likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Kwa sababu ushoga ni sehemu ya kaz yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??![]()
Huyu anazingua ,huyu pichani ni mdadaHuyo ni demu bana siyo mwanaume
Huyu ni demu bhanaWakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??![]()
Mnabishana na ukwelHuyu anazingua ,huyu pichani ni mdada
[emoji15] [emoji15] [emoji15] huyu si demu kabisa mkuu cheki kuanzia umbo mpaka poziWakuu nimejiuliza na kushangaa yani wanaume wengi wa Tz ambao wanafanya shughuli za ubunifu/mitindo(Designer/modeling) wanakua na tabia za kike kike na wengine wana muonekano wa kidemu?
Najua mnawajua madesigner wa kibongo wenye mambo ya kidemu/kishoga shoga hii inasababishwa na nini jamanii??![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dar eti?
Mwanaume mzima unavaa vinguo vilivyobana makalio kisha unaanza kutembea jukwaani kwa madaha huku ukituonesha msambwanda wanaume wenzio,!!
Unadhani uanaume ni kazi rahisi namna hiyo?
Yani ufanye kazi ya kuturingishia makalio alafu utegemee uwe mwanaume kamili gado?
Mwanaume mzima unavaa vinguo vilivyobana makalio kisha unaanza kutembea jukwaani kwa madaha huku ukituonesha msambwanda wanaume wenzio,!!
Unadhani uanaume ni kazi rahisi namna hiyo?
Yani ufanye kazi ya kuturingishia makalio alafu utegemee uwe mwanaume kamili gado?
kama kusoma haujui hata picha basi mkuu imagine ndo mtoto wako wa kiume anakuja hivyo nyumbani upo na marafiki zako mnapiga stori mbili tatu utachukua uamuzi gani?Tatizo watu hupenda kuhukumu sana. Sijui kweli kama elimu zetu zote 3 zinatusaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] huyu si demu kabisa mkuu cheki kuanzia umbo mpaka pozi
sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
basi itakuwa ni type ya genetic dissoder inayoitwa KLINIFFETERS SYNDROM yaani badala ya mwanaume kuwa XY yy anakuwa ana extra X yaani XXY ambapo hii inamfanya X chromosome kui dominate Y na hivyo hormones nyingi anazokuwa anazalisha ni za kike ndiyo maana ya huyo kuwa hivyo hata ndevu huwa hawanaga haoHuyu namfaham
Anaitwa frank
Tulisoma nae Tusiime
Tangia secondary anamambo ya kikekike2
Naskia adi baba ake alikataa kuwa anamfata
Tatizo ni ukiwa karibu yake ni kama uko karibu na mwanamke tu
Ata marafiki zake ni wanawake2
Ata ongea yake, tembea yake, smile yake, ata shep yake
Cjui ilikuwaje akawa mwanaume
IQ standard