Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?

Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda

Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu

SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao

AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)

Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?

SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati Hammaz
 
SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda

Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu

SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao

AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)

Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?

SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati
Ni kwa sababu hawaswali sana wala kusugua vichwa vyao ili kuwa na sijda kuwakoga wengine wakiamini kuwa itakuwa ni taa peponi. Wao ndiyo waliotunga hizi ngano. Wanazijua na hawaziamini hata kidogo. Tangu lini storyteller au storywriter akahangaishwa na wahusika aliowatengeza mwenyewe?
 
SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda

Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu

SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao

AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)

Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?

SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati Hammaz
wanaswali sehemu soft na mazulia masafi ni ngumu kupata sugu
 
SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda

Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu

SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao

AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)

Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?

SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati Hammaz
Kama hujajibiwa umeesema hata wakiristo wanasujudu. Tusianze mbali tuanze hapa ,kwanini wakiristo watanzania hawana sijda usoni mwao au wanasujudu kisogosogo?
 
Nikilionaga jitu lina hiyo kitu ,mosi naliona litakuwa linajiona litakatifu,pili neno kafiri liko akilini mwake na laweza kutoka muda wowote,na mwisho naliona ni jitu lilipotea njia kwa kuiacha njia sahihi ya kuelekea uzimani na kushika njia ielekeao upotevuni
 
BIBLIA NA SIJDA

Sijda katika Agano la Kale

1. Abrahamu Kusujudu
Abrahamu alisujudu mbele ya Mungu alipokuwa akizungumza naye, kuonyesha unyenyekevu na heshima:
"Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akasema naye."
(Mwanzo 17:3)


2. Musa na Haruni Kusujudu
Musa na Haruni walijitupa kifudifudi mbele za Mungu kuonyesha ibada na heshima:
"Kisha Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli."
(Hesabu 14:5)


3. Daudi Kusujudu
Mfalme Daudi, akijua ukuu wa Mungu, alisujudu kwa unyenyekevu:
"Njooni, tumwabudu na kumsujudia, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu."
(Zaburi 95:6)


4. Danieli Kusujudu
Danieli alisujudu mara tatu kila siku, akimwomba na kumsifu Mungu:
"Alikuwa akiingia katika chumba chake cha juu, penye madirisha yaliyoelekea Yerusalemu. Alikuwa akipiga magoti na kusali mara tatu kwa siku."
(Danieli 6:10)


Aya za Qur'an Zinazozungumzia Sijda

1. Amri ya Kusujudu kwa Mwenyezi Mungu
"Na kwa hakika tuliwaumba wanadamu na majini ili waniabudu."
(Qur'an 51:56)
Hii inaonyesha kuwa kusujudu ni sehemu ya lengo la kuumbwa kwa wanadamu.


2. Waja wa Mwenyezi Mungu Wanapokumbuka Aya Zake Husujudu
"Hakika wale walioamini aya zetu, wanapokumbushwa nazo huanguka kifudifudi na kumsujudia Mola wao, na humhimidi Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, nao hawafanyi kiburi."
(Qur'an 32:15)


3. Kusujudu Kama Ishara ya Unyenyekevu na Shukrani
"Na kusujudu na ukaribie zaidi kwa Mwenyezi Mungu."
(Qur'an 96:19)
Hii ni mojawapo ya aya zinazosisitiza kusujudu kama njia ya kumkaribia Mwenyezi Mungu.


4. Sijda ya Malaika kwa Adam (AS)
"Na kumbuka pale tulipowaambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakasujudu wote isipokuwa Iblisi, alikataa na akajivuna, naye alikuwa miongoni mwa makafiri."
(Qur'an 2:34)
Hii inaonyesha kuwa sijda kwa Adam ilikuwa ni agizo la Mwenyezi Mungu kama ishara ya heshima, si ibada.


5. Sijda ya Viumbe Vyote
"Na viumbe vyote mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu, kwa kupenda au kwa kulazimika, na vivuli vyao pia asubuhi na jioni."
(Qur'an 13:15)
Aya hii inaonyesha kuwa kila kiumbe kinamnyenyekea Mwenyezi Mungu.


6. Waumini Wanaposikia Qur'an Husujudu
"Na wanapoisikia Qur'an husujudu kifudifudi wakiilia kwa hofu na shukrani kwa Mola wao."
(Qur'an 17:107-109)




---

Sura za Sajda (Aya za Kusujudu)

Qur'an ina sehemu maalum za kusujudu zinazoitwa "Aya za Sajda." Aya hizi husomwa na kusujudiwa mara moja na msomaji au msikilizaji. Kuna jumla ya 15 aya za Sajda katika Qur'an:

1. Al-A'raf (7:206)


2. Ar-Ra’d (13:15)


3. An-Nahl (16:50)


4. Al-Isra (17:109)


5. Maryam (19:58)


6. Al-Hajj (22:18)


7. Al-Hajj (22:77)


8. Al-Furqan (25:60)


9. An-Naml (27:26)


10. As-Sajda (32:15)


11. Sad (38:24)


12. Fussilat (41:38)


13. An-Najm (53:62)


14. Inshiqaq (84:21)


15. Al-Alaq (96:19)




---

Hadithi Kuhusu Sijda

Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza umuhimu wa sijda kwa waumini:

1. Kusujudu Mara kwa Mara
"Unapomsujudia Allah, Allah hukunyanyua daraja moja na kufuta dhambi moja."
(Sahih Muslim, Hadithi 482)


2. Kusujudu Kama Alama ya Ibada
Mtume alisema: "Nitambue umma wangu Siku ya Kiyama kwa athari za sajda kwenye vipaji vyao."
(Sahih Bukhari, Hadithi 6572)




---

Umuhimu wa Sijda

1. Ishara ya Unyenyekevu Kamili
Sijda inaonyesha kwamba binadamu anakubali udhaifu wake mbele ya Allah.


2. Kipimo cha Ukaribu na Allah
Kusujudu ni tendo linaloweka mja karibu zaidi na Mola wake.

NDUGU ZETU WAKIRISTO MNAKOSEA WAPI? NAWASHAURI WASOME SANA BIBLIA NA WASIPENDE KUSOMEWA NA WACHUNGAJI NA WAO WAKAWA WANAFATA TU
 
SIJDA ni neno la kiarabu linalomaanisha kutukuza, kunyenyekea au kusujudu, katika kutohoa unaweza pia kuita SAJADAT yaani wingi wa Sujud au Sajda

Hivyo Binti anayeitwa SAJDA maana yake ni anayesujudu

SIJDA haifanyiki kwa Waislam tu, hata Wakristo wanasujudu...na Wabudha ni zaidi kwa sababu viongozi wa kibudha wanasujudu mara 108 kwa siku kama maagizo katika dini yao

AIDHA, kuna alama inayotokea katika paji la uso kwa yule anayesujudu, hii hutokea si kwa watu wote hata ikiwa wote wanaswali swala 5 za Faradhi (zinazofanywa kila siku)

Swali langu kwa Waislam ni kuwa, Kwanini Waumin wa Kiislam jamii ya wa Waarabu wengi wao hawana SIJDA hata viongozi wa Dini?

SHUKRAAN...
Malaria 2 adriz mjingamimi FaizaFoxy Hance Mtanashati Hammaz

Mimi nafikiri Sijda huonekana kwenye paji la uso kutokana na kifaa mtu anachotumia kuswalia.
Mfano: Kama unatumia mkeka(ukili) kuswalia, mkeka ambao ni mgumu kama mbao, hata ukiswali wiki moja tu, sijda ya weza kuonenaka kwenye paji la uso;

Kwa wenzetu hawa Waarabu wanauchumi mzuri hivyo huswalia kwenye makapet ya kiwango na malaini kama sufi hivyo sijida itachukua muda sana kuonekana....
 
Nikilionaga jitu lina hiyo kitu ,mosi naliona litakuwa linajiona litakatifu,pili neno kafiri liko akilini mwake na laweza kutoka muda wowote,na mwisho naliona ni jitu lilipotea njia kwa kuiacha njia sahihi ya kuelekea uzimani na kushika njia ielekeao upotevuni
Ongezea: Sio salama kukaa nalo karibu maana linaweza kujitoa Mhanga sekunde yoyote!
 
BIBLIA NA SIJDA

Sijda katika Agano la Kale

1. Abrahamu Kusujudu
Abrahamu alisujudu mbele ya Mungu alipokuwa akizungumza naye, kuonyesha unyenyekevu na heshima:
"Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akasema naye."
(Mwanzo 17:3)


2. Musa na Haruni Kusujudu
Musa na Haruni walijitupa kifudifudi mbele za Mungu kuonyesha ibada na heshima:
"Kisha Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli."
(Hesabu 14:5)


3. Daudi Kusujudu
Mfalme Daudi, akijua ukuu wa Mungu, alisujudu kwa unyenyekevu:
"Njooni, tumwabudu na kumsujudia, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu."
(Zaburi 95:6)


4. Danieli Kusujudu
Danieli alisujudu mara tatu kila siku, akimwomba na kumsifu Mungu:
"Alikuwa akiingia katika chumba chake cha juu, penye madirisha yaliyoelekea Yerusalemu. Alikuwa akipiga magoti na kusali mara tatu kwa siku."
(Danieli 6:10)


Aya za Qur'an Zinazozungumzia Sijda

1. Amri ya Kusujudu kwa Mwenyezi Mungu
"Na kwa hakika tuliwaumba wanadamu na majini ili waniabudu."
(Qur'an 51:56)
Hii inaonyesha kuwa kusujudu ni sehemu ya lengo la kuumbwa kwa wanadamu.


2. Waja wa Mwenyezi Mungu Wanapokumbuka Aya Zake Husujudu
"Hakika wale walioamini aya zetu, wanapokumbushwa nazo huanguka kifudifudi na kumsujudia Mola wao, na humhimidi Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, nao hawafanyi kiburi."
(Qur'an 32:15)


3. Kusujudu Kama Ishara ya Unyenyekevu na Shukrani
"Na kusujudu na ukaribie zaidi kwa Mwenyezi Mungu."
(Qur'an 96:19)
Hii ni mojawapo ya aya zinazosisitiza kusujudu kama njia ya kumkaribia Mwenyezi Mungu.


4. Sijda ya Malaika kwa Adam (AS)
"Na kumbuka pale tulipowaambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakasujudu wote isipokuwa Iblisi, alikataa na akajivuna, naye alikuwa miongoni mwa makafiri."
(Qur'an 2:34)
Hii inaonyesha kuwa sijda kwa Adam ilikuwa ni agizo la Mwenyezi Mungu kama ishara ya heshima, si ibada.


5. Sijda ya Viumbe Vyote
"Na viumbe vyote mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu, kwa kupenda au kwa kulazimika, na vivuli vyao pia asubuhi na jioni."
(Qur'an 13:15)
Aya hii inaonyesha kuwa kila kiumbe kinamnyenyekea Mwenyezi Mungu.


6. Waumini Wanaposikia Qur'an Husujudu
"Na wanapoisikia Qur'an husujudu kifudifudi wakiilia kwa hofu na shukrani kwa Mola wao."
(Qur'an 17:107-109)




---

Sura za Sajda (Aya za Kusujudu)

Qur'an ina sehemu maalum za kusujudu zinazoitwa "Aya za Sajda." Aya hizi husomwa na kusujudiwa mara moja na msomaji au msikilizaji. Kuna jumla ya 15 aya za Sajda katika Qur'an:

1. Al-A'raf (7:206)


2. Ar-Ra’d (13:15)


3. An-Nahl (16:50)


4. Al-Isra (17:109)


5. Maryam (19:58)


6. Al-Hajj (22:18)


7. Al-Hajj (22:77)


8. Al-Furqan (25:60)


9. An-Naml (27:26)


10. As-Sajda (32:15)


11. Sad (38:24)


12. Fussilat (41:38)


13. An-Najm (53:62)


14. Inshiqaq (84:21)


15. Al-Alaq (96:19)




---

Hadithi Kuhusu Sijda

Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza umuhimu wa sijda kwa waumini:

1. Kusujudu Mara kwa Mara
"Unapomsujudia Allah, Allah hukunyanyua daraja moja na kufuta dhambi moja."
(Sahih Muslim, Hadithi 482)


2. Kusujudu Kama Alama ya Ibada
Mtume alisema: "Nitambue umma wangu Siku ya Kiyama kwa athari za sajda kwenye vipaji vyao."
(Sahih Bukhari, Hadithi 6572)




---

Umuhimu wa Sijda

1. Ishara ya Unyenyekevu Kamili
Sijda inaonyesha kwamba binadamu anakubali udhaifu wake mbele ya Allah.


2. Kipimo cha Ukaribu na Allah
Kusujudu ni tendo linaloweka mja karibu zaidi na Mola wake.

NDUGU ZETU WAKIRISTO MNAKOSEA WAPI? NAWASHAURI WASOME SANA BIBLIA NA WASIPENDE KUSOMEWA NA WACHUNGAJI NA WAO WAKAWA WANAFATA TU
Hujaelewa huu uzi. Wewe unaleta maelezo ya watu waliosujudu, ni kweli.
Swali ni kwamba mbona hao waarabu hawajisugui kwenye mazuria hadi waote sugu nyeusi kwenye paji la uso kama waafrika weusi?
Hao wote uliowataja waliota sugu nyeusi kwa kusujudu?
 
Mwarabu akiwa na sijda atatisha sana mkuu
Unajuaje kama waliwahi kuwapo na kama walikuwapo wanakuhusu nini mweusi wanayemuona mtumwa? Tumepwakia mambo ya watu na kudharau na kupoteza yetu. Kwani kama kusujudu ni big deal mbona kuku na ndege wengine wanasujudu kila uchao?
 
Hujaelewa huu uzi. Wewe unaleta maelezo ya watu waliosujudu, ni kweli.
Swali ni kwamba mbona hao waarabu hawajisugui kwenye mazuria hadi waote sugu nyeusi kwenye paji la uso kama waafrika weusi?
Hao wote uliowataja waliota sugu nyeusi kwa kusujudu?
Kwani wakiristo hamsujudu?
 
BIBLIA NA SIJDA

Sijda katika Agano la Kale

1. Abrahamu Kusujudu
Abrahamu alisujudu mbele ya Mungu alipokuwa akizungumza naye, kuonyesha unyenyekevu na heshima:
"Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akasema naye."
(Mwanzo 17:3)


2. Musa na Haruni Kusujudu
Musa na Haruni walijitupa kifudifudi mbele za Mungu kuonyesha ibada na heshima:
"Kisha Musa na Haruni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Waisraeli."
(Hesabu 14:5)


3. Daudi Kusujudu
Mfalme Daudi, akijua ukuu wa Mungu, alisujudu kwa unyenyekevu:
"Njooni, tumwabudu na kumsujudia, tupige magoti mbele za Bwana Muumba wetu."
(Zaburi 95:6)


4. Danieli Kusujudu
Danieli alisujudu mara tatu kila siku, akimwomba na kumsifu Mungu:
"Alikuwa akiingia katika chumba chake cha juu, penye madirisha yaliyoelekea Yerusalemu. Alikuwa akipiga magoti na kusali mara tatu kwa siku."
(Danieli 6:10)


Aya za Qur'an Zinazozungumzia Sijda

1. Amri ya Kusujudu kwa Mwenyezi Mungu
"Na kwa hakika tuliwaumba wanadamu na majini ili waniabudu."
(Qur'an 51:56)
Hii inaonyesha kuwa kusujudu ni sehemu ya lengo la kuumbwa kwa wanadamu.


2. Waja wa Mwenyezi Mungu Wanapokumbuka Aya Zake Husujudu
"Hakika wale walioamini aya zetu, wanapokumbushwa nazo huanguka kifudifudi na kumsujudia Mola wao, na humhimidi Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, nao hawafanyi kiburi."
(Qur'an 32:15)


3. Kusujudu Kama Ishara ya Unyenyekevu na Shukrani
"Na kusujudu na ukaribie zaidi kwa Mwenyezi Mungu."
(Qur'an 96:19)
Hii ni mojawapo ya aya zinazosisitiza kusujudu kama njia ya kumkaribia Mwenyezi Mungu.


4. Sijda ya Malaika kwa Adam (AS)
"Na kumbuka pale tulipowaambia Malaika: Msujudieni Adam. Wakasujudu wote isipokuwa Iblisi, alikataa na akajivuna, naye alikuwa miongoni mwa makafiri."
(Qur'an 2:34)
Hii inaonyesha kuwa sijda kwa Adam ilikuwa ni agizo la Mwenyezi Mungu kama ishara ya heshima, si ibada.


5. Sijda ya Viumbe Vyote
"Na viumbe vyote mbinguni na ardhini vinamsujudia Mwenyezi Mungu, kwa kupenda au kwa kulazimika, na vivuli vyao pia asubuhi na jioni."
(Qur'an 13:15)
Aya hii inaonyesha kuwa kila kiumbe kinamnyenyekea Mwenyezi Mungu.


6. Waumini Wanaposikia Qur'an Husujudu
"Na wanapoisikia Qur'an husujudu kifudifudi wakiilia kwa hofu na shukrani kwa Mola wao."
(Qur'an 17:107-109)




---

Sura za Sajda (Aya za Kusujudu)

Qur'an ina sehemu maalum za kusujudu zinazoitwa "Aya za Sajda." Aya hizi husomwa na kusujudiwa mara moja na msomaji au msikilizaji. Kuna jumla ya 15 aya za Sajda katika Qur'an:

1. Al-A'raf (7:206)


2. Ar-Ra’d (13:15)


3. An-Nahl (16:50)


4. Al-Isra (17:109)


5. Maryam (19:58)


6. Al-Hajj (22:18)


7. Al-Hajj (22:77)


8. Al-Furqan (25:60)


9. An-Naml (27:26)


10. As-Sajda (32:15)


11. Sad (38:24)


12. Fussilat (41:38)


13. An-Najm (53:62)


14. Inshiqaq (84:21)


15. Al-Alaq (96:19)




---

Hadithi Kuhusu Sijda

Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza umuhimu wa sijda kwa waumini:

1. Kusujudu Mara kwa Mara
"Unapomsujudia Allah, Allah hukunyanyua daraja moja na kufuta dhambi moja."
(Sahih Muslim, Hadithi 482)


2. Kusujudu Kama Alama ya Ibada
Mtume alisema: "Nitambue umma wangu Siku ya Kiyama kwa athari za sajda kwenye vipaji vyao."
(Sahih Bukhari, Hadithi 6572)




---

Umuhimu wa Sijda

1. Ishara ya Unyenyekevu Kamili
Sijda inaonyesha kwamba binadamu anakubali udhaifu wake mbele ya Allah.


2. Kipimo cha Ukaribu na Allah
Kusujudu ni tendo linaloweka mja karibu zaidi na Mola wake.

NDUGU ZETU WAKIRISTO MNAKOSEA WAPI? NAWASHAURI WASOME SANA BIBLIA NA WASIPENDE KUSOMEWA NA WACHUNGAJI NA WAO WAKAWA WANAFATA TU
Kusujudu ni kumwangukia mungu tena unalala sio kubong'oa
 
Hujaelewa huu uzi. Wewe unaleta maelezo ya watu waliosujudu, ni kweli.
Swali ni kwamba mbona hao waarabu hawajisugui kwenye mazuria hadi waote sugu nyeusi kwenye paji la uso kama waafrika weusi?
Hao wote uliowataja waliota sugu nyeusi kwa kusujudu?

Kwa mujibu wake amesema kuwa wanao sujudu sio waisilam tu hata mabudha na wakristo wanasujudu lakini hashangai wabudha na wakristo na mabudha kutokuwa na sijda pamoja na kuwa wana sujudu ila wakati huo anawashangaa waarabu.
Sasa hicho si kituko?

Kwani hata hapa Tz ni waisilam wangapi wenye sijda?
Kwenye mia unaweza kukuta mmoja tu tena yule ambaye umri wake umesha sogea.
Watu kwa sasa ni ngumu kupata sijda kwa sababu dunia imebadilika watu siku hizi hawasalii kwenye mkeka migumu bali wanasalia kwenye mazuria malaini.
 
Back
Top Bottom