Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?


Unataka kuniambia, huyu kwenye picha ni wa kiume
 
Huyu ni demu bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa..
Judge no body.

Kazi yao inawaruhusu kuwa hivyo kwa sababu mazingira yao mara nyingi anakuwa yupo na wanawake na hii inapelekea kuwa na tabia za kike.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] huyu si demu kabisa mkuu cheki kuanzia umbo mpaka pozi

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 

Bwahhahahahaha wanaturingishia makario,.. Asehh hatari,.. Bwahahahahaha
 


Hii inamuhusu Diamond Platinumz
 
Tatizo watu hupenda kuhukumu sana. Sijui kweli kama elimu zetu zote 3 zinatusaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
kama kusoma haujui hata picha basi mkuu imagine ndo mtoto wako wa kiume anakuja hivyo nyumbani upo na marafiki zako mnapiga stori mbili tatu utachukua uamuzi gani?

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Hivi kala kajamaa Martin Kadinda ni riziki kweli yulee? Na yule Haki Ngowi ni mzima kweli au? Wanaume wanaopenda kushika shika nguo na kujiremba kwa kweli nina mashaka nao sana. Nani anaweza kunipatia namba za hawa ma-aunt niliowataja?
 
basi itakuwa ni type ya genetic dissoder inayoitwa KLINIFFETERS SYNDROM yaani badala ya mwanaume kuwa XY yy anakuwa ana extra X yaani XXY ambapo hii inamfanya X chromosome kui dominate Y na hivyo hormones nyingi anazokuwa anazalisha ni za kike ndiyo maana ya huyo kuwa hivyo hata ndevu huwa hawanaga hao

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…