Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Wachungaji Wamo Humu Yaani Haa Waumini Wamechafukwa Sana Kwa Vocals
Seen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seen.
Huwa wanawahubiri Masikini ambao huitaji sauti ya kukoroma ili asikie,..tofauti na padre yeye huubiri majajiri ambao hawataki Kelele😜Kichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
Teh teh teh BulldozerJaribu tamka "NA MBENGOOO ZIKAFUNGUKA " katika sauti mbali mbalii hahaaa
OyooooooooHahahah...utasikia wale wanaotembea nje kule ni maiti,hawajui nini kitafuata,ila ninyi mliondani hapa kanisani mpo sehemu salama na mtapata uzima wa milele...SEMA EMEEEEN..
SanaOyoooooooo
Mkuu umenena aiseeWanatumia nguvu kubwa za kimwili kuwasilisha mambo ya kiroho.
Wanachanganyq maombi kwa maana ya mazungumzo na Mungu na Maombi kwa maana ya kumgombeza ibirisi.
Ooooh! Halleluya!! 😁Zile ni sauti za Kisanii,sauti za kupigia pesa.
Hoooo rabashikraaaaa na makandrooooo
Wenye jero je?Ooooh! Halleluya!! 😁
Tunaanza sasa na wale wenye laki moja mkononi kuja mbele ya madhabahu kumtolea Bwana sadaka!!
Dini za Kikristu ni tofauti.Kichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
double click njoo usome hii 😂Zile ni sauti za Kisanii,sauti za kupigia pesa.
Hoooo rabashikraaaaa na makandrooooo
Kwa Mwamposa siku moja nilipo piga chabo, naona wa mwisho kabisa kuwaita walikuwa ni wale wenzangu na mimi wenye 5000 kwenda mbele ya madhabahu yake!Wenye jero je?
DoohKwa Mwamposa siku moja nilipo piga chabo, naona wa mwisho kabisa kuwaita walikuwa ni wale wenzangu na mimi wenye 5000 kwenda mbele ya madhabahu yake!
Kwa nini huwa anaweka hizo grades?Kwa Mwamposa siku moja nilipo piga chabo, naona wa mwisho kabisa kuwaita walikuwa ni wale wenzangu na mimi wenye 5000 kwenda mbele ya madhabahu yake!
500 hata kwa nauli tu haitoshi...Kwa nini huwa anaweza hizo grades?