Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Biashara na madoido
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo pepo mfukoni kwakoAlafu hizo sauti huambatana na mikwara kibao
Hahahah...utasikia wale wanaotembea nje kule ni maiti,hawajui nini kitafuata,ila ninyi mliondani hapa kanisani mpo sehemu salama na mtapata uzima wa milele...SEMA EMEEEEN..
Roho Mtakavitu sio MtakatifuHaha ni ya roho mtaka hela
Sana sana haya madhehebu ya kisasa, yaani wanakuwa kama masangoma tu, sangoma akiona mteja sauti inabadilikaKichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
[emoji16][emoji16][emoji16]Haha ni ya roho mtaka hela
Wewe Yesu ulimsikia wapi akiwa anahubiriHakuna mtume aliyekuwa anabwatuka na kupiga yowe kwenye biblia nzima. Hata Yesu mwenyewe hakuwa anapiga mayowe aliongea kawaida.
Hawa manabii wa sasa ni kama rappers. Marijani Rajabu sio sawa na Chinowanaman.
🤣🤣🤣🤣kwakweliHivi nuhu kwa miaka yote ile alihubiri kama mtu anaye ongea? Halafu mkuu kizazi cha saivi ukikihubiri kwa lugha ya mazungumzo unakuta kichwani unapita wimbo wa zuchu tu honeeeeeey!!!! Lazina uwapigie kelele kidogo 😁😁😁😁
Halafu yanafanyaga kama kuigizana hivi!Kichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
Watu wanaovumilia zile kelele wana moyo wa ajabuMimi zinaniumiza kichwa nikitoka hapo hoi kabisaaa
SkillsHiyo inaitwa strategy.
Kaen mkijua kuna mapepo yenye kibur bila kulikoromea kwa sauti yenye utisho haliwez kumtoka mtu achen kulinganisha mambo!! Ndio maana sio lahis padre kumtoa mtu pepo maana litamwangalia tu bila kujishtua lilipoHata mapadri pia sauti zao ni feki a.k.a fekero.
Wanajifanya wanaongea kwa lafudhi ya Kilatini eti!
NI MBENGOOO ZEKAFONGOKA mkuu 😁Jaribu tamka "NA MBENGOOO ZIKAFUNGUKA " katika sauti mbali mbalii hahaaa