kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

😂😂😂😂😂 sawa mwamba
Nenda kasaidizane na wakenya wenzako kupunguza flying toilets nairobi

1722158799560.png
 
Mzee toka usingizini sasa hivi siyo 2013 sasa hivi ni 2024 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇

View attachment 3054871

 
Ethiopia, Rwanda na Burundi zinaongoza kwa raia wake kukimbia kwao. Boda ya Kasesya, Rukwa kwa sasa inapitisha waburundi na wanyarwanda wengi sana wanaoenda South Africa. Utakuta mburundi yuko na familia ya watoto hata watano wanaenda Zambia hadi South.
 
Mzee sina muda wa kujibishana na wewe. Maana nimeshagundua wewe ni Mkenya aka Kundustan 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Raia wanaoishi chini ya mstari wa umaskini Kenya ni 16% wakati Tanzania ni 26%.
Hizo taatifa umezitoa wapi? 😀 😀 nenda kawatangazie Kundusta Gen Z taarifa hizo.

Wewe ni Mkundustan

Screenshot_20240728-132932.png
 
Biggest slums kubwa katika hii dunia ziko India, Mexico na South Africa. Slums za India na Mexico ni kubwa zaidi duniani lakini hiyo haimaanishi tumeendelea kuzidi hizo nchi.

Kaunti nyingi za Kenya zina maendeleo kuliko Tanzania, majiji ya Kenya ya Nairobi, Mombasa, Kisumu ni makubwa kuliko yote ya Tanzania kwa pamoja. Kuna kaunti nyingi Kenya ambazo hata hawaiti majiji ili ni kubwa kuliko Mbeya na Tanga.
Biggest slum in africa ni kibera
 
16% ya Wakenya wanaishi chini ya mstari wa umaskini wakati Tanzania ni 26%.
Uhalisia mara nyingi hauendani na standards,kenya kupata sh 5000 ya kitanzania ni rahisi lakini matumizi ya hio pesa kwa mahitaji ya msingi kama chakula na malazi haviendani pia..Gharama za maisha lazima uziweke unapofanya ulinganifu wa kipato
 
Wakiwekwa kwenye ratio Kenya ina watu wa daraja la kati middle class wengi kuliko Tanzania, huo ndio ukweli japo wengi wa watanzania hawaelewi hilo baada ya kukaririshwa kiuongo kwamba Kenya wana maisha magumu kuishinda Tanzania japo ukweli ni kwamba watanzania wanasota ile mbaya ila ni wavumilivu sana kushinda wakenya.
Hayo maandamano wanayofanya kila kukicha ni ya nini Kama kweli hawana maisha magumu wacha chuki zako kwenye nchi yetu pendwa ya tz su hamia kenya 🙄🙄🙄😎😎
 
Hayo maandamano wanayofanya kila kukicha ni ya nini Kama kweli hawana maisha magumu wacha chuki zako kwenye nchi yetu pendwa ya tz su hamia kenya 🙄🙄🙄😎😎
Ulaya na Marekani raia wanaandamana kuliko Tanzania
 
Wakiwekwa kwenye ratio Kenya ina watu wa daraja la kati middle class wengi kuliko Tanzania, huo ndio ukweli japo wengi wa watanzania hawaelewi hilo baada ya kukaririshwa kiuongo kwamba Kenya wana maisha magumu kuishinda Tanzania japo ukweli ni kwamba watanzania wanasota ile mbaya ila ni wavumilivu sana kushinda wakenya.
Regional office kwa MNcs na INGO kwa EA nyingi zipo KE, so ndo kusema anaajiriwa mtu wa IT wa INGO anamanage KE, TZ, RW, BU, UG, Sasa huyu kwa workload hiyo automatically mshahara wake unakuwa mkubwa na ndo maana middle income earners ni wengi kenya , Tanzania kiduchu, then huyu IT baadae utamkuta yupo HQ US anazidi chanja mbuga tu so again hapo unakuta kuna KEs wengi US, Europe wanapiga mzigo kuliko Tzee.
 
Back
Top Bottom