mataifa mengine.
Ni kweli nakubaliana na wewe ila kuna some exceptions katika baadhi ya maeneoNakumbuka vita vya ANGOLA
Naviona vita vya south Sudan..
Nakumbuka Mauaji ya CAR...
Nasikia hapo Rwanda palitokea...
Natafakari Korea, natafakari machafuko ua Sout
h America,nk nk
Ubaya haunaga dini wala kabila au hata Taifa !!
Duniani kuna propaganda nyingi sana... Usiamini kila kitu unachosikia au kuona kwenye TV...
Unaweza ambiwa sehemu fulani watu wana njaa kali sana na ukaamini.. Lakini ukifika hapo ukianza kuuliza wenyeji wanaanza kukushangaa...
Mfano ukienda nchi za bara la Asia.. Wengi wanaamini africa tunaishi kwenye miti, tunatembea u.c.h.i na umeme hakuna ni nchi ya giza... Wengine wanaamini Africa ni nchi na siyo Bara... Inabidi uwaulize inamaana hata balozi wenu basi pia anatembea uchi na anaishi juu ya mti...
Hawana majibu... Ni kwakua wanachooneshwa na kuaminishwa sivyo...
Hebu vitaje kwa sasa vita wanavyopigana waarabu kwa ajili ya dini?Haya hata km msomaji mzuri no chuki za kikabila ,uchu wa madaraka na kogombanishwa na wazungu .waarabu ni udin unawasumbua maaana sunni hampendi shia na roho mbaya ya asili wanayo
popbwino hebu watake radhi warabu, kwani isengekuwa wao hivi sasa sijui ungekuwa na ustaarabu gani?Laana ya damu walomwaga wakati wa kueneza dini yao,
Hakuna kuchonganishwa wala nini, ni laana imefanya wawe na miroho mibayaaaa,
Km sababu ni kuchonganishwa basi hakuna kiumbe mjinga km wao maana hata kuku ukiwachonganisha wakapigana sana bila suruhu huamua kukimbia kila mmoja kivyake,sasa km kuku wanaweza kuepuka kuchonganishwa inakuaje wao karne na karne wanachonganishwa na kuuana bila kustuka,
Hawa watu wanaroho mbaya,
Zanzibar yalikuwepo makanisa kabla ya mapinduzi lakini hatujasikia waislamu wakiyachoma moto, hayo yaliyochomwa moto ni baada ya muungano.Yale makanisa yaliyochomwa Zanzibar siyo tatizo? Hilo tu kwanza. Hao popote walipo ni shida. Ugomvi na mauaji ndo wimbo. Kama Zanzibar isingekuwa ktk muungano ingekuwa kama somalia tu. Umesahau migogoro ya Mombasa ?
Ngosha wa Mwanza omba yasikukute, wale wanaokwenda kujiripua kwa mabomu usidhani wanapenda, lakini dhuluma ndiyo inayowafanya kufikia hatua ile, ikiwa baba, mama, kaka wameuliwa na dada zako wamenajisiwa wewe utakuwa na moyo gani? Hiyo IQ unayoizungumzia utaifanyaje? Sisi watanzania tuombe amani usisikie kunako vita.IQ yetu iko juu kaka maana mbongo umpe Bomu akalipue watu hawezi Fanya ujinga huo maana ana uwezo WA kurizoni kwa nn aue na hiyo ndo IQ .sio unaambiwa kalipue unaenda tu kisa umedanganywa na mambo ya dini
Hii dini ya kiislam inakasoro nying sana sema wengi wao hawajui wengi wanasema uislam ni amani lakn si kweli wanalazmisha watu kusilim wanapenda ugomvi sana kuua watu kwao ni ruksa hawajui msamaha kwao kisasi ni kinaruhusiwa na ukibadli dini adhabu yake ni kifo unafikiri kwa mambo yote haya nchi zenye uislam kutakua na amani kweli
Hakuna jihad nafsi wacha uwongo! Jihad ni vita dhidi ya makafiri au wasioamini.
Katika historia ya kuuana kwa wingi waarabu hawamo kabisa...haya ya sasa ni mambo ya kawaida ya evolution za siasa.
katika historia za mauaji duniani ni kama ifuatavyo
Genges Khan huyu ni kiingozi wa Mongols empire..aliua wapinzani wake Wamongols zaidi ya million 5 pia aliteka nchi mbali mbali ikiwamo china beijing na kuua zaidi ya wachina 10m...
alivamia Iran wakati huo ikitwa Persia na kuua zaid ya watu 5m.
himaya yake alikaribia Russia kote huko aliua na ku rap.
2. Wakaja wazungu wakati wa Crusade zao...walingamiza binadamu zaidi ya milion 50...Waliigeuza Jerusalem kuwa pool of blood.
3. Ikaja roman empire iliua na kuua mpaka leo wayahudi wako wachache kutokana na kuuliwa na Romans...
4. Tuje karibuni..kinyanganyiro cha Afrika ..waliua wafrika zaidi ya milion 50...mbali walotupwa haiti cuba caribean jamaica na baharini kuliwa na papa
5. Ikaja vita ya kwanza ya dunia ..hii vita si ya dunia bali ni vita ya kuuana baina ya wazungu...wakachinjana zaidi ya 20m ...walichinjana na kuripuana kwa nerve gas...
hawakutulia...ikaja vita nyengine waloita ya pili ya dunia...wazungu wakachinjana shiba...damu ilitapakaa ulaya...Russia pekee waliuliwa 20m
wengine wakapiteza watu 80m
..
kutokana na kuwa wazungu kuwa blood thirsty sasa wanakuja kula damu za wengine ndo kama hivi mara wavamie vietnam mara congo mara libya mara iraq mara syria......
hakuna jamii inayopenda damu kama wazungu.
tuliona marekani walivo waua japan kwa Atomic bombs..wakuua mji miwili...
na juzi tumeona walivo ua kwa kurusha bomu kubwa zaidi duniani.
wazungi ni blood thirsty creatures.....kuanzia kafara zao za freemasom mpaka akili yao.
waarab mi most peacefull people on earth ...yanayotokea ni mepesi na yanachochewa na wazungu wapenda damu
Tatizo mnaisoma biblia tofaut kabisa, biblia sio kama quran mnayoiaoma nakuitafsiri kama gazet li la udaku bible inasomwa kwa mwongozo wa roho mtakatifu
Kibinaadamu na kiutu au kiungwana nipe historia fupi yenye ukweli :~ Taifa/KABILA gani halijauana au kuvamiana au hata kukandamizan?...??Laana ya damu walomwaga wakati wa kueneza dini yao,
Hakuna kuchonganishwa wala nini, ni laana imefanya wawe na miroho mibayaaaa,
Km sababu ni kuchonganishwa basi hakuna kiumbe mjinga km wao maana hata kuku ukiwachonganisha wakapigana sana bila suruhu huamua kukimbia kila mmoja kivyake,sasa km kuku wanaweza kuepuka kuchonganishwa inakuaje wao karne na karne wanachonganishwa na kuuana bila kustuka,
Hawa watu wanaroho mbaya,
Dini ya Uislam haina tatizoDini ya Uislam ndio tatizo.Kipo kitu nyuma ya pazia ambacho hata wao wenyewe inawezekana hawakijui.Ngoja niishie hapo nisije nikasingiziwa islamophobia bure.
Sunni hawezi kukaa na Shia mpaka mwisho wa DuniaHaya hata km msomaji mzuri no chuki za kikabila ,uchu wa madaraka na kogombanishwa na wazungu .waarabu ni udin unawasumbua maaana sunni hampendi shia na roho mbaya ya asili wanayo
Najua itakuwa vigumu kunielewa,kwa hiyo naamua kunyamaza.Usiku mwema.Dini ya Uislam haina tatizo
na si kila baya,husukumizwa katika Dini
Dini inabaki kuwa safi bila pingamizi
lakini mwana dini anaweza kuchafuka na kuchafua mazingira fulani kwa namna isiyoelezeka
imma kwa ujinga wake wa asili au ujinga wa kurithi
Uislam upo mbali na kila aina ya mauwaji yanayoendelea Duniani
Uislam,unajua hadhi na thamani ya tone la damu na utu wa mtu
hili hawezi kupinga,isipokuwa mjinga aliekomaa
Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
Nani huyo an are aching a misha?! Kwani hawana akili za kujiamulia?! Watakuwa hamnazo basi!!!Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Baada ya kuchonganishwa kinachofata ni nini?Warabu hawauani ila wanachonganishwa.
Hahahaha nmecheka sana kwakweli.. Nadhani hujui dini ya kikristo jinsi ilivyoenezwa..! Nadhani watu wengi wasiojua historia wataona uislamu kama dini ya ajabu sana hasa kutokana na violence zinazotokea hivi karibuni lakini nakwambia katika historia ya hizi dini kuu mbili, ukristo ndo umetoa roho za watu wengi zaidi.Laana ya damu walomwaga wakati wa kueneza dini yao,
Hakuna kuchonganishwa wala nini, ni laana imefanya wawe na miroho mibayaaaa,
Km sababu ni kuchonganishwa basi hakuna kiumbe mjinga km wao maana hata kuku ukiwachonganisha wakapigana sana bila suruhu huamua kukimbia kila mmoja kivyake,sasa km kuku wanaweza kuepuka kuchonganishwa inakuaje wao karne na karne wanachonganishwa na kuuana bila kustuka,
Hawa watu wanaroho mbaya,
There is no future without the past and the presentDini ya Uislam haina tatizo
na si kila baya,husukumizwa katika Dini
Dini inabaki kuwa safi bila pingamizi
lakini mwana dini anaweza kuchafuka na kuchafua mazingira fulani kwa namna isiyoelezeka
imma kwa ujinga wake wa asili au ujinga wa kurithi
Uislam upo mbali na kila aina ya mauwaji yanayoendelea Duniani
Uislam,unajua hadhi na thamani ya tone la damu na utu wa mtu
hili hawezi kupinga,isipokuwa mjinga aliekomaa
Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app