Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?

Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?

Wanatumia sauti kubwa na kelele ili kuwadanganya waumini zao

Matapeli kama matapeli wengine

Kwanza hiyo mikelele ya masauti yao ya kukoroma kwetu wengine ni kero

Hata hao wenye sauti zisizo za kukoroma wanakwambia toa ndugu toa ndugu michango kama yote

Dini ni ujanja ujanja tu, za kuambiwa changanya na zako
 
Nguvu nyingi hutumika wakati wa kuhubiri na kukemea na wakati wa maombi. Unlike mapadre ambao mafundisho yao no kama wanaonhea na waumini.
Hakuna mtume aliyekuwa anabwatuka na kupiga yowe kwenye biblia nzima. Hata Yesu mwenyewe hakuwa anapiga mayowe aliongea kawaida.

Hawa manabii wa sasa ni kama rappers. Marijani Rajabu sio sawa na Chinowanaman.
 
Umejiwekea imani tu mbona wengine sauti zao zipo simple tu labda watakuwa mitume wako uchwara ndo wanakoroma ili wakulambe pesa vizuri
 
Hakuna mtume aliyekuwa anabwatuka na kupiga yowe kwenye biblia nzima. Hata Yesu mwenyewe hakuwa anapiga mayowe aliongea kawaida.

Hawa manabii wa sasa ni kama rappers. Marijani Rajabu sio sawa na Chinowanaman.
Hivi nuhu kwa miaka yote ile alihubiri kama mtu anaye ongea? Halafu mkuu kizazi cha saivi ukikihubiri kwa lugha ya mazungumzo unakuta kichwani unapita wimbo wa zuchu tu honeeeeeey!!!! Lazina uwapigie kelele kidogo 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom