kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

kwanini Waethiopia wanaongoza kwa kukimbia nchi yao ili kuishi ukimbizini?

Sio lazima nchi iwekeze kwenye kilimo cha chakula ili raia wake wawe na maisha mazuri, Hata hivyo Sekta ya kilimo Ethiopia ni kubwa kuliko Tanzania,
Ethiopia ni wazalishaji namba 4 wa mahindi barani Africa baada ya South Africa, Nigeria na Misri. Ndio nchi yenye mifugo mingi zaidi barani Africa.
Kwanini sasa wanakimbia nchi yao mkuu.!??
 
Kwanini sasa wanakimbia nchi yao mkuu.!??
Vita na migogoro ya kisiasa ya muda mrefu sana, ubaguzi wa kikabila.
Overpopulation ambayo inazidi kasi ya ukuaji uchumi, Ethiopia imetuzidi kwa eneo kidogo tu ila idadi ya raia wake ni mara mbili ya idadi yetu, sisi tuko 60M wao wako 120M.
 
Kwa mtindo huo Watanzania wanaoishi below poverty line ni 26 Millions.
Mzee nyie wakenya ni wapumbavu sana. Mama Ngina ndio kawaaminisha hivyo. Stupid mentality.

Kenya was good miaka ya nyuma but now endeleeni kuandamana #RUTOMUSTGO 😀 😀 😀
 
Vita na migogoro ya kisiasa ya muda mrefu sana, ubaguzi wa kikabila.
Overpopulation ambayo inazidi kasi ya ukuaji uchumi, Ethiopia imetuzidi kwa eneo kidogo tu ila idadi ya raia wake ni mara mbili ya idadi yetu, sisi tuko 60M wao wako 120M.
Vita ipi imepiganwa Ethiopia miaka mingi. Kumbukumbu yangu nchi iliyopigana vita vya wenyewe kwa wenyewe muda mrefu ni Angola

Wala sioni ajabu maana nyie wakenya mpo na chuki sana na Tanzania
 
Regional office kwa MNcs na INGO kwa EA nyingi zipo KE, so ndo kusema anaajiriwa mtu wa IT wa INGO anamanage KE, TZ, RW, BU, UG, Sasa huyu kwa workload hiyo automatically mshahara wake unakuwa mkubwa na ndo maana middle income earners ni wengi kenya , Tanzania kiduchu, then huyu IT baadae utamkuta yupo HQ US anazidi chanja mbuga tu so again hapo unakuta kuna KEs wengi US, Europe wanapiga mzigo kuliko Tzee.
Tutajie hao IT waliochanja mbuga. Na utuambie ni mashirika mangapi ya kimataifa yapo Kenya na yameajili wangapi.

Kwa kumbukumbu yangu Kenya ndio nchi inayoongoza kwa unemployment hapa East Africa.

So taarifa yako haina ukweli ni propaganda za kipumbavu.
 
Vita ipi imepiganwa Ethiopia miaka mingi. Kumbukumbu yangu nchi iliyopigana vita vya wenyewe kwa wenyewe muda mrefu ni Angola

Wala sioni ajabu maana nyie wakenya mpo na chuki sana na Tanzania
Ruhusu kichwa chako kupokea usivyovijua. Ethiopia ni nchi yenye migogoro chungu nzima. Hua panapoa tu. Lakini huko vita ni kama ugali dagaa tu huku bongo
 
Ruhusu kichwa chako kupokea usivyovijua. Ethiopia ni nchi yenye migogoro chungu nzima. Hua panapoa tu. Lakini huko vita ni kama ugali dagaa tu huku bongo
Mzee huwezi kulinganisha migogoro iliyopo DRC na hapo Ethiopia. Unasema migogoro chungu nzima mbona huitaji migogoro hiyo.

You are just talking empty words.
 
Mzee huwezi kulinganisha migogoro iliyopo DRC na hapo Ethiopia. Unasema migogoro chungu nzima mbona huitaji migogoro hiyo.

You are just talking empty words.
Ukilinganisha ndo utafeli Sasa migogoro mingi ya Ethiopia ni ukabila uliokithiri pande zote za huko.
Hebu fikiria nchi hiyo Hadi Leo Haina jeshi 1 tu organized Bali Kuna mikoa mingine inajitawala kijeshi kisiasa nk.
Eg oromo
 
Ukilinganisha ndo utafeli Sasa migogoro mingi ya Ethiopia ni ukabila uliokithiri pande zote za huko.
Hebu fikiria nchi hiyo Hadi Leo Haina jeshi 1 tu organized Bali Kuna mikoa mingine inajitawala kijeshi kisiasa nk.
Eg oromo
Hata Russia haina Jeshi moja. Unatakiwa upate exposure mzee. Hizo siyo sababu za watu wa Ethiopia kukimbia kutoka nchini kwao. Umiza akili ujue zaidi. By the way GDP ya Ethiopia ni kubwa sana.

So Ethiopia na Kenya ni Chupa na mfuniko.
 
Mzee nyie wakenya ni wapumbavu sana. Mama Ngina ndio kawaaminisha hivyo. Stupid mentality.

Kenya was good miaka ya nyuma but now endeleeni kuandamana #RUTOMUSTGO 😀 😀 😀
Hujui kwamba kuandamana ni aspect muhimu kwa maendeleo lkn kwa mtanzania anayeaminishwa kwamba serikali haipingwi hawezi kuelewa nini maana ya maandamano.

Endeleeni kumsifia mama na kukimbizana na mwenge.
 
Hata Russia haina Jeshi moja. Unatakiwa upate exposure mzee. Hizo siyo sababu za watu wa Ethiopia kukimbia kutoka nchini kwao. Umiza akili ujue zaidi. By the way GDP ya Ethiopia ni kubwa sana.

So Ethiopia na Kenya ni Chupa na mfuniko.
Russia Kuna military force ngapi?
 
Russia Kuna military force ngapi?
Russia Federation ipo na Republic 22 kila Republic ipo na Katiba yake na Rais wake. Na kila Republic ipo na Jeshi lake.

Mzee unatakiwa usome uijue dunia ilivyo. Usitake watu tufanane.
 
Russia Kuna military force ngapi?
Russia is divided into 89 federal subjects. These include:

1. 22 republics
2. 9 krais (territories)
3. 46 oblasts (provinces)
4. 3 federal cities (Moscow, Saint Petersburg, and Sevastopol)
5. 1 autonomous oblast (the Jewish Autonomous Oblast)
6. 8 autonomous okrugs (districts)

Each type of federal subject has a different level of administrative autonomy.
 
Hujui kwamba kuandamana ni aspect muhimu kwa maendeleo lkn kwa mtanzania anayeaminishwa kwamba serikali haipingwi hawezi kuelewa nini maana ya maandamano.

Endeleeni kumsifia mama na kukimbizana na mwenge.
Unaandamana kwa mambo muhimu. Huwezi kuandamana kwaajili ya ugali huku whole land owned by Kenyatta Family and Europeans.

Stupid Protests

Andamaneni mpate ardhi
 
Tutajie hao IT waliochanja mbuga. Na utuambie ni mashirika mangapi ya kimataifa yapo Kenya na yameajili wangapi.

Kwa kumbukumbu yangu Kenya ndio nchi inayoongoza kwa unemployment hapa East Africa.

So taarifa yako haina ukweli ni propaganda za kipumbavu.
Sawa maamuma
 
Back
Top Bottom