Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Na wewe hamia huko uombe ukabila uwe mchaga au kaolewe huko uzae watoto wenye vinasaba vya kichagga kama unatamani ! !!

Wenzentu wa kaskazini wanajitahidi sana, ukweli usemwe ! Chuki ya nini.? Jitafute na wewe ukijipata jigambe !

Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe!
hiyo ni kweli mti wenye matunda lazima upigwe mawe na ukiona watu wanakuchukia sana jua ya kwamba wewe ni mtu mkubwa saaana
 
Inategemea huko Moshi unakopitaga huwa unajenga taswira ipi kchwani mwako kwamba ni "lazima" uone A,B au C ili moyo wako ufurahi.Lakini,nakukumbusha tu,miji na vijiji vingi(si vyote)kwa Afrika kuna mfanano.
SWALI LA KIPUUZI.
Kwani mji wa asili huko kwenu upoje hadi uwe na matamanio hewa kwamba utayakuta kwa wachaga@MrWhy?
 
Inategemea huko Moshi unakopitaga huwa unajenga taswira ipi kchwani mwako kwamba ni "lazima" uone A,B au C ili moyo wako ufurahi.Lakini,nakukumbusha tu,miji na vijiji vingi(si vyote)kwa Afrika kuna mfanano.
SWALI LA KIPUUZI.
Kwani mji wa asili huko kwenu upoje hadi uwe na matamanio hewa kwamba utayakuta kwa wachaga@MrWhy?
Hakuna mji wa asili! Tatizo la huko ni wanachi kutoachia maeneo kwa ajili ya kuruhusu uwekezaji na watu wa jamii nyinyine kuja na kuwekeza!
 
Wachaga...wengi ni maskini sana....!
Kwanza majambazi
Wezi
Walevi mno.....

Moshi ni pa zamani mno hapana maendeleo

Lkn hawa wachaga wanakunyima usingizi....
Wanasema wana maendeleo wakati hawana

Na usingizi hupati...!

Achana na wachaga...utajiua au utakufa na pressure!

Mtu anatoka kaliua anulizia moshi mjini

Utaweza?
 
Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu

Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao wanafikia hatu ya kudharau watu wengine kwasababu ya kasumba hii

Jambo moja linalonipelekea kuandika article hii ni kwasababu kila napopita mji wa Moshi miaka nenda rudi tangu nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima uko vilevile kwanzia majengo huwa sioni yakijengwa mapya, maghorofa mapya matokeo yake umekuwa ni mji usiokua wala kubadilika kana kwamba hawa Wachaga wameutelekeza

Wachaga nijibuni kwanini mnasifika sana kwa maendeleo lakini mji wa Moshi ambao ndio utambulisho wenu miaka nenda rudi uko vile vile sasa tunashindwa kuelewa kwanini hamfanani na haya mnayoyasema?

Ningekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lazima ningewahoji mpaka mnieleze kwanini mji wa Moshi mmeutelekeza huku mkijigamba mna maendeleo makubwa

Swala la kumiliki rasilimali mikoa mingine ikiweno Dar es Salaam kwa namna ya ndani kabisa ni kwamba mnakweza jiji la Dar es Salaam au majiji hayo lakini asili yenu ambayo ni mji wa Moshi inakufa na mpo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza mji wenu kimaendeleo

Je hili mnalitambua?
Moshi ni fukara compared to which ancenstral city?
 
Wachaga...wengi ni maskini sana....!
Kwanza majambazi
Wezi
Walevi mno.....

Moshi ni pa zamani mno hapana maendeleo

Lkn hawa wachaga wanakunyima usingizi....
Wanasema wana maendeleo wakati hawana

Na usingizi hupati...!

Achana na wachaga...utajiua au utakufa na pressure!

Mtu anatoka kaliua anulizia moshi mjini

Utaweza?
Kwa maneno haya:
"Wachaga...wengi ni maskini sana....!
Kwanza majambazi
Wezi
Walevi mno.....
Moshi ni pa zamani mno hapana maendeleo........"
Mkuu; Unatakiwa uwaombe radhi Wachaga. Kwani wame kuibia au kukupora nini?? Teh teh teh.😵
 
Inategemea huko Moshi unakopitaga huwa unajenga taswira ipi kchwani mwako kwamba ni "lazima" uone A,B au C ili moyo wako ufurahi.Lakini,nakukumbusha tu,miji na vijiji vingi(si vyote)kwa Afrika kuna mfanano.
SWALI LA KIPUUZI.
Kwani mji wa asili huko kwenu upoje hadi uwe na matamanio hewa kwamba utayakuta kwa wachaga@MrWhy?
Mimi natoka Mwanza lakini hawa Wachaga humu wanajigamba sana mpaka mtu unashangaa kwanini wanafanya hivi lakini nikitazama Moshi haiendani kabisa. Nilitegemea Moshi iwe kama Tokyo
 
Mimi natoka Mwanza lakini hawa Wachaga humu wanajigamba sana mpaka mtu unashangaa kwanini wanafanya hivi lakini nikitazama Moshi haiendani kabisa. Nilitegemea Moshi iwe kama Tokyo
Ng'wanza?Uli nsukuma?Mbona hata wasukuma wengi hujivuna kwamba kwao watu wote hufuga "mang'ombe"?Na hata kujiita "chapa ng'ombe".Kwani ni kweli kila msukuma anafuga ng'ombe?Na hakuna wasukuma wenye miili midogo /wastani?
 
Back
Top Bottom