Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Kwanini wabunifu na wanamitindo wengi wa nguo (wanaume) wanashiriki mapenzi ya jinsia moja?

Ukifuatilia kwa ukaribu historia ya ubunifu wa mavazi imefadhiliwa na freemasonry .Ukiwa makini utajua kuwa Leonardo DA VINCI alichora picha ya Monalisa ,kuonesha namna ambavyo mwanamke anatakiwa kuvaa. Since then wabunifu wa mavaz wakifadhiliwa na freemasonry wamekuwa wakimvua nguo taratibu Monalisa hadi kufikia wanawake kutembea uchi. Sasa unganisha freemasonry ,gays and modelling utapata jibu kuwa wanamtumikia bwana wao mmoja wanaomjua wao.
 
Alafu hao wabunifu wa ulaya sijui kwanini ushoga wao wanaufanya na vijana wadogo..
 
hii ndio kazi ya kufanya wale wote wasio julikana! Tangu lini sehemu ya kutolea uchafu ikaruhusiwa kuingiliwa?
 
Hivi wadau hapa kuna uzima kweli au ndio mambo ya pozi za kifashion na kikuku mguu wa kulia....ila madizaina kwa kweli afya zao za kijinsia tata sana kwa kweli.
Screenshot_20191201-175804.png
Screenshot_20191201-175748.png
 
Jamaa pozi zake na anavyojiweka kuna ualakini ktk matumizi ya maumbile yake, kweli madesigner lazima wawe na muonekano huo 🤣 🤣
 
Analiwa huyu,mwanaume gani anavaa kikuku na nguo za kuchanika kama dem?.
 
Kuna msela wangu miaka mingi kidogo alimtafuna sana huyo Fundi charahani Wakihindi....
 
Mtu anayeshabikia mambo ya mitindo huyo mtazame mara mbili...
Kuna yule jamaa anasema "Dhambiii za fasheoniiiiii" Yule hua ananitia wasiwasi
 
Remtullah ni mtoto wa watu kitambo sana...

Hii tabia sijui kwa nini ipo sana kwa designers wa nguo za wanawake...
 
Back
Top Bottom