kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

Human rights abuses
Ethiopians wameuwawa sana kwa sababu za kisiasa ndio maana wengi wanakimbia nchi
Pia kuna ukamwe sana hawana sehemu kubwa ya kilimo
Nakumbuka kulikuwa na machafuko baina yao, wengi wakaanza kukimbia nchi kwa miguu na hapo ndio amri ikatoka wanajeshi wawauwe raia wanaoikimbia nchi
Aisee walipigwa risasi wananchi wengi sana huku wanakimbia
Mtu hataki kukaa nchini unamuulia nini?

Kuna watu wana roho mbaya aisee, halafu wakifanikiwa kuingia nchi jirani wakikimbiza roho zao na wao wanawakamata kama maharamia na hata kuwadhulumu walichonacho na kuwaanika juani kwa mbwembwe na kuwapiga mapicha kama wamekamata wahalifu shame on you
Watu wamekimbia abuses na wengine wanawafanyia mabaya zaidi

Hao ni wa kuwahurumia
 
Naomba unijibu kwanza maswali yangu kabla sijatoa maelezo zaidi
Sasa nikujibu nini mdogo wangu? Usiifananishe Tanzania na shith0le coutries. Kenya is a shith0le
Nimekwambia utaje tu mkoa mmoja Tanzania watu wanaishi hivi 🤣🤣🤣👇👇👇

1722157017628.png
 
Samahani, umeshawahi kutembelea mikoa mingapi ya Tanzania na ukaenda vijijini?
Hivi tunazungumzia Tanzania hii ambayo mtu akienda kufanya shoping mlimani city mall anaonekana tajiri au kuna nyingine?

Au
Tanzania hii ambayo mtu anaomba gari inayoanza na namba E ni mpya wakati ya mwaka 2000?
Mambo ya Gari ya 2000 yanauhusiano upi na hii mada ya watu kuishi na njaa?
I am talking about basic needs. Car is not a basic need.
 
Ethiopia wanaagiza Ngano na mafuta ya kula kutoka nje kama vile sisi tunavyoagiza ila wanauza zaidi nje kahawa, mahindi(kwa sababu sio chakula chao muhimu), matunda na bidhaa za mifugo.

Vyakula muhimu kwa Ethiopia ni Teff, Ngano, mtama na nyama.

Tatizo kubwa zaidi la Ethiopia ni vita na overpopulation.
Halafu wabongo wengi hawajui kutofautisha kati ya watu wa Eritrea na wa Ethiopia
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mambo yote sasa hivi yapo online. Hakuna kitu kibaya kinaweza kufichika. Usiifananishe tanzania na shith0le country kama Kenya.

Niambie mkoa gani hapa Tanzania wanaishia hivi?👇👇👇👇

View attachment 3054837
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mambo yote sasa hivi yapo online. Hakuna kitu kibaya kinaweza kufichika. Usiifananishe tanzania na shith0le country kama Kenya.

Niambie mkoa gani hapa Tanzania wanaishia hivi?👇👇👇👇

View attachment 3054837

 
Sasa nikujibu nini mdogo wangu? Usiifananishe Tanzania na shith0le coutries. Kenya is a shith0le
Nimekwambia utaje tu mkoa mmoja Tanzania watu wanaishi hivi 🤣🤣🤣👇👇👇

View attachment 3054841

 
Sasa kijana unaniletea taarifa ya 2013 miaka zaidi ya 11 iliyopita 🤣 🤣 🤣 🤣Hii ni zaidi ya upumbavu. Ni meconfirm wewe ni Kundustan

1722157387977.png



Kuhusu Kenya aka Kundustan hii hapa taarifa ya mwaka huu

1722157483533.png
 
Hii ni ETHIOPIA, wanaongoza kwa kupata treni ya kisasa mapema, ndege nyingi, barabara za juu kwa juu, nk ktk Africa Mashariki.

Lakini najiuliza kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi Ukimbizini Ilhali Ethiopia hakuna VITA? naomba majibu?

View attachment 3054635
View attachment 3054640
View attachment 3054643
View attachment 3054644
View attachment 3054645
Umeonyeshwa miji michache iliyo develop, ulisha wahi ona the rest of the country ilivyo? Then utaelewa why wanakimbia
 
Wewe umejikita Turkana ambayo ina hali ya kijangwa. Anyway, tembea mikoa mingi ya Tanzania hususan vijijini ndo utaelewa kwamba Tanzania ni maskini sana. Kwa sasa sitokutajia maana hutoweza kunielewa. Kama Kenya ni Sh*t country sijui Tanzania itakuwa kwenye kundi gani.
NImeakuwambia nitajie mkoa mmoja tu Tanzania watu wanaishi maisha kama nguruwe ya huko Turkana 🤣 🤣 🤣 🤣 Yaani watu wanaishi maisha magumu kama hivi unataka kutufananisha nao!!

1722157832600.png
 
Nimekutajia sifa za watu kama wewe mnaojiona matajiri kumbe bure tu. Ni mara ngapi Tanzania imekumbwa na njaa kutokana na ukame?
Wapi nimesema mimi ni tajiri? 🤣🤣🤣🤣 acha kunilisha maneno ambayo sijasema. Mimi ninasema Kundustan aka Kenya bado wanahangaika na basic needs za kawaida kabisa.

Huwezi ona Tanzania upumbavu kama huu. Yani unataka kutufananisha na watu wanaoandamana kwasababu ya ugali Stupid 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇

1722157977576.png
 
Wewe unatakiwa uweke hapa. Mimi sijaona Mkoa wa Tanzania watu wanaishi maisha ya kiyama kama haya:-
View attachment 3054867

 
Tusidanganyane bwana hata Tanzania maskini wapo kibao na kiujumla umaskini ktk nchi za kiafrika unaongezeka kila kukicha kwa sababu serikali nyingi za kiafrika zimeshindwa kuandaa mikakati madhubuti za kukabiliana na umaskini kwani watawala wa kiafrika huangalia maslahi yao tu na wapambe wao.
Ukienda nchi za watu Tanzania tunayoyaita majiji ni mitaa kuule kwao.
 
Kwani kuiita Kenya Sh*thole na maskini kwa Tanzania kisa Turkana siyo kujifanya tajiri?
Ninakueleza kuhusu whole Tanzania. Unachotakiwa kutuonesha namna maisha mazuri wanavyoishi wakenya. Acha kulia lia kama mtoto hapa. Tunaongelea Ethiopia na Kenya ni pipa na mfuniko.

Acha kuifananisha Tanzania na nchi iliyojichokea kama Kenya. Whole land of Kenya owned by Kenyatta Family and Whites

Taja mkoa wowote Tanzania wanaishi namna hii:-

1722158398123.png
 
Wapi nimesema mimi ni tajiri? 🤣🤣🤣🤣 acha kunilisha maneno ambayo sijasema. Mimi ninasema Kundustan aka Kenya bado wanahangaika na basic needs za kawaida kabisa.

Huwezi ona Tanzania upumbavu kama huu. Yani unataka kutufananisha na watu wanaoandamana kwasababu ya ugali Stupid 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇

View attachment 3054862
 
Mzee toka usingizini sasa hivi siyo 2013 sasa hivi ni 2024 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇

1722158480830.png
 
Biggest slums kubwa katika hii dunia ziko India, Mexico na South Africa. Slums za India na Mexico ni kubwa zaidi duniani lakini hiyo haimaanishi tumeendelea kuzidi hizo nchi.

Kaunti nyingi za Kenya zina maendeleo kuliko Tanzania, majiji ya Kenya ya Nairobi, Mombasa, Kisumu ni makubwa kuliko yote ya Tanzania kwa pamoja. Kuna kaunti nyingi Kenya ambazo hata hawaiti majiji ili ni kubwa kuliko Mbeya na Tanga.
Kenya ni economic polarized country kuna gap kubwa sana kati ya bwanyeye na fukara ndo maana kusurvive kenya ni kisanga sio kama bongo

hivo hivo baadhi ya nchi tajiri kama Nigeria na SA na Ethiopia kiasi
 
Back
Top Bottom