Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

Ila kwangu mimi naona maendeleo ya jamii ya wachaga ni yakawaida tu! Kwa sabau hata ukienda kwenye miji waliyowekeza hakuna maajabu yeyote maana wanavyofanya hata jamii zingine zinafanya pai!

Ila sema wao huwa hawapendi jamii zingine ziwazidi maendeleo watafanya figizu ili waonekane wanamendeleo wao tu!

Mfano ni mitaa ya huku Mwanagati watu wanamajumba hatari lakini ukiangalia wengi ni wa Kanda ya ziwa huko ila huwezi kusikia wanapiga makelele!

Pia kuna miji kama Kahama ina maendeleo kutokana na mchanganiko wa watu wakiongozwa na wenyeji wa mji huo ambao ni Wasukuma(Wadakama) lakini huwezi kuwasikia wenyeji ambao wanashika uchumi wa Kahama wanajisifu kuwa wao ni bor akuliko wageni na wanashirikiana vizuri sana na wenyeji wa hapo!

Utaratbu wa jamii hiii kujimwambafai ni kutokana na ktopenda kuzidiwa kimaendeleo na jamii zingine na chuki juu ya jamii zinazofanya vizuri kwenye maendeleo kama wao!
Siyo kwamba wengi mnaopiga wachaga vita mnasumbuliwa na inferiority complex? Watu wengi wanadharau wachaga huwa naona wana kitu kimoja common: maumivu ya ndani kwa ndani!
 
Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu

Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao wanafikia hatu ya kudharau watu wengine kwasababu ya kasumba hii

Jambo moja linalonipelekea kuandika article hii ni kwasababu kila napopita mji wa Moshi miaka nenda rudi tangu nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima uko vilevile kwanzia majengo huwa sioni yakijengwa mapya, maghorofa mapya matokeo yake umekuwa ni mji usiokua wala kubadilika kana kwamba hawa Wachaga wameutelekeza

Wachaga nijibuni kwanini mnasifika sana kwa maendeleo lakini mji wa Moshi ambao ndio utambulisho wenu miaka nenda rudi uko vile vile sasa tunashindwa kuelewa kwanini hamfanani na haya mnayoyasema?

Ningekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lazima ningewahoji mpaka mnieleze kwanini mji wa Moshi mmeutelekeza huku mkijigamba mna maendeleo makubwa

Swala la kumiliki rasilimali mikoa mingine ikiweno Dar es Salaam kwa namna ya ndani kabisa ni kwamba mnakweza jiji la Dar es Salaam au majiji hayo lakini asili yenu ambayo ni mji wa Moshi inakufa na mpo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza mji wenu kimaendeleo

Je hili mnalitambua?
Mimi nimefanya Utafiti wa kina

Ukiondoa Kabila la Wakinga ambao wanajitahidi, Aisee Watu wa Kaskazini (Sio Wachaga tu) hata Wameru, Waarusha na Wamasai kwa % kubwa wapo vizuri kimaisha.

Yaani nimepita Ngaramtoni, Sakina, Ilboru, Mianzini, Sekei ndanindani huko juu mpaka Namanga kule mpakani na Kenya Watu wanajenga na kuendeleza kwao

Kusema kwamba Moshi haijaendelea au Wachaga hawana maendeleo ni UONGO na labda una WIVU wa Kike

Uchagani mpaka ndani migombani kuna nyumba nzuri tofauti na vijiji vya makabila mengine
luambo makiadi
 
Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu

Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao wanafikia hatu ya kudharau watu wengine kwasababu ya kasumba hii

Jambo moja linalonipelekea kuandika article hii ni kwasababu kila napopita mji wa Moshi miaka nenda rudi tangu nikiwa mtoto na sasa ni mtu mzima uko vilevile kwanzia majengo huwa sioni yakijengwa mapya, maghorofa mapya matokeo yake umekuwa ni mji usiokua wala kubadilika kana kwamba hawa Wachaga wameutelekeza

Wachaga nijibuni kwanini mnasifika sana kwa maendeleo lakini mji wa Moshi ambao ndio utambulisho wenu miaka nenda rudi uko vile vile sasa tunashindwa kuelewa kwanini hamfanani na haya mnayoyasema?

Ningekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro lazima ningewahoji mpaka mnieleze kwanini mji wa Moshi mmeutelekeza huku mkijigamba mna maendeleo makubwa

Swala la kumiliki rasilimali mikoa mingine ikiweno Dar es Salaam kwa namna ya ndani kabisa ni kwamba mnakweza jiji la Dar es Salaam au majiji hayo lakini asili yenu ambayo ni mji wa Moshi inakufa na mpo kwenye hatari kubwa sana ya kupoteza mji wenu kimaendeleo

Je hili mnalitambua?
Hilo lisanamu na hayo mambo ya maji waliyoweka hapo ni utopolo mtupu. Hivi viongozi wa Tanzania huwa hawaoni miji ya wenzetu huko Ulaya aua Asia inavyovutia? Kwa nini hawajufunzi?

Mtu kakanda udongo tu kaja kuweka lisanamu hapo halina mvuto wowote.

Halafu kuna ile round about ya Arusha kulikuwa na ulazima gani kuweka mlima pale wakati ukisimama hapo mlima wenyewe halizi unauona? Hawa watu ni bure kabisa
 
Ila kwangu mimi naona maendeleo ya jamii ya wachaga ni yakawaida tu! Kwa sabau hata ukienda kwenye miji waliyowekeza hakuna maajabu yeyote maana wanavyofanya hata jamii zingine zinafanya pai!

Ila sema wao huwa hawapendi jamii zingine ziwazidi maendeleo watafanya figizu ili waonekane wanamendeleo wao tu!

Mfano ni mitaa ya huku Mwanagati watu wanamajumba hatari lakini ukiangalia wengi ni wa Kanda ya ziwa huko ila huwezi kusikia wanapiga makelele!

Pia kuna miji kama Kahama ina maendeleo kutokana na mchanganiko wa watu wakiongozwa na wenyeji wa mji huo ambao ni Wasukuma(Wadakama) lakini huwezi kuwasikia wenyeji ambao wanashika uchumi wa Kahama wanajisifu kuwa wao ni bor akuliko wageni na wanashirikiana vizuri sana na wenyeji wa hapo!

Utaratbu wa jamii hiii kujimwambafai ni kutokana na ktopenda kuzidiwa kimaendeleo na jamii zingine na chuki juu ya jamii zinazofanya vizuri kwenye maendeleo kama wao!
Maendeleo ya wachaga ni CIVILIZATION.
Civilization ni General term ya maendeleo.
Sasa hebu ichanganue hiyo civilization
 
Na wewe hamia huko uombe ukabila uwe mchaga au kaolewe huko uzae watoto wenye vinasaba vya kichagga kama unatamani ! !!

Wenzentu wa kaskazini wanajitahidi sana, ukweli usemwe ! Chuki ya nini.? Jitafute na wewe ukijipata jigambe !

Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe!
Anachokisema mtoa mada ni kweli.moshi inaizidi kuchakaa Kila kukicha. Tazama hii video kama hujaenda Moshi muda. Utakubali kuwa Moshi panzeeka

View: https://youtu.be/A_WOTE5ItKA?si=ND2gvf8hfnhqgPi1
 
Lakini mjini wao wametelekeza kwanini uko vile vile au wanatambia ya kukataa kwao?
Moshi ni mji mkongwe. Moshi ina eneo dogo. Wachaga wametawanyika nchini, na wafanyacho kinaonekana. Uhalisia huwa unaonekna kipindi cha sikukuu ambapo miji mingi mikubwa hupwaya. Wakubali tu maana hakuna namna
 
Moshi ni mji mkongwe. Moshi ina eneo dogo. Wachaga wametawanyika nchini, na wafanyacho kinaonekana. Uhalisia huwa unaonekna kipindi cha sikukuu ambapo miji mingi mikubwa hupwaya. Wakubali tu maana hakuna namna
Mji gani? Mwezi wa 12 watu kutoka sehemu kibao wa narudi kwao!
Uliangalia magari ya Mbeya,Bukoba,Mwanza ,Kahama,Tanga nk!
 
Moshi ni mji mkongwe. Moshi ina eneo dogo. Wachaga wametawanyika nchini, na wafanyacho kinaonekana. Uhalisia huwa unaonekna kipindi cha sikukuu ambapo miji mingi mikubwa hupwaya. Wakubali tu maana hakuna namna
Ndio mkuu kuhusiana na eneo dogo kwanza kabisa walitakiwa kufanya mji wa Moshi Tokyo ili waogopwe sana ndipo waanze kusambaa kwasababu mtu unaposema unaenda kwa Wachaga lazima uende Mkoa wao na sio mwingine kwahiyo kama Moshi ndio mji wao basi uendane na sifa zao
 
Mleta mada umepotosha pakubwa na kuna kitu huenda huelewi.
Mimi nimefika Moshi na kuzunguka maeneo tofauti ya mkoa wa Kilimanjaro ili kuona hali ya maendeleo, mapungufu nk.

Binafsi sio mchaga na siwakubali kabisa wachaga (kwa sababu ya majigambo yao na sifa zao za kijinga) lakini kuna vitu jamii zingine inabidi zikajifunze kwa wachaga. Haya ni kwa uchache niliyoyakuta Moshi na Kilimanjaro.

1. Moshi ni mji mdogo lakini wenye ustaarabu mkubwa wa kimaendeleo katika mazingira ya miji ya jamii za kiafrika. Huduma zote muhimu za kijamii na miundo mbinu yote muhimu imekuwepo kwa miaka mingi. Hawa jamaa ama walipendelewa au walijipendelea.

2. Population yake ni ndogo, shughuli zake ni chache za hapa na pale, hivyo ningeshangaa kukuta utiriri wa majengo mengi makubwa, marefu na kisasa katikati ya mji. Ya kazi gani? Urembo? Kwa mfano jengo kubwa pale la NSSF, tangu lijengwe zaidi ya miaka kumi, nilielezwa halijawahi kupata wapangaji hata nusu.

3. Kiwango cha maisha ya wakazi wa Moshi na ubora wa makazi wa wananchi wa kawaida wa Moshi na Kilimanjaro uko juu zaidi ikiwa utawalinganisha na watanzania wengi wa mikoa mingine.

4. Idadi ya wachaga ni ndogo mnoo ukilinganisha na idadi ya watanzania wote. Hao jamaa nadhani hawafikii hata 2% ya watanzania wote, lakini ndio jamii iliyotapakaa maeneo mengi zaidi ndani na nje ya Tanzania huku ikiwa na maendeleo bora ya mfano.
 
Tunawapa miaka 50 muwe mmejenga stendi ya maana ya mabasi na kufagia uchafu mwingi kwenye mitaa ya Bukoba na mingine 50 ya kuondokana na umaskini uliokithiri.
 
Tunawapa miaka 50 muwe mmejenga stendi ya maana ya mabasi na kufagia uchafu mwingi kwenye mitaa ya Bukoba na mingine 50 ya kuondokana na umaskini uliokithiri.
Hivi huwa kuna vita ya Mchaga na Mhaya maana huwa hamuwezi kuchangia mada bila kutoleana maneno machafu!
Lakini mkumbuke miji yenu wote inafanana hakuna wa kumcheka mwenzie, Ni miji inayohitaji uwekezaji mkubwa sana!
 
Back
Top Bottom