Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah..sijui kabisa. Lakini nitapunguza sana ukaribu nae. Kwa mtoto naweza kufa kwa stress aisee!!Ikitokea mtu wangu wa karibu akawa shoga sitachukua panga na kumkata kata wala sitachukua bunduki na kumtandika risasi.
Ni wazi kuwa nitasikitika lakini masikitiko yangu hayatahalalisha mimi kumdhuru yeye kwa namna yoyote ile.
Zaidi nitakachoomba kutoka kwake ni yeye kuwa raia mzuri tu, basi. Mengine yatakuwa ya kwake .
Na kama ni mtoto sitamkataa. Uhusiano unaweza kupatwa na mushkeli lakini bado atakuwa mtoto wangu.
Ikikutokea wewe je, utafanyaje?
sheria ngowi vinguo vyake mweeew
anabana kalioo mashallah
Wafanywe wengine shu,,,,,,, z,,,, aj&mbe yeee Dinazarde
Nani mwanamke ? Heshima kitu chabulee
Atakuwa anamshonea na baba Riz!
Ugonile Bhanunu
msiba mzito
binafsi namkubali lotta mollel
he is my friend ila ki ukweli SIO SHOGA maana ana mtoto na ana girlfriend kabisa
sio show off tu ndugu
ila nitafurahi kama itakuwa hivyo maana nakubali kazi za jamaa
ametembea nae km wameachana hv karibuni
sidhani kama hii inazuia wasipakuliwe, marehemu KIBO alikuwa na mke kabisa!!
Alaf alinifollow huyu insta nkam accept ila ndo ivo mwisho wa siku kila mmoja atawajibika kwa aloyatenda na hakuna mja atakaebeba mzigo wa mwenzie.......Mungu anusuru vizaz vyetu maana ushoga kwasasa unatishia amani
Kuna picha za video au za mnato...how can you be so sure?
sio hao tu, hata cabin crew wanaofanya kazi ndani ya ndege kwa ndege zile za jamuu (hasa wazungu kwani sina uhakika na wabongo) kabiria wote ni mapunga. wale wanaotugawiaga vinywanji na vitafunwa. kwa bongo najua wanaweza kuwa wapiga kazi kama kawaida tu ila ulaya ukiona mtu anapenda kazi za kikekike kama kuwa cabin crew, kuhudumia migahawani na bar, fasheni fasheni hizo zote ujue ni punga.Siyo wana mitindo tu...hata baadhi ya maHair Dresser wengi wa salon za Ulaya na America wengi wao ni mashoga"hasa wanaume". Hata mimi huwa najiuliza tatizo ni nini?