Alooo kuna jamaa anaombea sana kwenye ile fountain radio kwa wakazi wa kilimanjaro wanamjua dah jamaa sauti yake sio mchezo siku moja niko home nikatune redio basi nikamsikia nilicheka sanaKichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jaribu tamka "NA MBENGOOO ZIKAFUNGUKA " katika sauti mbali mbalii hahaaa
Hiyo inaitwa strategy.
[emoji38][emoji38] nnae rafiki yang ni mchungaji nilimuuliza hivyo juz juzi akanijib "unataka kuniuzi Sasa"Kichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jaribu tamka "NA MBENGOOO ZIKAFUNGUKA " katika sauti mbali mbalii hahaaa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ni sifa za kijinga tu
Hata Masheikh kuna namna wanaongea kwa kufanana karibu wote
Utasikia
" Mwenyeeenzii Mungu sub Allah wa taalah anakutakeni ndugu waislam"
Ni sauti ya roho mtakatifuWanatumia sauti kubwa na kelele ili kuwadanganya waumini zao
Matapeli kama matapeli wengine
Kwanza hiyo mikelele ya masauti yao ya kukoroma kwetu wengine ni kero
Hata hao wenye sauti zisizo za kukoroma wanakwambia toa ndugu toa ndugu michango kama yote
Dini ni ujanja ujanja tu, za kuambiwa changanya na zako
Kondoo huwa niwagumu sana kwenye kila kitu .yaan unataka kataa kwamba hao wachungaj waadhehebu hawaongei kwa kukoroma...tumekua tukishihudia hio ndo style yao..unataka kanusha hilo...kwel brainwash ina nguvu kuliko chochote..yaan kondoo unataka bisha kabisa hapa..dah..ma.maeUmejiwekea imani tu mbona wengine sauti zao zipo simple tu labda watakuwa mitume wako uchwara ndo wanakoroma ili wakulambe pesa vizuri
Haha ni ya roho mtaka helaNi sauti ya roho mtakatifu
Mimi zinaniumiza kichwa nikitoka hapo hoi kabisaaaHaha ni ya roho mtaka hela
Ila hata mapadri kuna ongea yao fulani hivi ya "kipadiri".Huko vyuoni vyao vya bibilia ndiko wanakojigunza, na mtindo wa kilokole wa kufoka foka ulipo asisisiwa huko Marekani, mapadre na wengine wanaofuata mfumo wa liturijia hawawezi kuwa na mfumo wa mahubiri ya kufoka na kukoroma
Ushawahi kujiuliza kwa nini madaktari huwa wana miandiko mibaya kwenye kadi za wagonjwa ila huwa wanamiandiko mizuri kwenye ishu nyinginezo??Kichwa cha habari chajitosheleza...!
Kwanini wachungaji wanasauti za kukoroma wakiongea ila ma Padre wanasauti zao za asili?