Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Unachokosea ni kutaka kuchange character yako kwa ajili ya kupata approaval ya mwanamke, baki hivyohivyo na usabato wako utakubalika. Kwahiyo kila mara wewe utakuwa unajibadilisha kama kinyonga?
Kum handle mwanamke inahitaji moyo sana na nilicho kiamua nitambembeleza ila akileta ujinga atanikoma.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnachanganya raia, sasa care mnataka mkipewa care tunageuka mazoba tena. Ukiwa bandidu mwanamke atalalamika ila its the right way ya kum handle mwanamke [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo nikuleta usabato had kwenye mapenzi. Kuna jamaa nilifumaga sms yake kwa dem amemtumia vifungu vya biblia ana mkumbusha kuzini ni dhambi hiv seriously kwel unamtumia dem unaemtongoza vitu kama hiv unategemea nini? Hapo wenda ata kumkiss uwezi kwa kuofia kutenda dhambi.
Sasa maswala gani ya yakunifungulia uzi huku? Huyo hb sindio mm?Salam wakuu,
Straight to the point. Kuna jamaa yangu anaitwa bwana X, huyu mwamba anatabia zote za kihuni unazozifahamu. Dazi,tungi, ma tattoo hereni sijui takataka zote na tabia kwa ujumla ni mshenzi pro max. Ana muonekano au haiba ya kuvutia kiukweli msela ila tatizo kubwa mwana uhuni umetamalaki.
Ninachojiuliza ni wimbi la kinadada anavyowapanga kama draft, Tena ni pisi haswaa. Najiuliza hawa wanawake wana akili kweli? Kuna mmoja juzi kati kaenda ghetto kwa bwana X sijui alimzingua nini Akala kichapo heavy mpaka Wana tukaenda kuamulia ugomvi. Cha ajabu, asubuhi mwamba akaja room kutafuta "nali" akaniambia mwanang manzi alilala home bado yuko ghetto and I robbed her (hapo akanionesha mpunga aliokwara kwenye wallet ya manzi).
Yote tisa, kuna dada mmoja anafanya kazi Barclays bank, aisee sijui nisemeje wakuu muelewe uzuri wake ni WA namna gani. Dada ni mlimbwende haswaa, she got everything aisee halafu ni wale tunaita beauty with brains, yuko vizuri sana upstairs. Pia ni wale design kama church girls flani hivi hanaga makuu kabisa hata ugimbi hagusi, Cha ajabu juzi nimemkuta na bwana X katika mazingira ya ukiona manyoya.
Kwa wimbi la mademu wakali anaoruka nao, nashindwa kuelewa jamaa sijui ana dawa ama vipi sababu kama mpunga basi ni ile unga unga mwana, ma manzi wenyewe ndio wana shower fuber on him, lakini anavyowafyatua basi mtu unabaki unajiuliza tu kwamba wadada mnapenda wanaume wahuni? Wasabato hamuwapendi? Hebu tuelezeni hapa ili wasabato basi nasisi tuchange characters tuweze kula mema ya nchi.
Nawasalimu kwa jina la J.M.T
KAZI IENDELEE
Na ndio inatakiwa hivyo😂Kum handle mwanamke inahitaji moyo sana na nilicho kiamua nitambembeleza ila akileta ujinga atanikoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mommahHata mimi ni mwanamke lakini huwa nawashangaa sana wanawake wenzangu kwenye hili. Wanawake kwenye mapenzi ni kama hatuna misimamo ama sijui niseme hatujielewi.
Yaani eti unakuta mwanamke anakuambia hapendi kuwa controlled. Haya akipata mwanaume asiyemcontrol anasema anaboa anataka mwanaume mbabe anayejua kucontrol.
Bora wengine tunajijua kabisa tukisema hatupendi kuwa controlled ni hatupendi kweli. Mimi mwanaume akiwa mpole ndiyo namheshimu ila akileta ubabe wallahi atajua hanijui.
Hasiyependa = asiyependaNi kama kazi/ tenda ukiwa na experience ya muda mrefu ni rahisi kupata kazi mpya.
Mwanamke yoyote anapendelea mtu anayejiamini na maneno machafu machafu na ndio maana jamaa anawangoa
Hakuna mwanamke hasiyependa mapenzi
Binafsi siamini kwenye kumcondition mwanamke, naamini kwenye kuwa under nobody's influence either psychologically or emotionally. That's a real confidence.Wanawake wengi tunapenda Wanaume wanaojiamini Mwanaume mwenye sauti Mwanaume anayethubutu kukuambia sitaki ufanye kitu flan na hufanyi, mwanaume mbabe flan hivi!!
Sio mwanaume wa kila kitu ndiyo yaani unampeleka peleka tu, hapana anaboa.
Mimi nikiwa na binti yangu huwezi niletea mpuuzi kama huyo kuwa mkwe.Salam wakuu,
Straight to the point. Kuna jamaa yangu anaitwa bwana X, huyu mwamba anatabia zote za kihuni unazozifahamu. Dazi,tungi, ma tattoo hereni sijui takataka zote na tabia kwa ujumla ni mshenzi pro max. Ana muonekano au haiba ya kuvutia kiukweli msela ila tatizo kubwa mwana uhuni umetamalaki.
Ninachojiuliza ni wimbi la kinadada anavyowapanga kama draft, Tena ni pisi haswaa. Najiuliza hawa wanawake wana akili kweli? Kuna mmoja juzi kati kaenda ghetto kwa bwana X sijui alimzingua nini Akala kichapo heavy mpaka Wana tukaenda kuamulia ugomvi. Cha ajabu, asubuhi mwamba akaja room kutafuta "nali" akaniambia mwanang manzi alilala home bado yuko ghetto and I robbed her (hapo akanionesha mpunga aliokwara kwenye wallet ya manzi).
Yote tisa, kuna dada mmoja anafanya kazi Barclays bank, aisee sijui nisemeje wakuu muelewe uzuri wake ni WA namna gani. Dada ni mlimbwende haswaa, she got everything aisee halafu ni wale tunaita beauty with brains, yuko vizuri sana upstairs. Pia ni wale design kama church girls flani hivi hanaga makuu kabisa hata ugimbi hagusi, Cha ajabu juzi nimemkuta na bwana X katika mazingira ya ukiona manyoya.
Kwa wimbi la mademu wakali anaoruka nao, nashindwa kuelewa jamaa sijui ana dawa ama vipi sababu kama mpunga basi ni ile unga unga mwana, ma manzi wenyewe ndio wana shower fuber on him, lakini anavyowafyatua basi mtu unabaki unajiuliza tu kwamba wadada mnapenda wanaume wahuni? Wasabato hamuwapendi? Hebu tuelezeni hapa ili wasabato basi nasisi tuchange characters tuweze kula mema ya nchi.
Nawasalimu kwa jina la J.M.T
KAZI IENDELEE
Hasiyependa = asiyependa
Wanawake wakuonewa huruma kwani hawajawahi kuelewa wanataka nini.Salam wakuu,
Straight to the point. Kuna jamaa yangu anaitwa bwana X, huyu mwamba anatabia zote za kihuni unazozifahamu. Dazi,tungi, ma tattoo hereni sijui takataka zote na tabia kwa ujumla ni mshenzi pro max. Ana muonekano au haiba ya kuvutia kiukweli msela ila tatizo kubwa mwana uhuni umetamalaki.
Ninachojiuliza ni wimbi la kinadada anavyowapanga kama draft, Tena ni pisi haswaa. Najiuliza hawa wanawake wana akili kweli? Kuna mmoja juzi kati kaenda ghetto kwa bwana X sijui alimzingua nini Akala kichapo heavy mpaka Wana tukaenda kuamulia ugomvi. Cha ajabu, asubuhi mwamba akaja room kutafuta "nali" akaniambia mwanang manzi alilala home bado yuko ghetto and I robbed her (hapo akanionesha mpunga aliokwara kwenye wallet ya manzi).
Yote tisa, kuna dada mmoja anafanya kazi Barclays bank, aisee sijui nisemeje wakuu muelewe uzuri wake ni WA namna gani. Dada ni mlimbwende haswaa, she got everything aisee halafu ni wale tunaita beauty with brains, yuko vizuri sana upstairs. Pia ni wale design kama church girls flani hivi hanaga makuu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kum handle mwanamke inahitaji moyo sana na nilicho kiamua nitambembeleza ila akileta ujinga atanikoma.
Tutawanyoosha sana.Na ndio inatakiwa hivyo[emoji23]
Huna maajabu yoyote, na huna cha kumfanya zaidi ya kumuacha tu! Huna kingine cha kumfanya hata kama amekuletea ubabe, au anataka kuku-control. Kukontroliwa ni lazima, kama hutaki tembea hulazimishwi.! Narudia, huna jeuri nyingine zaidi ya kumuambia tuachane[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], so huna maajabu, ni kauli za kawaida mno hizoHata mimi ni mwanamke lakini huwa nawashangaa sana wanawake wenzangu kwenye hili. Wanawake kwenye mapenzi ni kama hatuna misimamo ama sijui niseme hatujielewi.
Yaani eti unakuta mwanamke anakuambia hapendi kuwa controlled. Haya akipata mwanaume asiyemcontrol anasema anaboa anataka mwanaume mbabe anayejua kucontrol.
Bora wengine tunajijua kabisa tukisema hatupendi kuwa controlled ni hatupendi kweli. Mimi mwanaume akiwa mpole ndiyo namheshimu ila akileta ubabe wallahi atajua hanijui.
(a-si-) 'si' inatosha kunegate.Navyofahamu ha hutumika kwenye kanusho wewe unafahamu vipi?View attachment 2042548
(a-si-) 'si' inatosha kunegate.