kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

Wakiwekwa kwenye ratio Kenya ina watu wa daraja la kati middle class wengi kuliko Tanzania, huo ndio ukweli japo wengi wa watanzania hawaelewi hilo baada ya kukaririshwa kiuongo kwamba Kenya wana maisha magumu kuishinda Tanzania japo ukweli ni kwamba watanzania wanasota ile mbaya ila ni wavumilivu sana kushinda wakenya.
Kenya middle class ni wengi ndio, na maskini ni wengi pia.
 
Hii ni ETHIOPIA, wanaongoza Kwa kupata Treni ya kisasa mapema, ndege nyingi, Barabara za Juu kwa juu, nk ktk Africa Mashariki. LAKINI najiuliza kwanini Waethiopia wanaongoza kwa KUIKIMBIA nchi yao ili kuishi Ukimbizini Ilhali Ethiopia hakuna VITA? naomba majibu?
Tukianza kuhesabu ni raia wake wangapi wamekamatwa Tanzania wakisafirishwa kwenda SA
 
Chakula cha Ethiopia kinakuwa Exported kwa asilimia zaidi ya 70 kupitia Addis Ababa, Waethiopia wengi waliopo nje ya Addis Ababa wana maisha ya Ufukara sana na Njaa

Same to Eritrea....na Vita ni sababu nyingine
Ethiopia wanaagiza Ngano na mafuta ya kula kutoka nje kama vile sisi tunavyoagiza ila wanauza zaidi nje kahawa, mahindi(kwa sababu sio chakula chao muhimu), matunda na bidhaa za mifugo.

Vyakula muhimu kwa Ethiopia ni Teff, Ngano, mtama na nyama.

Tatizo kubwa zaidi la Ethiopia ni vita na overpopulation.
 
Sio kweli asee, hv unaijua sehemu inaitwa kibera hapo kwny mji wao wa nairobi? Iyo ndo biggest slum in africa. Na hapo hujaenda baadhi ya kaunti nyingine. Asee Tz kuna afadhali kuliko kenya.
Biggest slums kubwa katika hii dunia ziko India, Mexico na South Africa. Slums za India na Mexico ni kubwa zaidi duniani lakini hiyo haimaanishi tumeendelea kuzidi hizo nchi.

Kaunti nyingi za Kenya zina maendeleo kuliko Tanzania, majiji ya Kenya ya Nairobi, Mombasa, Kisumu ni makubwa kuliko yote ya Tanzania kwa pamoja. Kuna kaunti nyingi Kenya ambazo hata hawaiti majiji ili ni kubwa kuliko Mbeya na Tanga.
 
Kenya middle class ni wengi ndio, na maskini ni wengi pia.
Tusidanganyane bwana hata Tanzania maskini wapo kibao na kiujumla umaskini ktk nchi za kiafrika unaongezeka kila kukicha kwa sababu serikali nyingi za kiafrika zimeshindwa kuandaa mikakati madhubuti za kukabiliana na umaskini kwani watawala wa kiafrika huangalia maslahi yao tu na wapambe wao.
 
Nilikua namaanisha kwamba unakuta nchi inamiundombinu Bora na wananchi wake wakiwa kwenye ufukara wa kutupwa.
Sehemu kubwa ya Ethiopia na Rwanda hata hazina miondombinu bora bado, watu wakiona mji mkuu au miji michache wanapumbazika wanafikiri na kwingine kote ndio miondombinu iko bora hivyo.
 
Hii ni ETHIOPIA, wanaongoza Kwa kupata Treni ya kisasa mapema, ndege nyingi, Barabara za Juu kwa juu, nk ktk Africa Mashariki. LAKINI najiuliza kwanini Waethiopia wanaongoza kwa KUIKIMBIA nchi yao ili kuishi Ukimbizini Ilhali Ethiopia hakuna VITA? naomba majibu?

View attachment 3054635

View attachment 3054640


View attachment 3054643


View attachment 3054644

View attachment 3054645
Mzizi kuwa watu wanaongoza kutoroka kwao kuliko Moroco? Moroco wanamaendeleo sana lakini kwa nini wao wanakimbilia sana Ulaya?
 
Sehemu kubwa ya Ethiopia na Rwanda hata hazina miondombinu bora bado, watu wakiona mji mkuu au miji michache wanapumbazika wanafikiri na kwingine kote ndio miondombinu iko bora hivyo.
Kweli kabisa
 
Mzizi kuwa watu wanaongoza kutoroka kwao kuliko Moroco? Moroco wanamaendeleo sana lakini kwa nini wao wanakimbilia sana

Mzizi kuwa watu wanaongoza kutoroka kwao kulikroco? Moroco wanamaendeleo sana lakini kwa nini wao wanakimbilia sana Ulaya?
Morocco na Libya ni njia tu zile. West Africans ndio wanaokimbia nchi zao kupitia hizo nchi.
 
Mbona ujajiuliza pesa wanazotoa kama rushwa kwa ajili ya kuvushwa kwenye nchi mbalimbali mpaka wanafika wanakokwenda wanatoa wapi? Yaani mtu anamiliki zaidi ya milioni 100 unawezaje kumwita masikini/fukara?

Pesa anazotumia m-Ethiopia kwa ajili ya kuwasaidia na kutoa kama rushwa kwa wanaowavusha kila wanapopita angepewa raia zezeta wa Tanzania anaeridhika kwa kula miogo angesema ni mtaji tosha.
Raia wa Ethiopia ni fighter hawaridhiki na maisha yao ndiyo maana wanakwenda kusaka kingi zaidi.
 
Back
Top Bottom