magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Jamaa mzalendo sana.Eeh wewe hata kama ndio unapenda vya kwako kweli ukafananishe adis ababa na dar kweli..???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa mzalendo sana.Eeh wewe hata kama ndio unapenda vya kwako kweli ukafananishe adis ababa na dar kweli..???
Kupata Pesa Kenya ni rahisi kuliko Tanzania.Kenya nimeishi na ninaenda mara kwa mara maisha ya Kenya ni magumu kupata pesa ni kugumu na matumizi muhimu hasa ya chakula ni gharama sana usidanganywe
Sio kweli mzee maisha ya watu binafsi ni magumu na pia kazi kupeana ni kwa ukabila
Hawa wanaosema hivyo huenda hata hawajawahi kufika mkuu Yani kiufupi tz kuna raha sio tu afadhali
Hata World Bank walitupa pesa za TASAF za kusaidia kaya masikini kwa sababu ya Ufukara uliotopea.Kenya nimeishi na ninaenda mara kwa mara maisha ya Kenya ni magumu kupata pesa ni kugumu na matumizi muhimu hasa ya chakula ni gharama sana usidanganywe
Sio kweli mzee maisha ya watu binafsi ni magumu na pia kazi kupeana ni kwa ukabila
Unafahamu kuna raia wengi nchi hii wanashindia mlo mmoja wa ugali na mchicha??Hawa wanaosema hivyo huenda hata hawajawahi kufika mkuu Yani kiufupi tz kuna raha sio tu afadhali
Pamoja na kwamba maisha magumu yanachangia ila kuna mataifa raia wake hawaridhiki haraka kama bongo. Wanapambana kwenda nje kwa lengo la kupata maisha bora zaidi na ikiwezekana wapate uraia wa huko.Hii ni ETHIOPIA, wanaongoza kwa kupata treni ya kisasa mapema, ndege nyingi, barabara za juu kwa juu, nk ktk Africa Mashariki.
Lakini najiuliza kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi Ukimbizini Ilhali Ethiopia hakuna VITA? naomba majibu?
View attachment 3054635
View attachment 3054640
View attachment 3054643
View attachment 3054644
View attachment 3054645
Hapo Dodoma tu makao makuu kuna sehemu za vijijini zinatisha kwa umaskiniHivi ulishawahi kufika huko Kasulu vijijini, Vijiji vya Kondoa,Kongwa, Mpwawa, Manyovu, Singida? Au wewe unaangalia tu TV?
Kenya sehemu ambayo kuna shida na maisha magumu ni Turkana pekee...sehemu zingine maisha yao yameboreka kuliko Tanzania kwasababu upatikani wa pesa ni rahisi sana lakini pia dhamani ya pesa yao bado inawabeba.
Fikiria bado unaweza kupata chakula kwa ksh 10
SahihiPamoja na kwamba maisha magumu yanachangia ila kuna mataifa raia wake hawaridhiki haraka kama bongo. Wanapambana kwenda nje kwa lengo la kupata maisha bora zaidi na ikiwezekana wapate uraia wa huko.
Shida ya waethiopia wanapenda kupitia njia za panya ndo maana wanaonekana kama wanakimbia nchi yao.
Kuna nchi kama Nigeria, Kenya, SA na nchi nyingi za Kaskazini mwa Afrika wanaongoza kwenda nje na wengi wamefanikiwa kupata uraia huko. Ndo maana wasanii wa Nigeria wakienda Ulaya na USA shows zao wanapata watu wengi kutokana na kwamba kuna raia wengi huko kutoka nchi zao.
Watanzania nahisi na kutokufahamu sana Lugha za kigeni kunachangia watu kutoenda nje tunabaki tunajifariji kwamba tuna maisha mazuri kushinda wenzetu ndo maana hatipambanii kwenda nje ya nchi. Kitu ambacho ni uongo mtupu hata hao tunaowaita wakimbizi wa Ethiopia unakuta maisha wanayoishi kwenye nchi zao ni mazuri zaidi ya watanzania wengi tunaojidai tuna maisha mazuri
Kwa upande wangu huu huwa nauona kama upuuzi. Watanzania tunapenda kujifariji kwenye upuuzi ambao umeendelea kutudumaza. Ukweli ni kwamba Tanzania hatuna maisha ya kusema tunawazidi Kenya on average huo ni uongo na upuuzi uliopitiliza.Hawa wanaosema hivyo huenda hata hawajawahi kufika mkuu Yani kiufupi tz kuna raha sio tu afadhali
Kaka kenya maisha magumuKenya kuna urahisi wa maisha ya raia kuliko hata Tanzania
Tanzania maisha ni magumu zaidi kuliko KenyaKaka kenya maisha magumu
Mzee hebu acha kutufananisha na wakenya. Unatuaibisha watanzania.Biggest slums kubwa katika hii dunia ziko India, Mexico na South Africa. Slums za India na Mexico ni kubwa zaidi duniani lakini hiyo haimaanishi tumeendelea kuzidi hizo nchi.
Kaunti nyingi za Kenya zina maendeleo kuliko Tanzania, majiji ya Kenya ya Nairobi, Mombasa, Kisumu ni makubwa kuliko yote ya Tanzania kwa pamoja. Kuna kaunti nyingi Kenya ambazo hata hawaiti majiji ili ni kubwa kuliko Mbeya na Tanga.
Kheee..!!! We umeanza lini kuongea kinyume?Kenya kuna urahisi wa maisha ya raia kuliko hata Tanzania
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mambo yote sasa hivi yapo online. Hakuna kitu kibaya kinaweza kufichika. Usiifananishe tanzania na shith0le country kama Kenya.Samahani, umeshawahi kutembelea mikoa mingapi ya Tanzania na ukaenda vijijini?
Unajua siasa za Ethiopia na historia yake?Ethiopia hawapishani sana na Kenya, wamewekeza nguvu nyingi kwenye miundombinu na sio urahisi wa maisha ya raia.