Kwanini wachaga hawafanani na sifa wanazojipa?

hiyo ni kweli mti wenye matunda lazima upigwe mawe na ukiona watu wanakuchukia sana jua ya kwamba wewe ni mtu mkubwa saaana
 
Inategemea huko Moshi unakopitaga huwa unajenga taswira ipi kchwani mwako kwamba ni "lazima" uone A,B au C ili moyo wako ufurahi.Lakini,nakukumbusha tu,miji na vijiji vingi(si vyote)kwa Afrika kuna mfanano.
SWALI LA KIPUUZI.
Kwani mji wa asili huko kwenu upoje hadi uwe na matamanio hewa kwamba utayakuta kwa wachaga@MrWhy?
 
Hakuna mji wa asili! Tatizo la huko ni wanachi kutoachia maeneo kwa ajili ya kuruhusu uwekezaji na watu wa jamii nyinyine kuja na kuwekeza!
 
Wachaga...wengi ni maskini sana....!
Kwanza majambazi
Wezi
Walevi mno.....

Moshi ni pa zamani mno hapana maendeleo

Lkn hawa wachaga wanakunyima usingizi....
Wanasema wana maendeleo wakati hawana

Na usingizi hupati...!

Achana na wachaga...utajiua au utakufa na pressure!

Mtu anatoka kaliua anulizia moshi mjini

Utaweza?
 
Moshi ni fukara compared to which ancenstral city?
 
Kwa maneno haya:
"Wachaga...wengi ni maskini sana....!
Kwanza majambazi
Wezi
Walevi mno.....
Moshi ni pa zamani mno hapana maendeleo........"
Mkuu; Unatakiwa uwaombe radhi Wachaga. Kwani wame kuibia au kukupora nini?? Teh teh teh.😵
 
Mimi natoka Mwanza lakini hawa Wachaga humu wanajigamba sana mpaka mtu unashangaa kwanini wanafanya hivi lakini nikitazama Moshi haiendani kabisa. Nilitegemea Moshi iwe kama Tokyo
 
Mimi natoka Mwanza lakini hawa Wachaga humu wanajigamba sana mpaka mtu unashangaa kwanini wanafanya hivi lakini nikitazama Moshi haiendani kabisa. Nilitegemea Moshi iwe kama Tokyo
Ng'wanza?Uli nsukuma?Mbona hata wasukuma wengi hujivuna kwamba kwao watu wote hufuga "mang'ombe"?Na hata kujiita "chapa ng'ombe".Kwani ni kweli kila msukuma anafuga ng'ombe?Na hakuna wasukuma wenye miili midogo /wastani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…