Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?



Japo swali sio la msingi. Ila mbona hili swali limejibiwa humu kuwa inategemeana na ngozi na ngozi na wala sio lazima imtoke mtu
 
Hizo nisugu ila wabongo tunashobo sana unakuta mmatumbi anasugu usoni wakat hata nasrah au Ismail haniye hana, ayatollah mwenyewe hana
hakuna muislam zaidi ya yule muumini wa kweli,uliowataja wanaweza kuwa na daraja la chini la uumini kuliko muislam wa Geita.note it
 
Hizo nisugu ila wabongo tunashobo sana unakuta mmatumbi anasugu usoni wakat hata nasrah au Ismail haniye hana, ayatollah mwenyewe hana
Kwa hiyo kumbe ww huwa unaenda kuabudu kwa kumuangalia fulani anaabuduje?
 
Waislamu wa ngozi nyeusi wengi ni wapumbavu ..hawana akili yoyote kichwani ...akili zao ni kama akili za wanawake tu...nilisema duniani hakuna waislamu kwa sasa bali kuna WAISIHARAMU TU.
 
Waislamu wa ngozi nyeusi wengi ni wapumbavu ..hawana akili yoyote kichwani ...akili zao ni kama akili za wanawake wanawake tu...nilisema duniani hakuna waislamu kwa sasa bali kuna WAISIHARAMU TU.
hata wangekuwepo na hata uliopo huwezi kuwapenda.
 
Sijawahi kujua kwamba ni Bulb 💡 yakumulika mbingu ? Ili wapate nini wale mabikra ?
 
hata wangekuwepo na hata uliopo huwezi kuwapenda.
Mimi sipendi wapumbavu hata siku moja ....siangalii huyo moumbavu ni mwamposa au omar...mpumbavu ni mpumbavu tu tena akiwa na cheo ndiyo mbaya zaidi ...cheki samia bushiri alivyo tamalaki upumbavu toka unyayoni hadi utosini
 
Ati na kwamba wanasujudu sehemu laini yenye sufi safi , huku anakita bichea kwenye mkeka lazima apate sugu.
 
Swali hujajibu, kwanini waislam weusi ndo wenye digida peke yao? Hata kama ni waçhache, kwanini?
Wanaosujudu wasio waislam hawana sigida, wawe waarabu au siyo waarabu.
SWALI KWANINI WAISLAM WEUSI TUU NDO WAWE NA SIGIDA?
 
Waislamu wa ngozi nyeusi wengi ni wapumbavu ..hawana akili yoyote kichwani ...akili zao ni kama akili za wanawake tu...nilisema duniani hakuna waislamu kwa sasa bali kuna WAISIHARAMU TU.
Kwa hivyo mama yako hana akili? Sasa kama aliekuzaa hana akili wewe utakuwa na akili? Sisi waislam ngozi nyeusi tunaakili kuliko nyinyi wakiristo ngozi nyeupe, mfano mdogo tu, waislam ngozi tunapinga ushoga nyinyi wakiristo ngozi nyeupe mnapenda sana ushoga
 
Kwani wakiristo hamsujudu?
Hapa tunaongelea ile sugu nyeusi kwa waafrika weusi tuu.
Angali hapo kwenye comments wenzio wametoa ushahidi wa wakristo kusujudu. Wajibu hao.
Hapa tunaongelea àlama nyeusi inayotokana na kusugua mswala wakati wa kusujudu.
 
Kuna wenye macho na hawaoni....
Waona hili andiko..
Mwenyezi Mungu awape tanabahi wasiendelee kujipoteza...
 
Swali hujajibu, kwanini waislam weusi ndo wenye digida peke yao? Hata kama ni waçhache, kwanini?
Wanaosujudu wasio waislam hawana sigida, wawe waarabu au siyo waarabu.
SWALI KWANINI WAISLAM WEUSI TUU NDO WAWE NA SIGIDA?
Hapa tunaongelea ile sugu nyeusi kwa waafrika weusi tuu.
Angali hapo kwenye comments wenzio wametoa ushahidi wa wakristo kusujudu. Wajibu hao.
Hapa tunaongelea àlama nyeusi inayotokana na kusugua mswala wakati wa kusujudu.
Ndio hivyo. Kwani wakiristo wakisujudu husuju kisogosogo mbona hawana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…